Kwahyo kuongea hikonkiinhereza chako cha kimboka unajiona msomi?Rais Samia haruhusiwi kwenda kuaga kwao?
The lights are on but nobody is home.
Talk sense to a fool and he will call you foolish.
JF inaposogea kuwa META siku hadi siku.
Mada zisizo na kichwa wala miguu ndio 90% ya mada zote.
Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.
Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.
Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!
View attachment 2114128
Wacha kiingereza hata kiswahili kinakushinda kuandika ili ueleweke.Ulitaka kuandika nini?Kwahyo kuongea hikonkiinhereza chako cha kimboka unajiona msomi?
Kiingereza chenyewe umekariri. HahaaaaRais Samia haruhusiwi kwenda kuaga kwao?
The lights are on but nobody is home.
Talk sense to a fool and he will call you foolish.
JF inaposogea kuwa META siku hadi siku.
Mada zisizo na kichwa wala miguu ndio 90% ya mada zote.
mliangaika na 1.5T, lakini hakuna mahali mlidhibitisha imeliwaje...! ? Ha ha haaaa!Hela ya Tanzania inaliwa kibwege sana !
Yaani amedesa kutoka kwa Mabeberu, halafu anakuja kujimwambafai JF! πππKiingereza chenyewe umekariri. Hahaaaa
Ndio ukweli wenyeweSimtetei, maana kusema kweli hata mimi simuelewi. Lakini, kuna uwezekano mkubwa flight yake ilikuwa scheduled kupitia Zenj. Kitendo cha wazee kukutana nae airport kunaipa nguvu nadharia yangu
Kwani Rais wa Zanzibar nae alihusika kwenye uzinduzi wa ile miradi ya "ring roads" za Dodoma?Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.
Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.
Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!
View attachment 2114128