Rais Samia nakupa pongezi kwa hizi Nyumba Kawe

Rais Samia nakupa pongezi kwa hizi Nyumba Kawe

Magufuli alikua ana dili na vitu vya Kimataifa kama Madaraja makubwa.treni za umeme mabwawa ya umeme, Yule alikua Raisi ndiyo maana alikua aendi nchi za watu bila kupata muhariko kutoka kwa Raisi, tofauti na sasa ata Meya wa Comoros anaweza kumpa muhariko Raisi Watanzania na Raisi akaenda.
Kuna Rais amejenga Barabara Vijijini na Mijini kumzidi Samia?

View: https://x.com/TaruraTz/status/1882055315631526299?t=o9V5hLjwJCEb4Je91XKKnQ&s=19

View: https://x.com/TaruraTz/status/1882056676989427906?t=0pJt2q5Hzs2n-qWvcNKoug&s=19

Hata hayo madaraja nikikutajia hapa aliyojemga Samia utashangaa ,tena tuanzie huko huko Mkoani kwako maana mambo ni mengi kuzidi mda.
 
Wangetumia hizo pesa kupima viwanja, miundo mbinu na kutoa mikopo nafuu ya nyumba, zingejengwa zaidi ya nyumba mara 10
 
SAMIA HOUSING SCHEME

Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua za mwishoni.
View attachment 3210261
Ni nyumba gani hizo kama sio ule mradi wa kifisadi wa NHC. Nyumba ambazo ni ghali kwa gharama zinatokana na upigaji mtupu. Zinaweza ishia kua kama zile nyumba za mradi wa shirika la pensheni kule kigamboni.
 
Endelea kuuliza
Bila kujua majibu ya gharama ya rent au kununua huwezi kujadili chochote, matokeo yake inaweza kuwa zile white elephants kama walizofanya Kenya Kujenga so called affordable housing bila kuongalia the three most important pillars (Social, Environmental na Economical); Kama maji hayafiki na ni ghorofani kuna class fulani huwezi kuwapata, kama ni gharama sana majority hautawapata na kama ni bei ya chini sana unaweza kuwaalika watu ambao they can not maintain a house hence turning them into ghettos...

Hili sio suala la kujenga tu bali inabidi kujua who are the targeted people..., Na kama taifa kuna shortcut, na yenyewe ni kuhakikisha watu wana disposable income hata ya kuweza kurent the houses.., and that can be done kwa kuhakikisha kwanza watu wanabakiwa na vijisenti mifukoni mwao...; Swali ni kwamba yale majengo ya National Housing waliyojenga na kuyaita ni affordable (which people can not afford) yameshajaa ?

The shortcut and sure thing am talking about
 
Bila kujua majibu ya gharama ya rent au kununua huwezi kujadili chochote, matokeo yake inaweza kuwa zile white elephants kama walizofanya Kenya Kujenga so called affordable housing bila kuongalia the three most important pillars (Social, Environmental na Economical); Kama maji hayafiki na ni ghorofani kuna class fulani huwezi kuwapata, kama ni gharama sana majority hautawapata na kama ni bei ya chini sana unaweza kuwaalika watu ambao they can not maintain a house hence turning them into ghettos...

Hili sio suala la kujenga tu bali inabidi kujua who are the targeted people..., Na kama taifa kuna shortcut, na yenyewe ni kuhakikisha watu wana disposable income hata ya kuweza kurent the houses.., and that can be done kwa kuhakikisha kwanza watu wanabakiwa na vijisenti mifukoni mwao...; Swali ni kwamba yale majengo ya National Housing waliyojenga na kuyaita ni affordable (which people can not afford) yameshajaa ?

The shortcut and sure thing am talking about
Point...Shida wanaleta siasa kwenye issues zinazohitaji technical analysis sio kushusha maghorofa tu kisa wameyaona Uchina or Mashariki ya mbali kama Kariakoo....bila kufikiria vizuri context ya Kitanzania...wanatengeneza disaster in the future...
 
Umasikini wa akili
Dar es Salaam inayo ardhi ya kuweza kujenga nyumba rafiki kwa makuzi ya watoto kuliko maghorofa yasiyowapa nafasi watoto kuweza kucheza wakati wewe usiye na umasikini wa akili ukiwa Mitimirefu.
 
SAMIA HOUSING SCHEME

Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua za mwishoni.
View attachment 3210261
Ni mpango mbaya sana wa nyumba huu sijui nani alipendekeza hovyo hii! Tuna ardhi kibao yanini kusongamanisha majengo makubwa namna hii?
 
Ni nyumba gani hizo kama sio ule mradi wa kifisadi wa NHC. Nyumba ambazo ni ghali kwa gharama zinatokana na upigaji mtupu. Zinaweza ishia kua kama zile nyumba za mradi wa shirika la pensheni kule kigamboni.
Ndio zenyewe. NHC imekopa hela nyingi sana kwa kudhaminiwa na serikali enzi za JK na Mchechu akiwa CEO. Uliza bei,utaishiwa nguvu.
 
Yataje we blila Magufuli kuanza kujenga Madaraja makubwa na treni na vituo vya Afya Unazani Samia angejenga, Nchi inebadilika awamu ya Magufuli bila yeye nchi ingekua mbaya kama ilivyokua awamu ya 4 chini ya Kikwete.
 
Tabu Barabara hizi zitazima foleni

Sasa tabu kubwa nasikia huko

Muhimu waangalie hilo fasta maana hao traffic wa asubuhi na jioni bado wanabanwa
Hii ni Muhimu and I am sure wahusika wameshaandaa solution
 
Poor design, poor use of land, very bad project.

Una ardhi yote hiyo, kwa nini kubananisha majengo hivyo? Ni disaster waiting to happen. Hapo labda wajaze wahindi.

NHC ina ubunifu mdogo sana katika kutengeneza project zenye tija kwa Watanzania na matumizi ya ardhi.
 
SAMIA HOUSING SCHEME

Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua za mwishoni.
View attachment 3210261


Toeni bei hapa kwa 2 Bedroom apartment zinaenda bei gani. Tatizo letu tunatengeneza nyumba ambazo wateja wao ni wenye nyumba na sio watafuta nyumba! Tupeni bei hapa tuone vichekesho vyenu
 
Ungeleta habari yako baada ya sherehe za chadema ungeonekana wa maana sana ila sasa......
 
SAMIA HOUSING SCHEME

Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua za mwishoni.
View attachment 3210261
Tusije pigwa changa la macho kuhisi ni mradi wa serikali kumbe wa yule dogo kuwadi wa Mama Abdul Suluhu
 
Kuna Rais amejenga Barabara Vijijini na Mijini kumzidi Samia?

View: https://x.com/TaruraTz/status/1882055315631526299?t=o9V5hLjwJCEb4Je91XKKnQ&s=19

View: https://x.com/TaruraTz/status/1882056676989427906?t=0pJt2q5Hzs2n-qWvcNKoug&s=19

Hata hayo madaraja nikikutajia hapa aliyojemga Samia utashangaa ,tena tuanzie huko huko Mkoani kwako maana mambo ni mengi kuzidi mda.

Kazi ya Bunge la bajeti ni nini! Bunge la bajeti ndilo linapanga na kutoa pesa za miradi kisha serikali inatekeleza, Samia hahusiki na utoaji pesa za maendeleo kama mazezeta mnavyodhani.
 
Kwanini umpongeze Samia as an individual? Tanzania tunatatizo kubwa sana la kupenda ku personalize mambo? Nadhani pongezi ungetoa kwa serikali ingeleteta maana zaidi.
 
Kazi ya Bunge la bajeti ni nini! Bunge la bajeti ndilo linapanga na kutoa pesa za miradi kisha serikali inatekeleza, Samia hahusiki na utoaji pesa za maendeleo kama mazezeta mnavyodhani.
Punguza ujinga,shuleni hamkusoma Uraia na Civics au General Studies ama Development Studies Hadi uniukize maswali ya kijinga? Maana hayo masomo ni lazima Hadi Chuo Kikuu.

By the way kazi ya Bunge ni kutunga sheria ,kuidhinisha mipango ya Nchi ikiwemo Bajeti zilizoletwa na Serikali pamoja na kusimamia utekelezaji.

So Serikali ndio Iko responsible kuleta majawabu yawe ya Barabara,shule,maji,nk..

Nasisitiza namba za Samia sio za kutafutiza hakuna Rais mwingine yeyote aliyemtangulia anaweza mpita Kwa delivery kwenye sekta zote.

Viwanja tuu vya ndege zaidi ya 8 viko under construction na vile alivyorithi amekamilisha👇👇

View: https://x.com/WizarayaUC/status/1882157671429943357?t=sNKC-4HamVShldP8T1vMhQ&s=19
 
Back
Top Bottom