Rais Samia, Mteue ACP Theopista Mallya awe Mkuu wa Trafiki Nchini, asante kwa kumteua Kaganda

Rais Samia, Mteue ACP Theopista Mallya awe Mkuu wa Trafiki Nchini, asante kwa kumteua Kaganda

Hawa trafiki kazi yao imebaki kuokota za kubrashia viatu, maeneo ya barabara ya mlimani city wanavizia asubuhi asubuhi magari kwenye taa za kwenye zebra.....afisa unaamka alfajiri kwenda kuvizia magari yanayowahi makazini (rush hours) kwa kukamata magari kwenye zebra kwa kisingizio cha taa nyekundu wakati hakuna watu wanaovuka, nafikiri tukubaliane kwamba kubambika makosa na kudai rushwa ndo utaratibu wa kawaida wa utendaji kazi wa hili jeshi la polisi.....naunga mkono huyo ateuliwe kama ana commitment ya kuondoa hii aibu ya rushwa kwa matrafiki wanaojazana huko mabarabarani.​
Pale Mlimani city na njia ya Makongo wanakaa Traffic wawili wanaitwa MARTIN na VICENT wale jamaa wanapenda sana rushwa na kubambikiza watu makosa.

Narudia tena wale jamaa ni wala rushwa wabaya sana.
Huyo Vicent mwanzoni alikua anakaa pale mataa ya ubalozi wa ufaransa baada ya Hamza kufanya yake akakimbilia pale mataa ya ITV, mlimani na makongo.

Ingependeza sana wahamishiwe maporini huko wakacheze na ngedere.
 
Back
Top Bottom