mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
kabisa,kashapanda ndege km nyingi kuliko miaka yote jpm amehudumu hapo.Mama kwa miezi miwili hii amefanya mambo mengi yaliyomshinda JPM kwa miaka mitano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa,kashapanda ndege km nyingi kuliko miaka yote jpm amehudumu hapo.Mama kwa miezi miwili hii amefanya mambo mengi yaliyomshinda JPM kwa miaka mitano.
... the people's happiness ni indicator mojawapo ya kiongozi bora! Mataga kwao ni visasi tu utafikiri ni jungle life!Mama kwa miezi miwili hii amefanya mambo mengi yaliyomshinda JPM kwa miaka mitano.
inategemea unaisoma ukiwa wapi.... graph ya uhovyo mbona imeanza kushuka tena kwa kasi ya ajabu.
Hehehe....alilaniwa jiwe. Uovu akiofanya 2019 na 2020 usingemwacha salama. He was a real devilkabisa,kashapanda ndege km nyingi kuliko miaka yote jpm amehudumu hapo.
Ushamba wako tu, shida mmezoea ubabe wa kizamani, Uchumi ni kanuni na mama anazifuatahuyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.
laana yake akapewa adhabu ya kifo,ambacho hata wewe utakufa bila laana.Hehehe....alilaniwa jiwe. Uovu akiofanya 2019 na 2020 usingemwacha salama. He was a real devil
Ndio maana yamenuna. Yana hahasira na visirani. Sisi tunayacheki tunasema Hiiiihiiii!!!... the people's happiness ni indicator mojawapo ya kiongozi bora! Mataga kwao ni visasi tu utafikiri ni jungle life!
unadhani uchumi ni maembe??Ushamba wako tu, shida mmezoea ubabe wa kizamani, Uchumi ni kanuni na mama anazifuata
Kwanini??huyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.
ujinga ni kuamini ccm imetoka madarakani[emoji1787][emoji1787]Ukitaka mataga wafurahi we waambie maza na marehemu dikiteta magufuli ni kitu kimoja
We mwache maza achape kaziunadhani uchumi ni maembe??
kalisha kiuno chini uone matokeo.
uchumi dhaifu unajengwa kwa misingi imara,sio feki.Kwanini??
woga wetu ni,dalili ya kazi kumchapa ni kubwa sana.We mwache maza achape kazi
Ccm sio tatizo, tatizo ni mtu atakayekuwapo pale on top Sawa mataga, mwache maza achape kazi!!ujinga ni kuamini ccm imetoka madarakani[emoji1787][emoji1787]
fundi haswaa,ndio sababu hajawahi ruhusu wahuni kuingia ikulu.Mungu fundi, acha apumzishwe tu
Unakosoa kwa sababu tu JPM hakutaka hilo jambo!!huyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.
Ni kwamba akiifungua nchi na mwekezaji akamilikishwa ardhi na kutokana na economic strength yake , itakuwa shida sana kuipata ardhi hiyo au kwa gharama mara mia ya bei aliyonunulia. Angalia matatizo ya ardhi yalio pelekea mapigano ya kikabila, ambapo Uhuru aliahidi kutoa kiasi lakini sijasikia kutekeleza ahadi hiyo... fafanua; "hatutakaa tuinuke tena"; kama lini tuliwahi kuinuka?