Rais Samia: Msije kushangaa mwaka 2030 tukawa na CDF Mwanamke

Rais Samia: Msije kushangaa mwaka 2030 tukawa na CDF Mwanamke

that is very significant and powerful statement by the head of state and commander in chief of defense force, politically speaking 🐒

I will do a comprehensive analysis on that, and a coded message on it as we are approaching 2025-2030 general elections 🐒
Unfortunately your narrow & shallow green brains meant for uchawa... 🐕 Wewe
 
Raisi mwanamke, IGP mwanamke, CDF mwanamke, spika mwanamke....and the country is finally wearing bikini.
 
Amri jesh mkuu asiyejua hata abcz za kijeshi, kwa kuanzia tu, je tu Luten Gen mwanamke??? Au katika historia tu, tushawah hata kuwa na head wa jkt mwanamke? Au tushawahi kuwa chief of staff mwanamke?? Au tushawahi kuwa na chief wa Millitary intelligence mwanamke?? Au tushawah hata kuwa na head of Airwing mwanamke? Tushawah kuwa hata na Brigedia general mwanamke??? Tumeshawa hata kuwa na commando mwanamke???

Sasa yeye atamtoa wapi huyu bi kidude?
Maana hizo ndio posts ambazo angalau unaweza kuzimulika kumpata cdf, na mpaka ufike kwenye hizo sensitive posts lazima uwe ume fuzu hasa?
 
Sasa tushangae CDF mwanamke? Mbona hatukuhangaa kuwa na Rais Mwanamke?? Nani anakuwa juu zaidi..kati ya CDF na Rais??
 
Amri jesh mkuu asiyejua hata abcz za kijeshi, kwa kuanzia tu, je tu Luten Gen mwanamke??? Au katika historia tu, tushawah hata kuwa na head wa jkt mwanamke? Au tushawahi kuwa chief of staff mwanamke?? Au tushawahi kuwa na chief wa Millitary intelligence mwanamke?? Au tushawah hata kuwa na head of Airwing mwanamke? Tushawah kuwa hata na Brigedia general mwanamke??? Tumeshawa hata kuwa na commando mwanamke???

Sasa yeye atamtoa wapi huyu bi kidude?
Maana hizo ndio posts ambazo angalau unaweza kuzimulika kumpata cdf, na mpaka ufike kwenye hizo sensitive posts lazima uwe ume fuzu hasa?
Asije kudhani ni kama kuteua wakuu wa wilaya huko, anaokota tu watu.
 
Sijawah kusikia mwanajeshi mwanamke kauwawa vitani,

Wote ambao nawaona na kuwasikia ni wanaume tu

Hivi wanawake huwa hawaendagi huko kupigana ??
Zinatokea sema kimtindo sana hapo DRC kulikuwa na sister anaitwa Mado Dagbinza alikuwa ni moja ya walinzi wa aliyekuwa mkuu wa kikosi cha SF ya FARDC (42nd battalion) Col. Mamadou Mustapha Ndala walifariki nae wakiwa katika gari sema ilikuwa ni ambush tu iliyofanywa na waasi wa ADF ila zipo video kadhaa zilikuwa zinaonyesha yeye na wanawake baadhi wakati wa kuwaondoa M23 alikuwepo kabisa front anachezea mkwaju.
Pia wako kina dada baadhi katika vita ya Russia na Ukraine wamefariki wakiwa battlefield.
Ila wengi wao walikuwa hasa katika mazingira ya uokoaji wa majeruhi.

Yote kwa yote

THE ONLY EASY DAY WAS YESTERDAY ..
IT PAYS TO BE A WINNER.
 
CDFs are usually elite officers from the Generals Staff who have atleast a cadet degree in military science.

The TPDF is not a VICOBA where every Aisha and Mwajuma can just go about and do what they do best, RUN THEIR MOUTHS.

This is sacrilege.​
Mhhh roho mbaya tu mkuu, hamtaki akina komwe tupate ulaji
 
Back
Top Bottom