Rais Samia, Mwigulu hakufai. Watanzania wanamjua Kiongozi anayefaa

Huu ni ukweli usiopingika
Namkumbuka sana Mwiguru kwenye ile miili ilikutwa kwenye viroba mtoni
Majibu yake kama Waziri aliyekuwa mwenye dhamana yaliniogopesha sana
 
Hiyo Wizara inataka Mtu makini wa caliba ya Mussa Assad sio huyo Kada.
mussa assad alikuwa anaula,kiherehere cha kuanza kubwabwaja baada ya mwendazake kuondoka kikamharibia.

sifa kuu ya mtu mchapakazi huwa halalamiki sana.
 
mussa assad alikuwa anaula,kiherehere cha kuanza kubwabwaja baada ya mwendazake kuondoka kikamharibia.

sifa kuu ya mtu mchapakazi huwa halalamiki sana.
Mussa Assad harembi wala huwa haumiumi maneno,sio caliba ya Makada wenu ambao njaa inawasumbua
 
Mussa Assad harembi wala huwa haumiumi maneno,sio caliba ya Makada wenu ambao njaa inawasumbua
angekuwa harembi asingeufyata kipindi jpm yupo,mbona akihojiwa alikuwa hataki kuzungumzia hayo mpaka jamaa alipokufa!!!

kuna mstari mwembamba kati ya mwenye njaa na asad.
 
angekuwa harembi asingeufyata kipindi jpm yupo,mbona akihojiwa alikuwa hataki kuzungumzia hayo mpaka jamaa alipokufa!!!
Alitumiwa Wasiojulikana akaambiwa atauwawa kama wenzake waliouwawa na kupotezwa kabisa na hilo jinamizi lililobaki mifupa
 
Daa..h..! Ila jamaa mbona saivi yupo safi tu. Msimhukumu kwa yaliyopita, awamubile inajulikana legacy yake jamani. Mwacheni aendeleze kazi.
huyo jamaa ana roho mbaya na haiwezi kubadilika ndo maana alipopata ajali ya kumgonga Punda huko mtera baadhi ya watu akiwemo mimi walimsikitikia punda cha ajabu alipopona akamsifia Magu kwa kumponya
 
Alitumiwa Wasiojulikana akaambiwa atauwawa kama wenzake waliouwawa na kupotezwa kabisa na hilo jinamizi lililobaki mifupa
mwanaharakati haogopi mikwara,ukiona hivyo ujue huyu alikuwa mzee wa fursa tu kama wewe.
 
Mama na magu kiujumla hawakuwa pamoja! Ni ccm tu Ina nguvu iliamua hivyo. Lkn chini ya kapeti mbona tutasikia mama zaidi ya Mara 2 alitaka kuchomoa akina jakaya ndo waliokusitiri wanaokoa jahazi kumrudisha mama. Kiufupi mama na magu hawakuwa pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…