Rais Samia na Wasaidizi wake wapunguze pressure; support aliyonayo ni kubwa sana

Rais Samia na Wasaidizi wake wapunguze pressure; support aliyonayo ni kubwa sana

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Tukio la juzi la police kuvamia wa mama wa chadema ilikuwa ni aibu sana, yaani wame react baada ya Mbowe kusema atapeleka watu barabarani? Trust me hata leo Chadema wakisema wanaingia barabarani hawatapata sapoti ambayo polisi wanadhani itakuwepo, punguzeni mihemko ya kitoto.

Tena kama itatokea wakapata watu basi waacheni waandamane penyezeni watu wenu watakaofanya fujo wapasue magari na maduka kama hamtaona public inamgeuka Mbowe milele.

Rais Samia kabadilisha hali ya hewa ghafla leo hata mziki wa dansi uliokuwa umejifia ghafla umerudi watu wanatunza tena hela jukwaani, walioficha hela ardhini wanazitoa sasa, punguzeni mihemuko jamii bado iko na mama kuna propaganda kwamba petrol imepanda bei ksababisha mama ndiyo sh 100 imepanda lakini soko la dunia imepanda sana nikashangaa kuona wengine wanasema kenya na jirani wako cheap hivi mnajua kinachoendelea kenya kweli?hadi gesi ya kupikia imepanda asilimia 6.

Polisi punguzeni mihemko mnajidhalilisha sana, wakiaandamana waacheni pachikeni wahuni katikati yao wafanye fujo wapasue hata maduka na magari mtakuja kunishkuru baadaye.
 
Watu hawaendi barabarani kwasababu ya CCM kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wananchi, na sio vinginevyo, kama unataka kuthibitisha uongo wako Chadema hawana support waambie CCM na mama yenu wasiwatumie kina Mambosasa halafu uone kitakachotokea, unaota ndoto mchana.
 
Wapachike wahuni tena yaani watoto wetu?, kwa faida zao? Jaman waende wenyewe.
 
Usisahau polisi mmoja analinda watu 2000
Nawao polisi wako 47000 tu sisi tuko million 60
 
They are so extravaganza disorganized let our regime ignore them but snitch them on their every plan!!!!
 
Tukio la juzi la police kuvamia wa mama wa chadema ilikuwa ni aibu sana, yaani wame react baada ya Mbowe kusema atapeleka watu barabarani? Trust me hata leo Chadema wakisema wanaingia barabarani hawatapata sapoti ambayo polisi wanadhani itakuwepo, punguzeni mihemko ya kitoto.

Tena kama itatokea wakapata watu basi waacheni waandamane penyezeni watu wenu watakaofanya fujo wapasue magari na maduka kama hamtaona public inamgeuka Mbowe milele.

Rais Samia kabadilisha hali ya hewa ghafla leo hata mziki wa dansi uliokuwa umejifia ghafla umerudi watu wanatunza tena hela jukwaani, walioficha hela ardhini wanazitoa sasa, punguzeni mihemuko jamii bado iko na mama kuna propaganda kwamba petrol imepanda bei ksababisha mama ndiyo sh 100 imepanda lakini soko la dunia imepanda sana nikashangaa kuona wengine wanasema kenya na jirani wako cheap hivi mnajua kinachoendelea kenya kweli?hadi gesi ya kupikia imepanda asilimia 6.

Polisi punguzeni mihemko mnajidhalilisha sana, wakiaandamana waacheni pachikeni wahuni katikati yao wafanye fujo wapasue hata maduka na magari mtakuja kunishkuru baadaye.
Kwamba wakiandamana CHADEMA , Serikali ya CCM ipenyeze watu ili wafanye fujo,wachome magari moto, ili ionekane ni wafuasi wa CHADEMA ndo wamefanya hivyo...
Aisee ,Tunakushukuru sana kwa kuropoka ushetani wenu,na hii ndo Tabia yenu mliyonayo ,CCM imejaa watu waovu kupindukia,watu katili, wapumbavu na wajinga wa kutupwa wapo CCM,yaani umejikuta unaropoka ushenzi wenu mnaowatendea Watanzania.
Tuliomba sana MUNGU atuondolee Magufuli,naona huyu mama bado hataki kujifunza, ngoja Tuanze maombi maalumu tena, yaani mtaisha wote na wewe mleta mada usipotubu hutatoboa nakuhakikishia.
MUNGU huwa hana mchezo na watu waovu, yaani waletwe wafanye fujo kisha mseme ni CHADEMA?
Shenz taipu kabisa nyie kima, yaani mioyo yenu haina hata hofu ya Mungu,as if hamtakufa na kuikabili hukumu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Tukio la juzi la police kuvamia wa mama wa chadema ilikuwa ni aibu sana, yaani wame react baada ya Mbowe kusema atapeleka watu barabarani? Trust me hata leo Chadema wakisema wanaingia barabarani hawatapata sapoti ambayo polisi wanadhani itakuwepo, punguzeni mihemko ya kitoto.

Tena kama itatokea wakapata watu basi waacheni waandamane penyezeni watu wenu watakaofanya fujo wapasue magari na maduka kama hamtaona public inamgeuka Mbowe milele.

Rais Samia kabadilisha hali ya hewa ghafla leo hata mziki wa dansi uliokuwa umejifia ghafla umerudi watu wanatunza tena hela jukwaani, walioficha hela ardhini wanazitoa sasa, punguzeni mihemuko jamii bado iko na mama kuna propaganda kwamba petrol imepanda bei ksababisha mama ndiyo sh 100 imepanda lakini soko la dunia imepanda sana nikashangaa kuona wengine wanasema kenya na jirani wako cheap hivi mnajua kinachoendelea kenya kweli?hadi gesi ya kupikia imepanda asilimia 6.

Polisi punguzeni mihemko mnajidhalilisha sana, wakiaandamana waacheni pachikeni wahuni katikati yao wafanye fujo wapasue hata maduka na magari mtakuja kunishkuru baadaye.
Atakae kushukuru ni mwenye akili kama za kwako. Nchi inatakiwa iendeshwe kwa misingi ya katiba. Alijichomoza mtu mmoja kwake hata tafsiri ya neno katiba akawa hajui, na anapewa kuongoza nchi. Kilichotokea ni vurugu,taasisi za kiutawala zikitoka kwenye weledi na mpaka leo vumbi halijatulia.
 
Usisahau polisi mmoja analinda watu 2000
Nawao polisi wako 47000 tu sisi tuko million 60
1) 2000×47000=94000000, 2) 60000000÷47000=1277, 3) 60000000÷2000=30000. Ni hesabu ipi ni sahihi? Ulio isema inagoma.
 
Tukio la juzi la police kuvamia wa mama wa chadema ilikuwa ni aibu sana, yaani wame react baada ya Mbowe kusema atapeleka watu barabarani? Trust me hata leo Chadema wakisema wanaingia barabarani hawatapata sapoti ambayo polisi wanadhani itakuwepo, punguzeni mihemko ya kitoto.

Tena kama itatokea wakapata watu basi waacheni waandamane penyezeni watu wenu watakaofanya fujo wapasue magari na maduka kama hamtaona public inamgeuka Mbowe milele.

Rais Samia kabadilisha hali ya hewa ghafla leo hata mziki wa dansi uliokuwa umejifia ghafla umerudi watu wanatunza tena hela jukwaani, walioficha hela ardhini wanazitoa sasa, punguzeni mihemuko jamii bado iko na mama kuna propaganda kwamba petrol imepanda bei ksababisha mama ndiyo sh 100 imepanda lakini soko la dunia imepanda sana nikashangaa kuona wengine wanasema kenya na jirani wako cheap hivi mnajua kinachoendelea kenya kweli?hadi gesi ya kupikia imepanda asilimia 6.

Polisi punguzeni mihemko mnajidhalilisha sana, wakiaandamana waacheni pachikeni wahuni katikati yao wafanye fujo wapasue hata maduka na magari mtakuja kunishkuru baadaye.
Huu ushauri upo vizuri sana
 
1) 2000×47000=94000000 2) 60000000÷47000=1277. 3) 60000000÷2000=30000 ni hesabu ipi ni sahihi?
Mtafute siro akueleweshe anavosema kwasasa polisi mmoja analinda watu 2000 harafu chukua hesabu zako hizo ikitokea mbowe umma umemwitikia nn kitatokea
 
Tukio la juzi la police kuvamia wa mama wa chadema ilikuwa ni aibu sana, yaani wame react baada ya Mbowe kusema atapeleka watu barabarani? Trust me hata leo Chadema wakisema wanaingia barabarani hawatapata sapoti ambayo polisi wanadhani itakuwepo, punguzeni mihemko ya kitoto.

Tena kama itatokea wakapata watu basi waacheni waandamane penyezeni watu wenu watakaofanya fujo wapasue magari na maduka kama hamtaona public inamgeuka Mbowe milele.

Rais Samia kabadilisha hali ya hewa ghafla leo hata mziki wa dansi uliokuwa umejifia ghafla umerudi watu wanatunza tena hela jukwaani, walioficha hela ardhini wanazitoa sasa, punguzeni mihemuko jamii bado iko na mama kuna propaganda kwamba petrol imepanda bei ksababisha mama ndiyo sh 100 imepanda lakini soko la dunia imepanda sana nikashangaa kuona wengine wanasema kenya na jirani wako cheap hivi mnajua kinachoendelea kenya kweli?hadi gesi ya kupikia imepanda asilimia 6.

Polisi punguzeni mihemko mnajidhalilisha sana, wakiaandamana waacheni pachikeni wahuni katikati yao wafanye fujo wapasue hata maduka na magari mtakuja kunishkuru baadaye.
Yes, uungwaji mkono bado ni mkubwa.
 
Back
Top Bottom