Rais wa Kunyaland kajileta baada kuingia mitini siku zileRais Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Kenya, William Ruto kando ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa JNICC - Dar es Salaam
View attachment 2699713
OvaDuh
Ova
DPW wanamcheza akili kwa ujinga wake. Atakua amemuuliza ruto mambo ya DP. Watamzuga kumbe wenyewe hawaitaki🤣Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Kenya, William Ruto kando ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa JNICC - Dar es Salaam
View attachment 2699713
Riuto amekuwa sawa na skeleton za Shakahola ghafla🤣🤣🤣Jamaaa kakutana na vichwa vibovu dk mbili mbele..Wame mpunguza mpaka kajaaa..
Watoto wa mjini hawatamwacha apumueruto kichwa kinamuuma , akigeuka anakutana na waandamanaji , akigeuka anakutana na raila(a. k. a Baba),akigeuka anakutana na Uhuru .
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
IncarnationJjiwe was a satan
Rao,anazeeka vibaya sana!Riuto amekuwa sawa na skeleton za Shakahola ghafla🤣🤣🤣
Usimjaribur Odinga kabisa..ile Jaluo haiogopi