DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.
Sawa kila mtu hula kwa urefu wa kamba yake. Hayo ndio malupulupu yake kuwa mtoto wa rais. Africa hicho kitu kidogo sana. Hata ningekuwa mimi ningetumia hiyo nafasi kwa nchi hizi za Africa. Tena huyo haijatumia vizuri hiyo nafasi ya kuwa mtoto wa mheshimiwa. Hiyo mizigo kwa sasa ilitakiwa awe anapambana na TRA pale bandarini ana kontena 10,15. Mimi nisingehangaika na huto tutyre twa hapo hapo dar. Ilikuwa aanze kuchapisha tyre zake nje. Bado namuona kinda kwenye mambo hayo.
Wewe rejea Ri-1 katengeneza hela, maisha kupitia nafasi kama hiyo na bado anapiga mkwanja kupitia hiyo,hajazubaa. Ni tajiri kwa sasa
Mwingine Mtoto wa rais wa zamani Angola ni mwanamke tajiri Africa.
Wewe unataka baadae waanze kutanga tanga na kuongea ongea kama watoto wa kiongozi wa kwanza humu
Wewe ni mjinga, hao wanafanya hayo na wajinga kama nyie mnashangilia kisha mnakuja tena kulalamikia wazungu kwa umaskini wenu.

Mambo ya kipumbavu wanayofanya hawa ndio chanzo cha ccm kubaki kuhujumu uchaguzi kila siku kwa kuhofia yale yanayotokea Angola kwa sasa lakini siku hazigandi iko siku hakuna kiendacho juu ambacho hakitarudi chini.
 
Naam huenda mleta uzi kwa kufanya kwake hivi ndio kuleta mashitaka yenyewe ili wahusika walifanyie kazi (Whistle Blower); Hivyo tusimshambulie kwa kufanya kazi yake ya uzalendo (kama kweli muhusika anafanya) unless tuna visibitisho kwamba hafanyi hivyo tumshambulie mleta uzi kwa uongo wake (ila sio kwa kuona wivu au kutokulipa kodi kwa mtoto wa rais ni sawa sababu angeweza kuiba zaidi kama watoto wa Museveni et al)
Hana jipya hapo, siasa majitaka hazijaanza leo.
 
Henchmen wake akina Makonda, Sabaya, Musiba na wengine bado wapo, wanaweza kuendeleza pale walipoishia enzi za Jiwe wapigie tu chapuo wazo linaweza kusikilizwa.
All in all si-support ujinga wa mtu yoyote kukwepa kodi au viongozi kuanzisha companies kwa kutumia majina ya watu wengine huku zikipewa tenders muhimu(kama alivyokuwa akifanya Jiwe).
Tunahitaji nchi inayofuata utawala wa sheria, katiba itakayozipa institutions nguvu na kuwabana viongozi waweze kushitakiwa, viongozi muhimu wasiwe presidential appointees kiasi kwamba wawe na nguvu ya kumuwajibisha au kumsimamisha kizimbani au pawepo mamlaka za kuweza kumsimamisha kwa ajili ya uchunguzi unaomuhusu. Hata hili la mtoto wake alipaswa kuhojiwa na kulazimishwa kutoa public statement kwani linamchafua direct, kwenye civilized countries watoto wa viongozi huogopa sana scandals za aina hiyo(kukwepa kodi) kwani zinamuathiri moja kwa moja mzazi(kiongozi).
TRA nao huonea sana wafanyabiashara wasio na 'connections' ili wapewe rushwa kwa hiyo scandals zao pia ni nyingi mno ndiyo maana wanakuwa waoga kwani wakimbana mtoto wa kiongozi whistleblowers watapayuka na kuuanika uozo wao na wanaweza hata kujikuta wakisimama kizimbani, kwa kifupi maafisa wa TRA ni majambazi wanaofanya ujambazi wao mchana kweupe.
Mkuu 'MONSTER', kwa mstari wako wa kwanza katika bandiko lako hili umenikosea adabu kuliko ninavyoweza kueleza. Sijui ni sheatani gani aliekuingia akilini ukaamua kunidhalilisha kiasi hiki hapa.

Ninarudia tena, na kama hunielewi utakuwa unalo tatizo. Kutokana na tabia za kipumbavu walizonazo baadhi ya wananchi wa Tanzania, kiongozi aina ya Magufuli ndiye anayefaa kutawala hii nchi hadi wananchi wake watakapoingiwa na akili za kuelewa jinsi wanavyochezewa na hawa viongozi wa aina iliyopo sasa.

Ondoa mambo yale ya kishetani yaliyomhusu Magufuli, kiongozi huyo ndiye anayefaa kuitawala Tanzania kwa sasa hivi. Hao uliowataja hapo juu ni sehemu ya ushetani aliokuwa nao Magufuli.
 
Kwahiyo asilipe Kodi? Mbona watanzania wapumbavu hivi!?? Unafaham madhara ya Kila mtu akikwepa kodi? Hili jukwaa la jforum limekuwa la kitoto sana
Mkuu unavyochangia kama una uhakika na alioleta mleta mada huyo mtoto wa Rais amekwepa kodi tshs?
Au tumeshasahau Kuna wengine humu JF ni mada za majungu na kunifitinisha Serikali na Wananchi bila ushahidi wowote?
 
Jiangalie sana. Mambo yasiyokuhusu achana nayo maana naamini hauna ushahidi wa ulichokiandika
 
Wewe ni mjinga, hao wanafanya hayo na wajinga kama nyie mnashangilia kisha mnakuja tena kulalamikia wazungu kwa umaskini wenu.

Mambo ya kipumbavu wanayofanya hawa ndio chanzo cha ccm kubaki kuhujumu uchaguzi kila siku kwa kuhofia yale yanayotokea Angola kwa sasa lakini siku hazigandi iko siku hakuna kiendacho juu ambacho hakitarudi chini.
Kwa akili kama hizo kuna werevu kweli hapo?. Wazazi wako walipoteza ada. Kitu cha kujibu kwa hoja unapayuuukaa.
 
Hana jipya hapo, siasa majitaka hazijaanza leo.
Siasa za Majitaka.....
  • Samia ni Mdini (Bila evidence za kutosha au kwa kauli yake kuonyesha chuki ya Imani nyingine) hizo zitakuwa Siasa za Majitaka
  • Samia anapendelea watu wa Imani fulani (bila kuwa na evidence za kutosha na kuhakikisha wanaochaguliwa hawana merit zaidi ya imani yao au wanapotoka kuwa sawa na Samia (coincidence) hizo ni siasa za majitaka
Mtoto wa Rais Halipi Kodi
  • Inabidi achukuliwe hatua au Taasisi husika hazifanyi kazi yake; lakini vilevile makosa ya Mtoto hatuwezi kumuhukumu mzazi moja kwa moja huenda hajui (ila kama hajui na wengine wengi wanajua na yeye sikio lake lina habari za usalama wa Taifa huenda anapwaya kama Kiongozi
  • Au huenda mleta uzi ni muongo na anamsingizia hivyo tumuhukumu mleta uzi kwa uongo na sio ku-belittle kosa linalofanyika
Mtoto wa Rais anatumia Status yake Kuhujumu / Kukwamisha Taasisi kufanya kazi zake
  • That is worse sababu hapo ingawa makosa yake sio ya mama yake ila kutumia cheo cha mama yake kupindisha sheria hapo mama anakuwa implicated, na kama mleta uzi anajua kinachofanyika na Rais hajui; je tutaacha kujua mangapi ambayo yanaweza liangamiza taifa ?

Narudia tumuhukumu mleta uzi kwa uongo au uzushi na sio ku-belittle huu upuuzi
 
Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia.

Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone Kariakoo. Toka mama yake aingie madarakani amekua tatizo sana kwa maofisa wa TRA wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale Kariakoo kwa sababu anafanya biashara pasipokufuata taratibu na miongozo ya nchi yetu hatoi risiti kwa wateja wake wala yeye mwenyewe hajali hilo anashirikiana na kampuni za wachina kukwepa kodi.

Mfano tukio la hivi karibuni ni la bwana Abdulhalim kununua mzigo wa matairi kwenye kampuni flani ya wachina iko Mikocheni inaitwa Hiview international co ltd bila risiti ule mzigo kufika Kariakoo maofisa wa TRA wakaukamata kwa sababu haukua na risiti wala invoice WALA DOCUMENT yoyote. So baada ya masaa kama mawili hivi ya kuzozana pale, wale maofisa wakapigiwa simu kutoka juu wakaambiwa wauachie huo mzigo haraka sana kwani ni wa mtoto wa mheshmiwa.

Kuna kesi nyingi za aina hiyo ambazo huyu kijana amekua akizifanya na anapokua anatafutwa na vyombo husika basi hutumia jina la mama ake kujinasua. Sijasema kwamba Rais Samia anahusika na huu upuuzi wa mwanae ila jina lake kutumika kumnasua kila akipata majanga inaleta mashaka sana kwani haya mambo wananchi wa kawaida wanayaona live na yanaleta mkanganyiko sana pale Kariakoo.

Kwa hiyo mama Samia najua humu kuna machawa wako wengi tu, jaribu kukaa na mwanao umrekebishe, hizo vurugu zake hapo Kariakoo zinawapa shida sana maofisa kutekeleza majukumu yao.
Picha
 
Kodi zenyewe zinaenda fanya upumbavu, bora mtu asilipe tu
Usalama wako hapo ulipo.jua kuna watu mipakan hawalal. Vyombo vipo macho hio mdio kaz ya kodi yako. Ili wewe mkuu upate kurelaax na kutwiti hapa jukwaa
.ova
 
Kodi zenyewe zinaenda fanya upumbavu, bora mtu asilipe tu
Usalama wako hapo ulipo.jua kuna watu mipakan hawalal. Vyombo vipo macho hio mdio kaz ya kodi yako. Ili wewe mkuu upate kurelaax na kutwiti hapa jukwaa
.ova
 
Hivi Tanzania hii na mimali iliyokuwepo angekuwa huyo si mtoto mwema angekaa kuuza tairi? Saa hizi si angekuwa godfather wa wawekezaji mabilionea.

Mleta nada ni mjinga mmoja aliyekosa cha kuandika, ni katika vibaraka wa sukuma gang.
Ndio hata mim nashangaa.tena wazanzibar hata sio watu wa kujikweza
Mim sa hiz ningekua chai nainywea dubai na investors.
 
Umeona watoto rais wa kwanza

Watoto wa Raisi wa kwanza
Tunawacheka sasa hivi wamefulia, hawana akili

Abdul ,Mama Samiha akiondoka Madarakani na thamani yako ndio itakua imefikia tamati, hawatakujali, hawatakusikiliza piga Hela ndio heshima yako ya baadae
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom