Rais Samia na CCM msaidieni Anthony Diallo jahazi linazama

Rais Samia na CCM msaidieni Anthony Diallo jahazi linazama

Kanda ya ziwa wana heraa wapitishe bakuri waichangie maana ni vituo pendwa huko ...kwa ushauri tu wabeba bakuli wawe ni wale waigizaji wa futui maana wana special love toka kwa wanakanda ya ziwa...alafu kuna yule dada anavaa ushungi alishawahi kutujibu vibaya sana kwenye function moja ivii ... yule akahudumie mume tu kama tabia zake ndio hizo 🤔
Yupi huyo mkuu ni wa kipindi cha futuhi
 
Kwa habari nilizonazo ni kwamba Kampuni ya Sahara Media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya Star TV, Radio Free Africa na KISS FM.

Wafanyakazi wa vituo hivyo wanadai malimbikizo ya mishahahara kuanzia miezi mitatu hadi mitano.

Baadhi ya wafanyakazi wameanza mgomo toka Jumapili kushinikiza kulipwa pesa zao na huku wakijipanga kumpeleka mahakamani mzee Diallo na kuiomba mahakama kupiga mnada kampuni ya Sahara ili kulipa madeni yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa.

Ni wakati wa Rais Samia na CCM Kumsaidia mzee Diallo katika kipindi hiki kigumu anachopitia maana yeye ni mwanaccm mzalendo.

Na wasilisha kwaajili ya utekelezaji
Kwa hela ipi? Kodi zetu au hela ya CCM?
 
Mungu saidia kampuni isifirisike na irudi kwenye hali ya kawaida la sivyo familia nyingi zitapata tabu
Umaskini wa akili huo, yaani unafanya kazi sehemu unapata vipesa kidogo alafu unaendelea kuhisi utakuwepo hapo milele. Jiongezeni mkiwa huko kazini. Ndio nyie hhwa mnakufa kwa presha baada ya kustaafu
 
Wanaozama ni Diallo tuu naona kila kukicha nyuzi zake tufanyeje sisi arudishe mpira kwa kipa kama wanavyofanya wengine...
 
Kuna mada niliandika juu ya huyu mzee lakini naona imefutwa na kama ni yeye kweli atubu. CCM imemfanyia mambo mazuri lakini kama ndiye bwana yule atubu.

Nitaandika tena nikipata muda
 
Wamsaidie tu kwakwe ni mwenzao,

kuna kipindi flan cha kampeni hiyo station ilibadilika ikawa ya CCM, wakajisahau kbs kuna wale wa upande mwingine,
 
Kwa habari nilizonazo ni kwamba Kampuni ya Sahara Media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya Star TV, Radio Free Africa na KISS FM.

Wafanyakazi wa vituo hivyo wanadai malimbikizo ya mishahahara kuanzia miezi mitatu hadi mitano.

Baadhi ya wafanyakazi wameanza mgomo toka Jumapili kushinikiza kulipwa pesa zao na huku wakijipanga kumpeleka mahakamani mzee Diallo na kuiomba mahakama kupiga mnada kampuni ya Sahara ili kulipa madeni yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa.

Ni wakati wa Rais Samia na CCM Kumsaidia mzee Diallo katika kipindi hiki kigumu anachopitia maana yeye ni mwanaccm mzalendo.

Na wasilisha kwaajili ya utekelezaji
Hiyo kazi aachiwe Millard Ayo tu, kwani laZima bhanaa?!
 
Kwa habari nilizonazo ni kwamba Kampuni ya Sahara Media inayomilikiwa na ANTHONY DIALLO iko katika kipindi kigumu kuelekea kufilisika au kupigwa mnada kutokana na madeni makubwa yanayo mkabili mmiliki wake hasa kutoka kwa wafanyakazi wake wa vituo vya Star TV, Radio Free Africa na KISS FM.

Wafanyakazi wa vituo hivyo wanadai malimbikizo ya mishahahara kuanzia miezi mitatu hadi mitano.

Baadhi ya wafanyakazi wameanza mgomo toka Jumapili kushinikiza kulipwa pesa zao na huku wakijipanga kumpeleka mahakamani mzee Diallo na kuiomba mahakama kupiga mnada kampuni ya Sahara ili kulipa madeni yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa.

Ni wakati wa Rais Samia na CCM Kumsaidia mzee Diallo katika kipindi hiki kigumu anachopitia maana yeye ni mwanaccm mzalendo.

Na wasilisha kwaajili ya utekelezaji
Unataka wamsaidie nini? kulipa madeni au Kampuni ifanye vizuri? Ningemshauri aiuze tu kampuni ili aangalie kitu kingine cha kufanya.
 
Dunia haiko fair Star Tv mwaka 2015 walizunguka tanzania nzima kumnadi JPM kwa kurusha mikutano yake ya kampeni live kila sehemu,hawakumlipa hela zake
Ccm acheni dhuluma
Yeye ndiye alijipendekeza, hakupewa tenda ya alichokuwa anakifanya
 
Back
Top Bottom