ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Tulia ww mjinga mmoja.....We kenge achana na mama yetu .
Post zako ni kumponda na kumkejeli huna jipya.
hakuna kosa watu kutoa maoni yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia ww mjinga mmoja.....We kenge achana na mama yetu .
Post zako ni kumponda na kumkejeli huna jipya.
Hakuna mchumia tumbo mwenye hoja , Magufuli alimwalika Dangote , akamwalika Rostam hadi mdogo wake jangili wa meno ya tembo akafutiwa kesi ya ujangili , na ccm ikahongwa Channel 10 , uliona Huyu njaa kali Maghembe akiandika huu utopolo wake ? unadhani ni kwanini ?Simfahamu
Ila nimefata hoja sio mtoa hoja
dangote ameenda siku moja unadai kila siku?Hivi kwann kila siku Dangote ni yeye tu Ikulu kwa kila Rais anayeingia?
Je hata viwanda vingine vya cement wako hivyo?
Mi napata mashaka na Huyu bilionea wa Africa,huenda utajiri wake umegubikwa na favor nyingi ambazo kuna watu chini kwa chini wananufaika nate.
Daily Ikulu??????
Nyinyi ni wafanya biashara, au wanyang'anyi wa mali za waTanzania?Barua ya mualiko ulitoa wewe?
Acha kujifanya unajua kumbe pangu pakavu,sisi ndo wafanya biashara tunaelewa haya,wewe mkusanya documents ofisini subiri mshahara mwisho wa mwezi
Mkuu hebu weka wazi jinsi awamu ya tano ilivyo kiuka makubaliano baini ya serikali na Dangote.tunaome uyaweke wazi tuache hisia...Wazo sio kubwa kuliko dangote..
kwa sasa Dangote ndio kiwanda kikubwa interms of production tonnage per day..
Dangote aliomba auziwe gas kwa bei ya Mtwara sio ya Dar es salaam..., gas pipeline limepita upande wa pili wa kiwanda ukivuka barabara...mweye jukumu la kusupply ni TPDC, Dangote yeye amejenga gas plant kwa gharama zake...
Ugomvi wa Dangote ni kugeukwa na awamu ya tano nje ya makubaliano ya awamu ya nne....complain yake ni yeye kuja kuwekeza based taratibu na makubaliano yake na awamu ya nne....awamu ya tano ghafla bin vuu inabadili taratibu na kuleta taratibu mpya na hawataki mazungumzo....wewe ungefanyaje?...
Dangote ananunua gas, Dangote ananunua maji, Dangote ametoa ajira kwa watu zaidi ya 2000, PAYE za watu zaidi ya 2000, NSSF zaidi ya watu 2000...Dangote anasupplier wakibongo wanaolipa kodi....unajua faida ya watu 2000 wakiwa na ajira kwenye mji?... Dangote ameleta cement sokoni kwa 10K cheaper than all...road toll ya magari zaidi ya 500....nk nk nk..
La msingi ni Serikali kumshinikiza Dangote alipe vizuri watu wetu, Aajiri wazawa wengi na kuwapa training, Dangote amentain price ya cement 10k au kushuka chini...nk nk
Na hapa nataka waweke wazi ni kitu gani kibaya Dangote kafanyiwa na awamu ya tano?Hoja ya msingi mnakimbia matusi,Kwa nn hao Twiga,Tanga,mbeya,camel cement n.k walowekeza miaka hawaendi endi Ikulu kulialia,anaenda Dangote ambaye hata nchini mwao wanamtilia shaka biashara zake za kubebwa
Na hayo uliyoomba yakishasemwa hapa, tunaomba pia ni yapi aliyoahidiwa hivi juzi hadi akafurahi na kusifu sana, na kuahidi kuvuta wawekezaji zaidi waje kuwekeza.Mkuu hebu weka wazi jinsi awamu ya tano ilivyo kiuka makubaliano baini ya serikali na Dangote.tunaome uyaweke wazi tuache hisia...
Swala la kuletewa gas kiwandani kwake lilifanywa awamu gani na nani aliagiza?
swala la kupewa mgodi wa kuchimba coal lilifanywa awamu gani? nani aliaGIZA?
Alipo kuwa anaingiza magari yake nakumbuka serikali iliingilia kati nakuamuru yatolewe pale bandarini mtwara haraka... hivi hii ilikuwa awamu gani?
Hebu twambieni Magufuli alimnyima nini Dangote ambacho Mama anataka kumpatia?
Ni serikali ipi imekuwa ikitatua kila leo migogoro ya wafanyakazi wake pale kiwandani?
Nakumbuka hadi wawekezaji wa ndani walianza kulalamika kuwa Dangote anapendelewa sana ...
Naomba useme hapa serikali ya awamu ya tano ilimfanyia nini kibaya Dangote?
Ex prezida wa Nigeria ni big shareholder ndio maana kila mgogoro ukiibuka Obasanjo huja Tz .Hivi kwann kila siku Dangote ni yeye tu Ikulu kwa kila Rais anayeingia?
Je hata viwanda vingine vya cement wako hivyo?
Mi napata mashaka na Huyu bilionea wa Africa,huenda utajiri wake umegubikwa na favor nyingi ambazo kuna watu chini kwa chini wananufaika nate.
Daily Ikulu??????
Watanzania wezi sana...fanya biashara halafu muweke mtanzania wiki tu utaanza kuliaMkuu mengii uneandika Ika Sijaona Uliposema pia Ameajiri Management yooote ni Wahindi.
Si ni Bora nikauza Ndizi kuliko kusimamiwa na Muhindi!Yaani Kazi ambazo Watanzania wanaweza kuzisimamia Yeye Kaweka Muhindi,Kenya hii kitu Haipoooo,Hata Kwao Nigeria haipooo.
Watanzania wakilata Nafasi za Management hapo watalipa Kodi,Watalipa Nssf,Kutakuwa na Multplier effect kwa Jamii nk nk!
Ampe nini mengine ni faragha zaoMpendwa Rais wangu umejitahidi sana kututoa hofu wa Tanzania kuwa unaweza na jinsia yako sio kitu cha kushindwa kuongoza jahazi na tumekubali na kukupokea kwa mikono miwili yawekana kabisa ukaja kuwa mkombozi wetu kwa nchi yetu.
Naamini kwa muda mrefu taifa lilikosa mtu kama wewe na moderating factor katika Governance.
Kuna tahadhali tunayo sisi wananchi wako hasa kuhusu wawekezaji wanaokuja kukuona na kutoa maomba mbali mbali. Na mfano mzuri ni Dangote, hatujui aliomba nini zaidi mbali ya aliyotunukiwa mpaka muda huu.
DOCUMENTS NDIYO ZITASEMA UKWELI KAMA HAYA YAFUATAYO ALIZAWADIWA DANGOTE BURE.
1) @ &#%*^/#%_=÷×+
2) Mliimpa ardhi bure bila kulipia senti tano.
3) Mliimpa eneo la kuchimba lime bure bila kulipia senti tano.
4) Milimpa bure eneo la kuchimba gypsum bila kulipia senti tano.
5) Mlimmpa uhuru wa kuingia wafanyakazi anavyoona na wengi hawakupata na vibali.
6) Mlimsaidia kuingia magari ya kusambaza sementi bure bila kulipia ushuru mbali ya mntambo.
7) Alipo lalamika kuhusu coal makaa ya mawe mliimpa bure ili achimbe mwenyewe bila kujali sheria ya madini inasameje.
8) Alipata tax holiday ya miaka mitano, afanye biashara yake bila kulipa kodi.
9) Mlimpelekea bomba lá gesi mpaka kiwandani kwake wakati wawekezaji wengine hugharamia wenyewe.
10) Kiwanda bado ni kidogo kuliko Twiga Cement (wazo) ambao yote hayo walilipia kuwapata na hata kodi ya ardhi wao wanalipa.
11) Je, hii ya kuzoea bure kuna fanya malipo ya statuary contributions kama NHIF, NSSF, WORKERS COMPENSATION FUNDS, na michango mingine pamoja na Corporate social responsibility aone atapata bure?
Mkidai kodi halisi anasema anapata hasara yaani mumempa kila kitu bure na sasa anapata hasara na wazalishaji wengine kodi na kulipia huduma zote na kodi kama Twiga Cement, Simba Cement, Mbeya ya cement na viwanda vingine 19 vya kuzalisha cement. Viwanda vyote vingine vinapata faida na kulipa kodi. Haya tutafika.
Marais waliopita ama walikuwa too soft ama extremists lakini mama kuingia kwako tunaamini kuna mazuri yanakuja. Kwa uchache tuu tunaomba ujielekeza kwenye mambo machache muhimu lakini ndio yatakuwa game changer kwa nchi yetu.
Unafikiri ujenzi wa nyumba unaitaji cement peke yake?Labda Kama unafanya biashara ya masaburi yako, acha Dangote azalishe cement kwa wingi bei ishuke Kama kipindi kile, ili kila mtanzania ajenge pakuweka ubavu
Mnataka mama awe Kama dikteta mwendazake ambae alikuwa anakula mgao kwa viwanda vya ndani ili kumvuruga Dangote
Huu ushuzi .....Weka ushahidi wa documents,kama hauna basi hizi ni porojo za vijiweni.
Jiwe alikuwa shetani,hatabiriki,
Turudi nyuma,Tajiri mkubwa Afrika,Mo anatekwa mchana kweupee,na Serikali inasema haijuhi alipo!!
Lakini serikali hiyo hiyo iliweza kudukua nyaraka za Barick gold zote!!
We unafikiri mfanyabiashara gani hatashituka!Kipindi Cha jiwe,sera na sheria za biashara alikuwa anazitunga akiwa anakata gogo,au "atakavyo amka"mazingira yalikuwa hatabiriki,
Hapa chief Dangote ameenda kupata "assurence"kutoka kwa mwenye mbwa!hawa mbwa wengine hawana akili.
Pamoja na kuwa tajiri zaidi mweusi ulimwenguni Dangote ana tabia ya kukwepa kulipa kodi na kuwatumia viongozi wengiwa nchi za Kiafrika kwa njia anazojua yeye za asilimia 10, kuna wakati aliwahi kukimbilia nje kutokana na tuhuma za milungura na ukwepaji kodi huko kwao. Dangote si tu ni mjanja kwenye mambo ya biashara bali yeye anachojua ni kushindatu kwa kila dili analolifanya, kifupi Dangote sio mwekezaji mzuri bali ni dhulumati mkubwa.Hivi kwann kila siku Dangote ni yeye tu Ikulu kwa kila Rais anayeingia?
Je hata viwanda vingine vya cement wako hivyo?
Mi napata mashaka na Huyu bilionea wa Africa,huenda utajiri wake umegubikwa na favor nyingi ambazo kuna watu chini kwa chini wananufaika nate.
Daily Ikulu??????