Rais Samia na Wasaidizi wake wapunguze pressure; support aliyonayo ni kubwa sana

Tushamuambia, haya twendeni barabarani
 
Jk master mind akiwepo tu inatosha
Jk mnafiki namba moja africa ,anajifanya yupo close na samia kumbe ana agenda yake.usimuamini sana yule mzee,na i swear hataongea kitu kuhusu katiba,
 
u
Una akili kweli wewe?
 
Kwahiyo watu wote 60M nchi nzima mpaka watoto ni CHADEMA?

Duuuh
Binadamu sio mnyama ,huazia eneo kwaeneo na huenea umma mzima hukipuka ,sikweli kila mwanaccm anafagilia umburula huo ,kikubwa kujiandaa vyama vya upinzani vizuri
 
Siamini nachokisoma toka kwa mtoa Mada. Huyu ni Mtanzania kweli au pandikizi toka Ntarahamwe kwa majirani kwani mmejaa sana humu mpaka mnataka kuhalalisha makabila yenu ndani ya Tanzania. Hatari sana huyu.
 
Sidhani kama jukwaa hili linakufaa. Jukwaa hili ni kwaajili ya watu wenye akili yimamu.
 
Unapata wapi muda wakuonyesha ujinga wako kwenye mitandao.bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…