Rais Samia na matumizi ya kodi zetu

Rais Samia na matumizi ya kodi zetu

Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128
Hao wazee mbona kama wale "shield - makers" wa kimwambao mwambao!!!??????
Kinga ni bora kuliko tiba.
African science.
 
Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128
Sasa kama alimrejesha nduguye Zenji kisha ndiyo akaondoka huoni ametekeleza jukumu lake kama dada?
 
Sasa si bora mimi ninaye kula kwa jasho kuliko wewe chawa unayeishi kwa kulamba miguu watu!!

Halafu hivi wewe ni Tui la nazi au ni machicha tu? Maana naona unanipotezea tu muda wangu kukujibu.
Ujinga haujamuacha mjinga huru.Akili fupi kama ulivyo.Endelea kuuza pears huko Lushoto.Harakati zinataka akili.Jifunze kiswahili unalolijua wewe ni la nazi tu.
Ulidandia lisilokuhusu sasa unashangaa nini?
Laumu umaskini wako.
 
Hiyo ni idiom. Huwezi kuelewa .Jifunze kiingereza kabla hujajifanya kukosoa.Na huwezi kuileta nusu inakuwa haileti maana.Sikulaumu tuition zipo nyingi kajiongeze.
Huwa tunatumia sana nahau tunaopongea kuliko kuandika , nahau mara nyingi huambatana na gestures, sio kanuni bali ni kawaida .
Ungekosa nn kwa mfano ungeandika nobody's home ? Au nobody is at home ?
 
Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Maafisa Madini Wilaya ya Chunya limefanikiwa kukamata madini aina ya dhahabu yenye thamani zaidi ya Tsh milioni mia arobaini (140).

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei, ameeleza kuwa Februari 9, 2022 majira ya saa 19:30 usiku katika kizuizi cha Polisi Chalangwa kilichopo Kata ya Chalangwa, Tarafa ya Kiwanja, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya, Askari Polisi kwa kushirikiana na Maafisa Madini Wilaya ya Chunya walikamata Gari T.948 DTM aina ya Toyota Crown iliyokuwa ikiendeshwa na mtu aliyefahamika kwa jina BARAKA SINGU @ NYODA, ambaye baada ya kusimamishwa kwenye kizuizi hicho alikimbia na kutelekeza gari hiyo.

Katika upekuzi uliofanywa kwenye gari hiyo vilikutwa vipande 36 vya madini aina ya dhahabu vyenye uzito wa gramu 1367.07 vyenye thamani ya Tshs. 147,694,961.83/= na fedha taslimu Tshs. 504,600/=, lengo ni kukwepa kodi na tozo za serikali.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na msako wa kumtafuta mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.

Aidha, linatoa rai kwa wafanyabiashara kutambua kuwa mkono wa serikali ni mrefu hivyo ni vyema kufanya biashara halali kwa kufuata sheria na taratibu zilizopo ili kuepuka kukinzana na sheria.

52B878EB-35CA-4521-AEF1-3FB5CB90C3E8.jpeg
 
Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128
Kwani hiyo Raisi wa Zanzibar ndio baba yake au mama yake. Kaenda Zanzibar kuaga familia yake shida iko wapi hapo?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Huwa tunatumia sana nahau tunaopongea kuliko kuandika , nahau mara nyingi huambatana na gestures, sio kanuni bali ni kawaida .
Ungekosa nn kwa mfano ungeandika nobody's home ? Au nobody is at home ?
Nobody's home ndio nobody is home.Imefupishwa. Pia sio lazima uandike nobody is at home.Ndio maana ya Idiom . Nataraji umeelewa.
Ndio maana umeandika na nanukuu"Ungekosa nn" ukiwa na maana ungekosa nini.Nimekuelewa ingawa ni kosa kiuandishi.
 
Rais Samia haruhusiwi kwenda kuaga kwao?
The lights are on but nobody is home.
Talk sense to a fool and he will call you foolish.
JF inaposogea kuwa META siku hadi siku.
Mada zisizo na kichwa wala miguu ndio 90% ya mada zote.

Weka uzwazwa wako kando we Mmakunduchi. Kwani ungechangia kwa kiswahili ungeonekana mpumbavu? Kwa iyo hapo we unaona ndo umechangia!?
 
Weka uzwazwa wako kando we Mmakunduchi. Kwani ungechangia kwa kiswahili ungeonekana mpumbavu? Kwa iyo hapo we unaona ndo umechangia!?
Wacha uzuzu.Kiswahili na Kiingereza ni lugha zinazokubalika JF.Na ilikuwa jibu kwa mtu sio kwako.Aliyejibiwa ameelewa.
 
Kinachoongelewa hapa sio 1.5T, ni huo mzunguko wa kuitafta safari ya Paris, unajua perdiem yake kila anapoweka mguu mkuu wa Nchi?
Perdiem ni kiswahili?Toa boriti kwenye jicho lako kabla hujaona ubanzi kwenye jicho la mwenzako.
 
Mbona jiwe alivyoenda kujenga kwao na kuteua wa kwao hamkutoka na kusema.....Tulieni dawa iwaingie.....Mwacheni mama afanye anachojua..mkitaka subirini na nyie mkipata nafasi mfanye vile mnaona ni sahihi, mbali na hapo MWACHENI MAMA
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hapangiwi. Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ni uchungu. Rais fanya kazi Mungu azidi kukuongoza
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128
Je ni kweli kwamba ofisi ya raisi ina bajeti yake?
Je nikweli kwamba miongoni mwa matumizi ya hiyo bajeti ni kulipa gharama za safar? Za kikazi
Je ni kweli kwamba kutumia pesa toka kwenye bajeti siyo kufuja na usipozitumia kuna kazi hajafanya???
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mbona jiwe alivyoenda kujenga kwao na kuteua wa kwao hamkutoka na kusema.....Tulieni dawa iwaingie.....Mwacheni mama afanye anachojua..mkitaka subirini na nyie mkipata nafasi mfanye vile mnaona ni sahihi, mbali na hapo MWACHENI MAMA
Ati raisi kusafir ni matumizi mabaya ya kodi???
Nchi ngumu hii
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom