Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Eti km 160/hour yaani wakati zipo za 250 km/hour

Hapa kuna upigaji hapa yatakuwa kama Yale ya mwendokasi siku moja kazi siku ya pili garage!!
Juu ya hili kampuni kwa hilo sina shaka kabisa, wameonesha mfano hai pale Mloganzila kwenye lift za Hyundai na Samsung ni chenga tupu lift mbovu mbovu sana! Katika floor yenye lift 3 unakuta 2 mbovu moja ndio nzima!

Nna wasiwasi sana na hizi treni zao kama zitakuwa na ufanisi wa uhakika! Au ndio yataanza mabango ya leo safari ya Dar Moro tutatumia kichwa cha mizigo maana cha kupeleka abiria kimeleta hitilafu kipo chini ya uangalizi wa mafundi!
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Acha ushamba Samia hajanunua hizo Bajaj ni bwana yule, fuatilia tender ilikuwaje bwana sukumagang, mnataka kumtwisha mizigo isiyo yake.
 
Mkuu utamudu kununua treni toleo la kisasa inayoenda kwa supersonic speed iliyotengenezwa na majapan au mkorea? Je, kwa namna miundombinu yetu ya SGR ilivyojengwa inamudu kweli ku operate toleo la kisasa la hizi treni ambazo zinakwenda kasi ya ajabu. Nafikiri pamoja na ubora na kasi lazima wazingatie gharama au bei ya hizo treni, ili angalau kukidhi mahitaji. Huko mbeleni baada ya kukusanya pesa ya kutosha ndo unaweza kuingiza mdogo mdogo matoleo ya kisasa zaidi.......mwanzo mgumu.
Hao Japan wana miundombinu ya Magnetic Levitation trains zinaelea kwenye magnetic fields zinakimbia balaa
 
Hakuna mtu anauhakika kuwa huo mkataba ulifanyika lini? Lakini kitu ambacho kimejitokeza hivi sasa ni kwamba hatujui kitu ambacho kimeisukuma kampuni ya Hyundai-Rotem kutangaze leo kwenye Website yake kuwa wameshinda sabuni ya kuiuzia Tanzania idadi ya treni zilizo orodheshwa na kiasi cha pesa kitakacho igharimu nchi yetu kwenye zabuni hiyo.

Swalinlankujiuliza ni kwanini sasa haya yajitokeze na kwanini sio huko nyuma?
Wewe ndio unalazimisha kuwa hakuna uhakika sababu umeamua kuamini hivyo. Just Google utaona acha kuishi maisha ya zamani. Pia usitake kutudanganya.
 
Pitia Google utaona hii tender ukishakuwa awarded mwaka jana
Hakuna mtu anauhakika kuwa huo mkataba ulifanyika lini? Lakini kitu ambacho kimejitokeza hivi sasa ni kwamba hatujui kitu ambacho kimeisukuma kampuni ya Hyundai-Rotem kutangaze leo kwenye Website yake kuwa wameshinda sabuni ya kuiuzia Tanzania idadi ya treni zilizo orodheshwa na kiasi cha pesa kitakacho igharimu nchi yetu kwenye zabuni hiyo.

Swalinlankujiuliza ni kwanini sasa haya yajitokeze na kwanini sio huko nyuma?
 
Kama ilipita kipindi hicho basi imechakachuliwa baada ya yaliyotokea, kamwe mleta dreamliner hawezi leta vimbweka hivyo😠!
Tutakukumbuka daima shujaa wetu mpendwa Mh Dr JPM ( may your precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏)!
Na Covid alipewa baada ya kuacha kupiga nyungu zake akapewa na huyu si ndio we Pichu?
 
Hizi mnazozipenda zinakwenda speed kali mno wastani wa 220-380km/h na zinahitaji njia ya pekee sasa Tz bado njia ya pekee haipo maana linaweza kutoka arusha hadi lusaka zambia likarudi tena arusha liakenda tena kisha likarudi arusha. Hapa ujerumani linajulikana kama ICE

View attachment 1849091
Lakini ipo ambayo ni SRT toka kwa hao hao Hyundai na inatembea kwenye geji yetu ya reli kama kawaida 😅😅😅 tukubali tu aidha hela yetu ndogo au tumepigwa ila treni la high speed zaidi lipo na linatembea kwenye reli yetu hio hio ya gauge ya 1.435
122325E1-3FFA-4E84-B7A6-856A9087B452.png
 
Wewe usiye na "kiherehere" tuonyeshe "zenyewe" ni zipi?
Sasa ww ndio unatupa mashaka hata na namna ulivyo kuwa una jibu maswali ya walimu wako woteee waliokufundisha kuanzia primary had elimu yako ya mwisho four 4 kama sikose...anyway tu assume 1st degree ..
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
Hapana. Sikubaliani na hoja yako. Najua jinsi Hayati alivyokuwa na taste nzuri ya vitu. Kama treni tuliyo nunua ni hii, haitakuwa imenunuliwa kwenye awamu ya tano.
Angalia vitu ambavyo Hayati Magufuli amevifanya kama Dreamliner, Design ya Meli mpya Victoria, Madaraja na kadhalika. Magufuli alikuwa na Taste nzuri na alipenda vitu vizuri. Asingependa sisi tuwe na vitu vibaya hiyo nina uhakika.
Treni ilinunuliwa awamu ya Magufuli. Usimsingizie mama bure.
 
Back
Top Bottom