Rais Samia na matumizi ya kodi zetu

Fedha hali kwa matumizi ya Sirikali." Tutaendelea kukopa ili kuleta maendelea. Kazi iendelee.
 
Kama unafikira hivyo inaonyesha ni jinsi gani hujui matumizi ya pesa za serikali.
Ni kweli mkuu, maana matumizi ya serikali yanaliwa kwa urefu wa kamba ya mlaji. Safi sana.
 
Hukuona umuhimu wa kwenda Zanzibar ? Kumbe sikuhizi Qatar Airways inatua Dodoma ?
 
Reactions: Tui
Hiyo ni idiom. Huwezi kuelewa .Jifunze kiingereza kabla hujajifanya kukosoa.Na huwezi kuileta nusu inakuwa haileti maana.Sikulaumu tuition zipo nyingi kajiongeze.
The lights are on but nobody's home and Not nobody is home.
 
The lights are on but nobody's home and Not nobody is home.
Hiyo nobody's home ni kifupi cha nobody is home.
Grammatical contraction.
We can't- We cannot
You didn't- You did not.
Jifunze kiingereza wacha kukurupuka.
 
Uwe unasoma na kuelewa vizuri, inaonekana walimu waki walipata sana tabu
 
Nongwa za watanzania hazina tofauti na zile za waingereza, ni zile zile tu. Kwenda Zanzibar limekuwa kosa la kuandikiwa uzi!!.

Hizi akili za kimaskini.
Haya wahi clinic, usisahau kubeba ukwaju na maembe mabichi na kopo lako la kutemea mate
 
Mbona jiwe alivyoenda kujenga kwao na kuteua wa kwao hamkutoka na kusema.....Tulieni dawa iwaingie.....Mwacheni mama afanye anachojua..mkitaka subirini na nyie mkipata nafasi mfanye vile mnaona ni sahihi, mbali na hapo MWACHENI MAMA
Kichwa chako ni kama begi la kubebea meno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…