Rais Samia muulize Bilionea Alhaj Aliko Dangote alitaka umpe nini ambacho hajapewa?

Rais Samia muulize Bilionea Alhaj Aliko Dangote alitaka umpe nini ambacho hajapewa?

Hujui mambo ya uwekezaji. Ungekaa kimya, jitahidi ujielimishe kwanza. Dangote mara zote amekuwa anaalikwa, siyo yeye anayeomba kukutana na Rais.

Marehemu alimwalika, kulipokuwa na taarifa kuwa anahamishia kiwanda chake Kenya.

JK alimwalika kumwomba awekeze nchini.

Mama amemwomba ili uwekezaji wake wa sasa uwe ja tija, na ikiwezekana awekeze zaidi. Huyu ni tajiri na mwekezaji mkubwa kwa kiwango cha kimataifa. Kila nchi inataka uwekezaji wake.
Barua ya mualiko ulitoa wewe?
Acha kujifanya unajua kumbe pangu pakavu,sisi ndo wafanya biashara tunaelewa haya,wewe mkusanya documents ofisini subiri mshahara mwisho wa mwezi
 
Mpendwa Rais wangu umejitahidi sana kututoa hofu wa Tanzania kuwa unaweza na jinsia yako sio kitu cha kushindwa kuongoza jahazi na tumekubali na kukupokea kwa mikono miwili yawekana kabisa ukaja kuwa mkombozi wetu kwa nchi yetu.

Naamini kwa muda mrefu taifa lilikosa mtu kama wewe na moderating factor katika Governance.

Kuna tahadhali tunayo sisi wananchi wako hasa kuhusu wawekezaji wanaokuja kukuona na kutoa maomba mbali mbali. Na mfano mzuri ni Dangote, hatujui aliomba nini zaidi mbali ya aliyotunukiwa mpaka muda huu.


DOCUMENTS NDIYO ZITASEMA UKWELI KAMA HAYA YAFUATAYO ALIZAWADIWA DANGOTE BURE.

1) @ &#%*^/#%_=÷×+
2) Mliimpa ardhi bure bila kulipia senti tano.
3) Mliimpa eneo la kuchimba lime bure bila kulipia senti tano.
4) Milimpa bure eneo la kuchimba gypsum bila kulipia senti tano.
5) Mlimmpa uhuru wa kuingia wafanyakazi anavyoona na wengi hawakupata na vibali.
6) Mlimsaidia kuingia magari ya kusambaza sementi bure bila kulipia ushuru mbali ya mntambo.
7) Alipo lalamika kuhusu coal makaa ya mawe mliimpa bure ili achimbe mwenyewe bila kujali sheria ya madini inasameje.
8) Alipata tax holiday ya miaka mitano, afanye biashara yake bila kulipa kodi.
9) Mlimpelekea bomba lá gesi mpaka kiwandani kwake wakati wawekezaji wengine hugharamia wenyewe.
10) Kiwanda bado ni kidogo kuliko Twiga Cement (wazo) ambao yote hayo walilipia kuwapata na hata kodi ya ardhi wao wanalipa.
11) Je, hii ya kuzoea bure kuna fanya malipo ya statuary contributions kama NHIF, NSSF, WORKERS COMPENSATION FUNDS, na michango mingine pamoja na Corporate social responsibility aone atapata bure?

Mkidai kodi halisi anasema anapata hasara yaani mumempa kila kitu bure na sasa anapata hasara na wazalishaji wengine kodi na kulipia huduma zote na kodi kama Twiga Cement, Simba Cement, Mbeya ya cement na viwanda vingine 19 vya kuzalisha cement. Viwanda vyote vingine vinapata faida na kulipa kodi. Haya tutafika.

Marais waliopita ama walikuwa too soft ama extremists lakini mama kuingia kwako tunaamini kuna mazuri yanakuja. Kwa uchache tuu tunaomba ujielekeza kwenye mambo machache muhimu lakini ndio yatakuwa game changer kwa nchi yetu.
Huna akili
 
Hujui mambo ya uwekezaji. Ungekaa kimya, jitahidi ujielimishe kwanza. Dangote mara zote amekuwa anaalikwa, siyo yeye anayeomba kukutana na Rais.

Marehemu alimwalika, kulipokuwa na taarifa kuwa anahamishia kiwanda chake Kenya.

JK alimwalika kumwomba awekeze nchini.

Mama amemwomba ili uwekezaji wake wa sasa uwe ja tija, na ikiwezekana awekeze zaidi. Huyu ni tajiri na mwekezaji mkubwa kwa kiwango cha kimataifa. Kila nchi inataka uwekezaji wake.
Umeyaelewesha vizuri aya majinga,,

Washazoea kuongopewa na dikteta
 
Hizo investment zote hakuna binding document bainaya wahusika
Serekali na mwekezaji lazima kuwa na mutual agreement baina ya wahusika
 
Mpendwa Rais wangu umejitahidi sana kututoa hofu wa Tanzania kuwa unaweza na jinsia yako sio kitu cha kushindwa kuongoza jahazi na tumekubali na kukupokea kwa mikono miwili yawekana kabisa ukaja kuwa mkombozi wetu kwa nchi yetu.

Naamini kwa muda mrefu taifa lilikosa mtu kama wewe na moderating factor katika Governance.

Kuna tahadhali tunayo sisi wananchi wako hasa kuhusu wawekezaji wanaokuja kukuona na kutoa maomba mbali mbali. Na mfano mzuri ni Dangote, hatujui aliomba nini zaidi mbali ya aliyotunukiwa mpaka muda huu.


DOCUMENTS NDIYO ZITASEMA UKWELI KAMA HAYA YAFUATAYO ALIZAWADIWA DANGOTE BURE.

1) @ &#%*^/#%_=÷×+
2) Mliimpa ardhi bure bila kulipia senti tano.
3) Mliimpa eneo la kuchimba lime bure bila kulipia senti tano.
4) Milimpa bure eneo la kuchimba gypsum bila kulipia senti tano.
5) Mlimmpa uhuru wa kuingia wafanyakazi anavyoona na wengi hawakupata na vibali.
6) Mlimsaidia kuingia magari ya kusambaza sementi bure bila kulipia ushuru mbali ya mntambo.
7) Alipo lalamika kuhusu coal makaa ya mawe mliimpa bure ili achimbe mwenyewe bila kujali sheria ya madini inasameje.
8) Alipata tax holiday ya miaka mitano, afanye biashara yake bila kulipa kodi.
9) Mlimpelekea bomba lá gesi mpaka kiwandani kwake wakati wawekezaji wengine hugharamia wenyewe.
10) Kiwanda bado ni kidogo kuliko Twiga Cement (wazo) ambao yote hayo walilipia kuwapata na hata kodi ya ardhi wao wanalipa.
11) Je, hii ya kuzoea bure kuna fanya malipo ya statuary contributions kama NHIF, NSSF, WORKERS COMPENSATION FUNDS, na michango mingine pamoja na Corporate social responsibility aone atapata bure?

Mkidai kodi halisi anasema anapata hasara yaani mumempa kila kitu bure na sasa anapata hasara na wazalishaji wengine kodi na kulipia huduma zote na kodi kama Twiga Cement, Simba Cement, Mbeya ya cement na viwanda vingine 19 vya kuzalisha cement. Viwanda vyote vingine vinapata faida na kulipa kodi. Haya tutafika.

Marais waliopita ama walikuwa too soft ama extremists lakini mama kuingia kwako tunaamini kuna mazuri yanakuja. Kwa uchache tuu tunaomba ujielekeza kwenye mambo machache muhimu lakini ndio yatakuwa game changer kwa nchi yetu.
Hujafanya biashara awamu ya 5 je unajua kuhusu 'task force' yenu, ilivyokuwa inafanya kaz?,i pia naomaba usome kuhusu mjasiriaali na mambo yanayomzunguka (the entrepreneur and his environment'na kuhusu sera ambazo hazina muelekeo(policy uncertainty)
 
Barua ya mualiko ulitoa wewe?
Acha kujifanya unajua kumbe pangu pakavu,sisi ndo wafanya biashara tunaelewa haya,wewe mkusanya documents ofisini subiri mshahara mwisho wa mwezi
Labda Kama unafanya biashara ya masaburi yako, acha Dangote azalishe cement kwa wingi bei ishuke Kama kipindi kile, ili kila mtanzania ajenge pakuweka ubavu


Mnataka mama awe Kama dikteta mwendazake ambae alikuwa anakula mgao kwa viwanda vya ndani ili kumvuruga Dangote
 
Mpendwa Rais wangu umejitahidi sana kututoa hofu wa Tanzania kuwa unaweza na jinsia yako sio kitu cha kushindwa kuongoza jahazi na tumekubali na kukupokea kwa mikono miwili yawekana kabisa ukaja kuwa mkombozi wetu kwa nchi yetu.

Naamini kwa muda mrefu taifa lilikosa mtu kama wewe na moderating factor katika Governance.

Kuna tahadhali tunayo sisi wananchi wako hasa kuhusu wawekezaji wanaokuja kukuona na kutoa maomba mbali mbali. Na mfano mzuri ni Dangote, hatujui aliomba nini zaidi mbali ya aliyotunukiwa mpaka muda huu.


DOCUMENTS NDIYO ZITASEMA UKWELI KAMA HAYA YAFUATAYO ALIZAWADIWA DANGOTE BURE.

1) @ &#%*^/#%_=÷×+
2) Mliimpa ardhi bure bila kulipia senti tano.
3) Mliimpa eneo la kuchimba lime bure bila kulipia senti tano.
4) Milimpa bure eneo la kuchimba gypsum bila kulipia senti tano.
5) Mlimmpa uhuru wa kuingia wafanyakazi anavyoona na wengi hawakupata na vibali.
6) Mlimsaidia kuingia magari ya kusambaza sementi bure bila kulipia ushuru mbali ya mntambo.
7) Alipo lalamika kuhusu coal makaa ya mawe mliimpa bure ili achimbe mwenyewe bila kujali sheria ya madini inasameje.
8) Alipata tax holiday ya miaka mitano, afanye biashara yake bila kulipa kodi.
9) Mlimpelekea bomba lá gesi mpaka kiwandani kwake wakati wawekezaji wengine hugharamia wenyewe.
10) Kiwanda bado ni kidogo kuliko Twiga Cement (wazo) ambao yote hayo walilipia kuwapata na hata kodi ya ardhi wao wanalipa.
11) Je, hii ya kuzoea bure kuna fanya malipo ya statuary contributions kama NHIF, NSSF, WORKERS COMPENSATION FUNDS, na michango mingine pamoja na Corporate social responsibility aone atapata bure?

Mkidai kodi halisi anasema anapata hasara yaani mumempa kila kitu bure na sasa anapata hasara na wazalishaji wengine kodi na kulipia huduma zote na kodi kama Twiga Cement, Simba Cement, Mbeya ya cement na viwanda vingine 19 vya kuzalisha cement. Viwanda vyote vingine vinapata faida na kulipa kodi. Haya tutafika.

Marais waliopita ama walikuwa too soft ama extremists lakini mama kuingia kwako tunaamini kuna mazuri yanakuja. Kwa uchache tuu tunaomba ujielekeza kwenye mambo machache muhimu lakini ndio yatakuwa game changer kwa nchi yetu.
Weka ushahidi wa documents,kama hauna basi hizi ni porojo za vijiweni.
Jiwe alikuwa shetani,hatabiriki,
Turudi nyuma,Tajiri mkubwa Afrika,Mo anatekwa mchana kweupee,na Serikali inasema haijuhi alipo!!
Lakini serikali hiyo hiyo iliweza kudukua nyaraka za Barick gold zote!!
We unafikiri mfanyabiashara gani hatashituka!Kipindi Cha jiwe,sera na sheria za biashara alikuwa anazitunga akiwa anakata gogo,au "atakavyo amka"mazingira yalikuwa hatabiriki,
Hapa chief Dangote ameenda kupata "assurence"kutoka kwa mwenye mbwa!hawa mbwa wengine hawana akili.
 
Hoja ya msingi mnakimbia matusi,Kwa nn hao Twiga,Tanga,mbeya,camel cement n.k walowekeza miaka hawaendi endi Ikulu kulialia,anaenda Dangote ambaye hata nchini mwao wanamtilia shaka biashara zake za kubebwa
 
Hivi kwenye hili Bunge la akina Ndugai, kuna mwenye uwezo wa kuchbua mikataba?
Kwahio kukosekana wachambuzi Bungeni ndio mikataba isipelekwe Bungeni ? Haujui hata kwenda kwake Bungeni huenda na sisi tukaweza kuichungulia ?, na kuichungulia kwako unaweza kumpigia simu mwakilishi wako (au the so called mwakilishi) na kumshika shati kwanini anapitisha madudu...
 
Unalalamika sana shida yako nini??
 
Mpendwa Rais wangu umejitahidi sana kututoa hofu wa Tanzania kuwa unaweza na jinsia yako sio kitu cha kushindwa kuongoza jahazi na tumekubali na kukupokea kwa mikono miwili yawekana kabisa ukaja kuwa mkombozi wetu kwa nchi yetu.

Naamini kwa muda mrefu taifa lilikosa mtu kama wewe na moderating factor katika Governance.

Kuna tahadhali tunayo sisi wananchi wako hasa kuhusu wawekezaji wanaokuja kukuona na kutoa maomba mbali mbali. Na mfano mzuri ni Dangote, hatujui aliomba nini zaidi mbali ya aliyotunukiwa mpaka muda huu.


DOCUMENTS NDIYO ZITASEMA UKWELI KAMA HAYA YAFUATAYO ALIZAWADIWA DANGOTE BURE.

1) @ &#%*^/#%_=÷×+
2) Mliimpa ardhi bure bila kulipia senti tano.
3) Mliimpa eneo la kuchimba lime bure bila kulipia senti tano.
4) Milimpa bure eneo la kuchimba gypsum bila kulipia senti tano.
5) Mlimmpa uhuru wa kuingia wafanyakazi anavyoona na wengi hawakupata na vibali.
6) Mlimsaidia kuingia magari ya kusambaza sementi bure bila kulipia ushuru mbali ya mntambo.
7) Alipo lalamika kuhusu coal makaa ya mawe mliimpa bure ili achimbe mwenyewe bila kujali sheria ya madini inasameje.
8) Alipata tax holiday ya miaka mitano, afanye biashara yake bila kulipa kodi.
9) Mlimpelekea bomba lá gesi mpaka kiwandani kwake wakati wawekezaji wengine hugharamia wenyewe.
10) Kiwanda bado ni kidogo kuliko Twiga Cement (wazo) ambao yote hayo walilipia kuwapata na hata kodi ya ardhi wao wanalipa.
11) Je, hii ya kuzoea bure kuna fanya malipo ya statuary contributions kama NHIF, NSSF, WORKERS COMPENSATION FUNDS, na michango mingine pamoja na Corporate social responsibility aone atapata bure?

Mkidai kodi halisi anasema anapata hasara yaani mumempa kila kitu bure na sasa anapata hasara na wazalishaji wengine kodi na kulipia huduma zote na kodi kama Twiga Cement, Simba Cement, Mbeya ya cement na viwanda vingine 19 vya kuzalisha cement. Viwanda vyote vingine vinapata faida na kulipa kodi. Haya tutafika.

Marais waliopita ama walikuwa too soft ama extremists lakini mama kuingia kwako tunaamini kuna mazuri yanakuja. Kwa uchache tuu tunaomba ujielekeza kwenye mambo machache muhimu lakini ndio yatakuwa game changer kwa nchi yetu.

Kuna ulakini mwingi kwenye list yako. Kama Gas ilikuwa inatosha je ni kwanini anahitaji makaa ya mawe? Ni kwasababu wakina Kikwete waliunda kampuni katikati ya kirushwa ili Gas ya serikali ipitie kwao waongeze cha juu halafu ndiyo wamuuzie Dangote!. Lakini pili Dangote amefanya uwekezaji sehemu ambayo hakuna viwanda kusini. Tatu Dangote amekuja maana Tannzania tunatafuta wawekezaji kwenye mbolea na yeye anataka kuwekeza huko. Lakini vilevile hajasema kwa mtu yeyote ameenda kulalamika kwa Raisi naona malalamiko umekuja nayo wewe mwenyewe. Raisi Samia amekuwa akikutana na watu kwa kuongeza uwekezaji nchini lakini utamaduni wetu wa ulalamishi kuna watu kama wewe umeshaamini Dangote amekuja kulalamika au kuomba msaada.
 
Haya ni maoni tuyapokea na hapa ndipo pá kuuliza, na kuondoa kiwingu. Nimeandika na saidi a kusema kwa sauti wengine wanasema kimya kimya kama ni uwongo unasambaa kumbe sio kweli.
Kuwa mkweli, je, unatumwa na wenye viwanda vya kuzalisha cement nchini kuleta uchonganishi usio na kichwa wala miguu? Hivi kweli unaweza kulinganisha kiwanda cha Cement cha Wazo Hill na kiwanda cha Dangote cha huko Mtwara? Nani ambaye hajui kwamba kiwanda cha Wazo Hill ni kidogo by comparison - sijui kwa nini umehamua kusema uongo!! Kama unashindwa kusema ukweli kwa jambo dogo kama hilo, nani anaweza kuamini mlolongo wa madai uliyo orodhesha hapa kama hayana ajenda ya siri yenye lengo la kutaka kumuaribia sifa Alhaj Aliko Dangote?

Nikwanbie kitu mkuu, lengo lako sio zuri hata kidogo - usije na wewe ukawa kwenye kundi ambalo linataka Alhaj Dangote awekewe a monkey spanner kwenye miradi yake ya uwekezaji hapa Nchini ili akate tamaa na kuondoka kwenda kuwekeza kwenye Mataifa ambayo yanathamini wawekezaji wenye mitaji mikubwa.
 
Tatizo mlikuwa mnasikiliza sana porojo za marehemu.

Ni mgodi gani walisema kuwa wamekuwa hawapati faida? Hakuna mgodi uliowahi kutoa hiyo kauli.

Walchoeleza ni kuwa hawajarudisha hela waliyowekeza. Na kwa vile bado hawajarudisha, hawawezi kulipa corporate tax, amvayo huwa ni 30%. Lakini kodi nyingine zote pamoja na tozo mbalimbali wamekuwa wakilipa.

Kwa bahati mbaya, wajinga wasioelewa mambo haya, walishindiliwa ujinga, mpaka wengine baadaye wakaondoka kwenye ujinga na kuhamia kwenye uwendawazimu.
Sasa Hiyo recovery ya uwekezaji itaisha lini? Baada ya miongo mingapi, na wengine ndio hivyo wanafunga migodi mfano Resolute kule Nzega, mpaka hapo hujaona tumepigwa au tunaendelea kupigwa, au wewe hicho kivuli cha ku rudisha hela za uwekezaji kwa Maisha yote ya mgodi ni jambo jema au lenye tija kwa Taifa letu
 
Mpendwa Rais wangu umejitahidi sana kututoa hofu wa Tanzania kuwa unaweza na jinsia yako sio kitu cha kushindwa kuongoza jahazi na tumekubali na kukupokea kwa mikono miwili yawekana kabisa ukaja kuwa mkombozi wetu kwa nchi yetu.

Naamini kwa muda mrefu taifa lilikosa mtu kama wewe na moderating factor katika Governance.

Kuna tahadhali tunayo sisi wananchi wako hasa kuhusu wawekezaji wanaokuja kukuona na kutoa maomba mbali mbali. Na mfano mzuri ni Dangote, hatujui aliomba nini zaidi mbali ya aliyotunukiwa mpaka muda huu.


DOCUMENTS NDIYO ZITASEMA UKWELI KAMA HAYA YAFUATAYO ALIZAWADIWA DANGOTE BURE.

1) @ &#%*^/#%_=÷×+
2) Mliimpa ardhi bure bila kulipia senti tano.
3) Mliimpa eneo la kuchimba lime bure bila kulipia senti tano.
4) Milimpa bure eneo la kuchimba gypsum bila kulipia senti tano.
5) Mlimmpa uhuru wa kuingia wafanyakazi anavyoona na wengi hawakupata na vibali.
6) Mlimsaidia kuingia magari ya kusambaza sementi bure bila kulipia ushuru mbali ya mntambo.
7) Alipo lalamika kuhusu coal makaa ya mawe mliimpa bure ili achimbe mwenyewe bila kujali sheria ya madini inasameje.
8) Alipata tax holiday ya miaka mitano, afanye biashara yake bila kulipa kodi.
9) Mlimpelekea bomba lá gesi mpaka kiwandani kwake wakati wawekezaji wengine hugharamia wenyewe.
10) Kiwanda bado ni kidogo kuliko Twiga Cement (wazo) ambao yote hayo walilipia kuwapata na hata kodi ya ardhi wao wanalipa.
11) Je, hii ya kuzoea bure kuna fanya malipo ya statuary contributions kama NHIF, NSSF, WORKERS COMPENSATION FUNDS, na michango mingine pamoja na Corporate social responsibility aone atapata bure?

Mkidai kodi halisi anasema anapata hasara yaani mumempa kila kitu bure na sasa anapata hasara na wazalishaji wengine kodi na kulipia huduma zote na kodi kama Twiga Cement, Simba Cement, Mbeya ya cement na viwanda vingine 19 vya kuzalisha cement. Viwanda vyote vingine vinapata faida na kulipa kodi. Haya tutafika.

Marais waliopita ama walikuwa too soft ama extremists lakini mama kuingia kwako tunaamini kuna mazuri yanakuja. Kwa uchache tuu tunaomba ujielekeza kwenye mambo machache muhimu lakini ndio yatakuwa game changer kwa nchi yetu.
Magari yake mengi yalifungwa hadi mitambo ya kutumia gesi na Tanzania wakampa hiyo gesi na inaendesha mitambo yake mingi pamoja na magari.

Eneo la kufanyia shughuli kaongezewa hadi sasa anaweza kufanya biashara na viwanda vingine hapa nchini kwa kandarasi ya kuwauzia mali ghafi kama 'Clinker'.

Aliomba makaa ya mawe kutoka mchuchuma kapewa

Labda ni kipi alichokwama kabla hadi kudai anaenda kuhamasisha wafanyabiashara wengine kuja kuwekeza?

'There might be something whinging in the darkroom which needs to be cracked out to fairly aerate the sphere and illuminate optimism'
 
Kuwa mkweli, je, unatumwa na wenye viwanda vya kuzalisha cement nchini kuleta uchonganishi usio na kichwa wala miguu? Hivi kweli unaweza kulinganisha kiwanda cha Cement cha Wazo Hill na kiwanda cha Dangote cha huko Mtwara? Nani ambaye hajui kwamba kiwanda cha Wazo Hill ni kidogo by comparison - sijui kwa nini umehamua kusema uongo!! Kama unashindwa kusema ukweli kwa jambo dogo kama hilo, nani anaweza kuamini mlolongo wa madai uliyo orodhesha hapa kama hayana ajenda ya siri yenye lengo la kutaka kumuaribia sifa Alhaj Aliko Dangote?

Nikwanbie kitu mkuu, lengo lako sio zuri hata kidogo - usije na wewe ukawa kwenye kundi ambalo linataka Alhaj Dangote awekewe a monkey spanner kwenye miradi yake ya uwekezaji hapa Nchini ili akate tamaa na kuondoka kwenda kuwekeza kwenye Mataifa ambayo yanathamini wawekezaji wenye mitaji mikubwa.
Mkuu

Kiungwana unapomjibu kwa kumwelewesha mtu ambaye ndiye mwenye nchi usitumie hata chembe ya vitisho dhidi yake hilo achana nalo. Ametoa maoni yake yaheshimu kama wewe unavyotamani kile alichokielza kiwe hivyo.

Jenga dhana ya kukubaliana kwa kile msichokubaliana, mbele ya safari yeyote anaweza kumuunga mkono baada ya kutambua alikengueka au la.

Msitishe wananchi tafadhi
 
Namfahamu Maghembe , hajawahi kuwa na hoja
Propaganda za Chadema kila siku zinatuchosha. Tumeishi tangu miaka hiyo Kilimanjaro nikiendesha chama, kipya gani utakileta hapa leo nikishangae.

Mnatafuta ukaribu na SSH wa kifitna tuu, na atawabaini kadri siku zinavyoendelea. Alipo ingia Magufuli mlisema anafuata siasa za Chadema leo mmegeuka tumekuzoa.
 
Usihangaike na wapambe wa Sabaya , wamechanganyikiwa hao , zile bia za bure ndio zishaota mbawa

Wachangiaji Wapuuzi Wapuuzi kama nyie ndio mnaifanya JF ya siku hizi ionekane ya hovyo

Mleta mada kaweka hoja zake na katoa remarks zake kuhusiana na Serikali vs Dangote,,, lakini wewe umekuja kuweka mipasho ya kipuuzi
 
Wachangiaji Wapuuzi Wapuuzi kama nyie ndio mnaifanya JF ya siku hizi ionekane ya hovyo

Mleta mada kaweka hoja zake na katoa remarks zake kuhusiana na Serikali vs Dangote,,, lakini wewe umekuja kuweka mipasho ya kipuuzi
Unamfahamu Mchumia tumbo Maghembe ?
 
Back
Top Bottom