Rais Samia na Rais Ruto Wafanya Mazungumzo Dar es Salaam

Rais Samia na Rais Ruto Wafanya Mazungumzo Dar es Salaam

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Kenya, William Ruto kando ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa JNICC - Dar es Salaam

F19lzBzaEAUlt1x.jpeg

Ruto.jpg
 
Jamaaa kakutana na vichwa vibovu dk mbili mbele..Wame mpunguza mpaka kajaaa..
 
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Kenya, William Ruto kando ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa JNICC - Dar es Salaam

View attachment 2699713
Rais wa Kunyaland kajileta baada kuingia mitini siku zile
 
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Kenya, William Ruto kando ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa JNICC - Dar es Salaam

View attachment 2699713
DPW wanamcheza akili kwa ujinga wake. Atakua amemuuliza ruto mambo ya DP. Watamzuga kumbe wenyewe hawaitaki🤣
 
Back
Top Bottom