Juu ya hili kampuni kwa hilo sina shaka kabisa, wameonesha mfano hai pale Mloganzila kwenye lift za Hyundai na Samsung ni chenga tupu lift mbovu mbovu sana! Katika floor yenye lift 3 unakuta 2 mbovu moja ndio nzima!Eti km 160/hour yaani wakati zipo za 250 km/hour
Hapa kuna upigaji hapa yatakuwa kama Yale ya mwendokasi siku moja kazi siku ya pili garage!!
Acha ushamba Samia hajanunua hizo Bajaj ni bwana yule, fuatilia tender ilikuwaje bwana sukumagang, mnataka kumtwisha mizigo isiyo yake.
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!
Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.
Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?
Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?
Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.
That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?
Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?
Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?
Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.
Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!
Hyundai Rotem wins contract to deliver trains to Tanzania - Fuentitech
The 97 cars operate at a top speed of 160km / hr. Credit: HYUNDAI ROTEM COMPANY. South Korean-based company Hyundai Rotem has won a $ 295.65 million (335.4 billion won) contract from the Tanzania Railways Limited (TRC) to deliver eco-friendly rail vehicles. Under the contract, TRC will receive $...fuentitech.com
Mama hajanunua hizo BajajKama mama alituma vijana wakalipie hela huenda wamefanya yao huko Korea ili kubakiwa na chenchi ya kuja kuporomoshea maghorofa mbweni π π π
Hii itakuwa ya 2021Hii nayo ni hyundai rotem..View attachment 1848748
Hao Japan wana miundombinu ya Magnetic Levitation trains zinaelea kwenye magnetic fields zinakimbia balaaMkuu utamudu kununua treni toleo la kisasa inayoenda kwa supersonic speed iliyotengenezwa na majapan au mkorea? Je, kwa namna miundombinu yetu ya SGR ilivyojengwa inamudu kweli ku operate toleo la kisasa la hizi treni ambazo zinakwenda kasi ya ajabu. Nafikiri pamoja na ubora na kasi lazima wazingatie gharama au bei ya hizo treni, ili angalau kukidhi mahitaji. Huko mbeleni baada ya kukusanya pesa ya kutosha ndo unaweza kuingiza mdogo mdogo matoleo ya kisasa zaidi.......mwanzo mgumu.
MagufuliUtawala wa Magufuli na wa Kikwete kwenye usimamizi wa miradi ya serikali upi ulikuwa bora ?
Wewe ndio unalazimisha kuwa hakuna uhakika sababu umeamua kuamini hivyo. Just Google utaona acha kuishi maisha ya zamani. Pia usitake kutudanganya.Hakuna mtu anauhakika kuwa huo mkataba ulifanyika lini? Lakini kitu ambacho kimejitokeza hivi sasa ni kwamba hatujui kitu ambacho kimeisukuma kampuni ya Hyundai-Rotem kutangaze leo kwenye Website yake kuwa wameshinda sabuni ya kuiuzia Tanzania idadi ya treni zilizo orodheshwa na kiasi cha pesa kitakacho igharimu nchi yetu kwenye zabuni hiyo.
Swalinlankujiuliza ni kwanini sasa haya yajitokeze na kwanini sio huko nyuma?
Hakuna mtu anauhakika kuwa huo mkataba ulifanyika lini? Lakini kitu ambacho kimejitokeza hivi sasa ni kwamba hatujui kitu ambacho kimeisukuma kampuni ya Hyundai-Rotem kutangaze leo kwenye Website yake kuwa wameshinda sabuni ya kuiuzia Tanzania idadi ya treni zilizo orodheshwa na kiasi cha pesa kitakacho igharimu nchi yetu kwenye zabuni hiyo.
Swalinlankujiuliza ni kwanini sasa haya yajitokeze na kwanini sio huko nyuma?
Na Covid alipewa baada ya kuacha kupiga nyungu zake akapewa na huyu si ndio we Pichu?Kama ilipita kipindi hicho basi imechakachuliwa baada ya yaliyotokea, kamwe mleta dreamliner hawezi leta vimbweka hivyoπ !
Tutakukumbuka daima shujaa wetu mpendwa Mh Dr JPM ( may your precious soul rest in eternal peace and power amen π)!
Treni watakazo nunua wahakikishe zimekaa kama kichwa cha panya. Yani ziwe na mdomo mrefu kuleta muonekano wa Bullet train. Wakileta hizi za hovyo hovyo, kwa jjnsi wabongo wanavyojua kuongea, wenyewe watazirudisha huko Korea.
View attachment 1849064
10 percent kwenye billion 300 kudadadeki tayari hapo mwamba amelamba zake 30B wakipigiana pasu akifa na 15B nyengine anawaachia vijana wapambane nazowatu washapiga 10 percent yao.
Lakini ipo ambayo ni SRT toka kwa hao hao Hyundai na inatembea kwenye geji yetu ya reli kama kawaida π π π tukubali tu aidha hela yetu ndogo au tumepigwa ila treni la high speed zaidi lipo na linatembea kwenye reli yetu hio hio ya gauge ya 1.435Hizi mnazozipenda zinakwenda speed kali mno wastani wa 220-380km/h na zinahitaji njia ya pekee sasa Tz bado njia ya pekee haipo maana linaweza kutoka arusha hadi lusaka zambia likarudi tena arusha liakenda tena kisha likarudi arusha. Hapa ujerumani linajulikana kama ICE
View attachment 1849091
OmakamboSio kinyonge bana matajiri wengine mbona hawajasumbuliwa kama akina Bhakressa? Ukiwa clean husumbuliwi ila ukiwa una makando kando ndio serikali ya Magu inakuzingua hasa ukiwa kiburi ya helaπ π π
Sasa tulia utapokea taarifa sahihi sio kujiletea taarifa mwenyeweSi hiyo picha umeiona manufacturer aliyo ibandika? Wahusika wanapaswa kutusibitishia kwamba sio hiyo. Bila hilo sisi hatuwezi jua.
Sasa ww ndio unatupa mashaka hata na namna ulivyo kuwa una jibu maswali ya walimu wako woteee waliokufundisha kuanzia primary had elimu yako ya mwisho four 4 kama sikose...anyway tu assume 1st degree ..Wewe usiye na "kiherehere" tuonyeshe "zenyewe" ni zipi?
Treni ilinunuliwa awamu ya Magufuli. Usimsingizie mama bure.[emoji38][emoji38][emoji38]
Hapana. Sikubaliani na hoja yako. Najua jinsi Hayati alivyokuwa na taste nzuri ya vitu. Kama treni tuliyo nunua ni hii, haitakuwa imenunuliwa kwenye awamu ya tano.
Angalia vitu ambavyo Hayati Magufuli amevifanya kama Dreamliner, Design ya Meli mpya Victoria, Madaraja na kadhalika. Magufuli alikuwa na Taste nzuri na alipenda vitu vizuri. Asingependa sisi tuwe na vitu vibaya hiyo nina uhakika.
Wamebadilisha manunuzi baada ys mzee Magu kutoweka wapige pesaMim nilijua zitaletwa tren zaki sasa zenye muundo wa nyoka.