X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
haijawahi kutokea ulimwenguni... hata hapa Tanzania hilo sidhani...! kama litawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaica 😂Ngoja nigoogle niangalie ni nchi gani tangu kuumbwa kwa dunia imewahi ongozwa na cdf mwanamke .
Jamaica 🐼haijawahi kutokea ulimwenguni... hata hapa Tanzania hilo sidhani...! kama litawezekana
Hata rais mwanamke hapanaHuyu mama sio kabisa, kakosea sana kuzungumza hivi. CDF Mwanamke HAPANA
Hatukuwahi kuwa na Waziri wa ulinzi mwanamke na sasa tufanye,watu mapovu yalitoka ila hakuna kilichobadilika....Kati ya nchi hizo,
Tanzania unayodai CDF wa kike imo?
Hata hao wa kiume shida ni zilezile tu....Hata rais mwanamke hapana
Yani miundombinu ya jangwani unaiita ni majanga ya asili?. Na jum za Ubungo na Tazara wangeziacha ziitwe janga la asili basi.majanga ya kiasili hayanaga wa kulaumiwa 🐒
Kama huyu utampeleka kwenye uwanja wa mapambano? Mtashinda hiyo vita? 😳😳😳Sijawah kusikia mwanajeshi mwanamke kauwawa vitani,
Wote ambao nawaona na kuwasikia ni wanaume tu
Hivi wanawake huwa hawaendagi huko kupigana ??
Na siyo major sema Major General inaweka sawa nafasi yake hadi tukawaita ndugu zenu madawili.Sio Brigedia, ni hadi major alikuwepo, Zawadi Madawili.
Tena robot ndiyo balaa kabisa bora awe zake madam for instance Maj. Gen H. I KodiHata hao wa kiume shida ni zilezile tu....
Rais awe Roboti, labda ndiyo ataleta maendeleo...
Haya. Huyu mtu boya kwelikweli.Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
EEEeeHeeeee. You ain't seen nothing yet!CDFs are usually elite officers from the Generals' Staff who have atleast a cadet degree in military science.
The TPDF is not a VICOBA where every Aisha and Mwajuma can just go about and do what they do best, RUN THEIR MOUTHS.
This is sacrilege.
pale Tehran, UAE, Malawi, Burundi, pale kwenye maporimoko ya hanang na kule mbeya, rufiji, arusha, Morogoro n.k pia nadhan walielekeza nguvu kwenye mambo mengine 🐒Yani miundombinu ya jangwani unaiita ni majanga ya asili?. Na jum za Ubungo na Tazara wangeziacha ziitwe janga la asili basi.
Pale panatibika kabisa, ila wameamua nguvu wazielekeze kwenye mambo ya kipambe....
Mimi ninachokijua tu ni kwamba Nguvu ya Mwanamke ipo katika Kushika Mimba, Kuzaa na Kulea na siyo huku Kwingineko.Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
Kama tuna Rais Mwanamke CDF Mwanamke inakuwaje ajabu?Huyu mama sio kabisa, kakosea sana kuzungumza hivi. CDF Mwanamke HAPANA
Huyo akipewa mafunzo akaiva anamaliza kila kitu bila makelele ya risasi. Binadamu silaha yake kubwa ni mind sio misuli.