Rais Samia na jicho la mwewe miezi mitatu nyuma alisema huko ndani kwao Chadema kunawaka moto haya sasa tunayashudia!

Rais Samia na jicho la mwewe miezi mitatu nyuma alisema huko ndani kwao Chadema kunawaka moto haya sasa tunayashudia!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Miezi mitatu na ushee pale Raisi Samia alipokuwa akitoa hotuba ,kati ya maneno aliyosema ni kuhusu wanasiasa haswa lissu kuropoka sana kuhusu CCM na Serikali .

Alisema huko ndani Chadema kunawaka moto wengi walichukulia labda ni kauli za vijembe vya kawaida katika siasa kumbe Raisi Samia ana kiona mbali jicho la mwewe, alishauona mgogoro huu na minyukano miezi mitaru nyuma na kweli yanatokea.

NIkisema mgogoro huu ni mgogoro kweli uchaguzi ukikamilika naiona chadema inayokwenda kuzaliwa upya,
............. chadema academia ......maana si kwa fukuza fukuza safisha mamluki wa lissu na mariah sarungi, waliojazana chadema na kukidumaza chama kugomea na kupinga mengi mazuri ya maendeleo.... tutegemee wale wote waliopinga hadharani utawala wa Mbowe ....
kufurushwa inajulikana Chadema hakuna demokrasia .....ile ni saccos ya ukoo wa mzee mtei .....
aliyeamua kumrithisha Mbowe kama msimamizi, hawawezi kukubali iporwe na Lissu au Mariah sarungi na genge lao kwa maslahi yao binafsi ya kuombea misaada huko ubelgiji .

Kwa kutaka kufanya maandamano yasiyo na tija kuichokoza serikali ili wapate nafasi ya kupiga hela kwa kuwatafutia watu vibali vya ukimbizi wa kisiasa.

CHADEMA kushneiii atike babujiiii!
 
Miezi mitatu na ushee pale Raisi Samia alipokuwa akitoa hotuba ,kati ya maneno aliyosema ni kuhusu wanasiasa haswa lissu kuropoka sana kuhusu CCM na Serikali .

Alisema huko ndani Chadema kunawaka moto wengi walichukulia labda ni kauli za vijembe vya kawaida katika siasa kumbe Raisi Samia ana kiona mbali jicho la mwewe, alishauona mgogoro huu na minyukano miezi mitaru nyuma na kweli yanatokea.

NIkisema mgogoro huu ni mgogoro kweli uchaguzi ukikamilika naiona chadema inayokwenda kuzaliwa upya,
............. chadema academia ......maana si kwa fukuza fukuza safisha mamluki wa lissu na mariah sarungi, waliojazana chadema na kukidumaza chama kugomea na kupinga mengi mazuri ya maendeleo.... tutegemee wale wote waliopinga hadharani utawala wa Mbowe ....
kufurushwa inajulikana Chadema hakuna demokrasia .....ile ni saccos ya ukoo wa mzee mtei .....
aliyeamua kumrithisha Mbowe kama msimamizi, hawawezi kukubali iporwe na Lissu au Mariah sarungi na genge lao kwa maslahi yao binafsi ya kuombea misaada huko ubelgiji .

Kwa kutaka kufanya maandamano yasiyo na tija kuichokoza serikali ili wapate nafasi ya kupiga hela kwa kuwatafutia watu vibali vya ukimbizi wa kisiasa.

CHADEMA kushneiii atike babujiiii!


Yani ilimradi uonekane umesifia Jambo kutoka kwa Rais
 
Miezi mitatu na ushee pale Raisi Samia alipokuwa akitoa hotuba ,kati ya maneno aliyosema ni kuhusu wanasiasa haswa lissu kuropoka sana kuhusu CCM na Serikali .

Alisema huko ndani Chadema kunawaka moto wengi walichukulia labda ni kauli za vijembe vya kawaida katika siasa kumbe Raisi Samia ana kiona mbali jicho la mwewe, alishauona mgogoro huu na minyukano miezi mitaru nyuma na kweli yanatokea.

NIkisema mgogoro huu ni mgogoro kweli uchaguzi ukikamilika naiona chadema inayokwenda kuzaliwa upya,
............. chadema academia ......maana si kwa fukuza fukuza safisha mamluki wa lissu na mariah sarungi, waliojazana chadema na kukidumaza chama kugomea na kupinga mengi mazuri ya maendeleo.... tutegemee wale wote waliopinga hadharani utawala wa Mbowe ....
kufurushwa inajulikana Chadema hakuna demokrasia .....ile ni saccos ya ukoo wa mzee mtei .....
aliyeamua kumrithisha Mbowe kama msimamizi, hawawezi kukubali iporwe na Lissu au Mariah sarungi na genge lao kwa maslahi yao binafsi ya kuombea misaada huko ubelgiji .

Kwa kutaka kufanya maandamano yasiyo na tija kuichokoza serikali ili wapate nafasi ya kupiga hela kwa kuwatafutia watu vibali vya ukimbizi wa kisiasa.

CHADEMA kushneiii atike babujiiii!
"Sijui labda katikati na Baadae mambo yaharibike saaaaaana "🤣🤣😀😀🚴🚴
BY Jakaya Mrisho Kikwete

2025 Samia Bye bye, Rais ni Mkristu, Mkatoliki na ni Mwanaume
 
Miezi mitatu na ushee pale Raisi Samia alipokuwa akitoa hotuba ,kati ya maneno aliyosema ni kuhusu wanasiasa haswa lissu kuropoka sana kuhusu CCM na Serikali .

Alisema huko ndani Chadema kunawaka moto wengi walichukulia labda ni kauli za vijembe vya kawaida katika siasa kumbe Raisi Samia ana kiona mbali jicho la mwewe, alishauona mgogoro huu na minyukano miezi mitaru nyuma na kweli yanatokea.

NIkisema mgogoro huu ni mgogoro kweli uchaguzi ukikamilika naiona chadema inayokwenda kuzaliwa upya,
............. chadema academia ......maana si kwa fukuza fukuza safisha mamluki wa lissu na mariah sarungi, waliojazana chadema na kukidumaza chama kugomea na kupinga mengi mazuri ya maendeleo.... tutegemee wale wote waliopinga hadharani utawala wa Mbowe ....
kufurushwa inajulikana Chadema hakuna demokrasia .....ile ni saccos ya ukoo wa mzee mtei .....
aliyeamua kumrithisha Mbowe kama msimamizi, hawawezi kukubali iporwe na Lissu au Mariah sarungi na genge lao kwa maslahi yao binafsi ya kuombea misaada huko ubelgiji .

Kwa kutaka kufanya maandamano yasiyo na tija kuichokoza serikali ili wapate nafasi ya kupiga hela kwa kuwatafutia watu vibali vya ukimbizi wa kisiasa.

CHADEMA kushneiii atike babujiiii!
Unadhani nani anatia kuni kwenye mafiga ya chadema kama si ccm
 
Miezi mitatu na ushee pale Raisi Samia alipokuwa akitoa hotuba ,kati ya maneno aliyosema ni kuhusu wanasiasa haswa lissu kuropoka sana kuhusu CCM na Serikali .

Alisema huko ndani Chadema kunawaka moto wengi walichukulia labda ni kauli za vijembe vya kawaida katika siasa kumbe Raisi Samia ana kiona mbali jicho la mwewe, alishauona mgogoro huu na minyukano miezi mitaru nyuma na kweli yanatokea.

NIkisema mgogoro huu ni mgogoro kweli uchaguzi ukikamilika naiona chadema inayokwenda kuzaliwa upya,
............. chadema academia ......maana si kwa fukuza fukuza safisha mamluki wa lissu na mariah sarungi, waliojazana chadema na kukidumaza chama kugomea na kupinga mengi mazuri ya maendeleo.... tutegemee wale wote waliopinga hadharani utawala wa Mbowe ....
kufurushwa inajulikana Chadema hakuna demokrasia .....ile ni saccos ya ukoo wa mzee mtei .....
aliyeamua kumrithisha Mbowe kama msimamizi, hawawezi kukubali iporwe na Lissu au Mariah sarungi na genge lao kwa maslahi yao binafsi ya kuombea misaada huko ubelgiji .

Kwa kutaka kufanya maandamano yasiyo na tija kuichokoza serikali ili wapate nafasi ya kupiga hela kwa kuwatafutia watu vibali vya ukimbizi wa kisiasa.

CHADEMA kushneiii atike babujiiii!
Moto aliouwasha akidhani utalipuka na kuleta maafa makubwa CHADEMA umekuwa moto wa mabua unaoelekea kuzima😂😂
 
Miezi mitatu na ushee pale Raisi Samia alipokuwa akitoa hotuba ,kati ya maneno aliyosema ni kuhusu wanasiasa haswa lissu kuropoka sana kuhusu CCM na Serikali .

Alisema huko ndani Chadema kunawaka moto wengi walichukulia labda ni kauli za vijembe vya kawaida katika siasa kumbe Raisi Samia ana kiona mbali jicho la mwewe, alishauona mgogoro huu na minyukano miezi mitaru nyuma na kweli yanatokea.

NIkisema mgogoro huu ni mgogoro kweli uchaguzi ukikamilika naiona chadema inayokwenda kuzaliwa upya,
............. chadema academia ......maana si kwa fukuza fukuza safisha mamluki wa lissu na mariah sarungi, waliojazana chadema na kukidumaza chama kugomea na kupinga mengi mazuri ya maendeleo.... tutegemee wale wote waliopinga hadharani utawala wa Mbowe ....
kufurushwa inajulikana Chadema hakuna demokrasia .....ile ni saccos ya ukoo wa mzee mtei .....
aliyeamua kumrithisha Mbowe kama msimamizi, hawawezi kukubali iporwe na Lissu au Mariah sarungi na genge lao kwa maslahi yao binafsi ya kuombea misaada huko ubelgiji .

Kwa kutaka kufanya maandamano yasiyo na tija kuichokoza serikali ili wapate nafasi ya kupiga hela kwa kuwatafutia watu vibali vya ukimbizi wa kisiasa.

CHADEMA kushneiii atike babujiiii!
Pumba tupu
 
Sasa kama unamnunua Mbowe unategemea moto usiwake. Hiyo ni common sense tu
Samia hajamnunua mbowe

Mbowe was a sold out long time ago

Btw, it is very insulting Kwa wanachakadomoz wote kukubali baba ndubwi kauza

Maana yake wote wanauza
 
Miezi mitatu na ushee pale Raisi Samia alipokuwa akitoa hotuba ,kati ya maneno aliyosema ni kuhusu wanasiasa haswa lissu kuropoka sana kuhusu CCM na Serikali .

Alisema huko ndani Chadema kunawaka moto wengi walichukulia labda ni kauli za vijembe vya kawaida katika siasa kumbe Raisi Samia ana kiona mbali jicho la mwewe, alishauona mgogoro huu na minyukano miezi mitaru nyuma na kweli yanatokea.

NIkisema mgogoro huu ni mgogoro kweli uchaguzi ukikamilika naiona chadema inayokwenda kuzaliwa upya,
............. chadema academia ......maana si kwa fukuza fukuza safisha mamluki wa lissu na mariah sarungi, waliojazana chadema na kukidumaza chama kugomea na kupinga mengi mazuri ya maendeleo.... tutegemee wale wote waliopinga hadharani utawala wa Mbowe ....
kufurushwa inajulikana Chadema hakuna demokrasia .....ile ni saccos ya ukoo wa mzee mtei .....
aliyeamua kumrithisha Mbowe kama msimamizi, hawawezi kukubali iporwe na Lissu au Mariah sarungi na genge lao kwa maslahi yao binafsi ya kuombea misaada huko ubelgiji .

Kwa kutaka kufanya maandamano yasiyo na tija kuichokoza serikali ili wapate nafasi ya kupiga hela kwa kuwatafutia watu vibali vya ukimbizi wa kisiasa.

CHADEMA kushneiii atike babujiiii!
Huwa nashindwa kuwaelewa wafuasi wa CCM,why mnapenda chadema ife?why hampendi siasa za upinzani?shida ni nn?OK mnataka nchi ya chama kimoja?then what?
Kweli ktk watu mil 66 mnataka wote tuwe wafuasi wa ccm?ie wote tuwe na mawazo na maono sawa???
 
Back
Top Bottom