Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
- Thread starter
-
- #321
Kwa trains zilizoonyeshwa hapo juu?Ndio Mkuu hizo zote ni za kampuni tajwa
Ni kampuni kubwa na ni maarufu wanatengeneza vitu vingi sio trains tu
Nimeangalia website zao
Kuhusu kumaliza Dar- Dom sijui labda hela zimebana
Taratibu tutafika
Hapana 2020 december. Wanadai Coronavirus ndiyo sababu.Hivi si ilikua zije na zianze kazi mwishoni mwa 2019 kulitokea mkwamo gani mpaka ziingie awamu ya sita ?
Inawezekana bado hujaziona treni za wakati za abiria. Kwa mizigo labda.Ndio mkuu Bata Mzinga, twende ipo poa mkuu, why watu walalamike, kitu Kama Bata mzinga
Bei kitonga mdau si unajua sie tunapenda msererekoIngawa katika Hali ya kawaida hii ya kwetu tunayotarajia kununua imekaa vibaya kwa kweli. View attachment 1848552View attachment 1848553View attachment 1848554
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa trains zilizoonyeshwa hapo juu?
Hata 160 km/h ni speed kubwa sana kwa treni yenye uzito mkubwa kama huu. Zingatia Moments of inertia wakati utakapo lisimamisha ghafla. Retardation distance yake ni kubwa sana.Mkuu kwa speed ya 350km/hr utaweza ku operate hiyo treni kwenye hii reli yetu ya SGR? au kuna namna njia yake inatengenezwa ili kuepusha maafa kwa raia na mifugo, maana ng'ombe kuvuka reli ni jambo la kawaida sana huku kijijini kwetu.....
Hatulihitaji hilo dubwasha. Hatuna ulazima wa kulinunua kama hatuna pesa. Tunaweza kusubiri.Sasa mkuu utafanyaje Kama serikali umeamua sikiliza watu primitive,kwamba badala ya kwenda mbele twaludi nyuma,twende na Bata mzinga
Basi isingeitwa Standard Gauge!Mm nadhani treni inategemea na reli yake, labla hiyo itakayoletwa ndio inaendana na reli yetu
Kwanini?JF ianze kucharge fees mtu kujiunga.
Vyoyvote vile atakavyo fanya sisi ni sawa tu, maadam tuna pata kitu cha kutusugua roho zetu.Mna Hela ya kununua hii, au mnataka mama arudishe kodi ya kichwa?
SGR ni SGR haijalishi.This is it
Hehehehe kwahio yale ma Diesel Locomotive nayo yalitokeaga Hyundai?Hizo picha nilizoweka ni za Hyundai
Zina utofauti wa speed
Hata hii wameweka ya chini imewekwa kwenye taarifa tofauti kuwa ndio zinakuja Tz na speed itakuwa 160km per hour tofauti na za zamani 40km/hr
View attachment 1849325
Sema hiki chuma chenyewe sanaHizo picha nilizoweka ni za Hyundai
Zina utofauti wa speed
Hata hii wameweka ya chini imewekwa kwenye taarifa tofauti kuwa ndio zinakuja Tz na speed itakuwa 160km per hour tofauti na za zamani 40km/hr
View attachment 1849325
Hata treni ya speed hii 160 km/h itamrarua vipande vipande. Zingatia kuwa mwili wa mnyama ni kama wa binadam tu asilimia kubwa ni maji, H2O.Ngβombe akivuka mtaokota vipande tu maana ile itampasua! Hizo zinaitwa bullet trains mkuu ni hatari sana
Hyundai kwenye maswala ya mashine simuamini kabisa maana alishatuangushaga kwenye magari tu πππ!Wachaina bado hawako vizuri katika treni mkuu. Treni nyingi unazo ziona China ninzile ambazo wameshirikiana nanmakampuni mengine kama Siemens ya ujerumani, Bombardier ya Canada, KAWASAK ya Japan na kadhalika. Sidhani pia kama Hyundai wako vizuri kwenye huu utaalam. Ndiyo kwanza nimesikia sasa hivi.
[emoji106]Hawazitaki, wakati wananchi wanaumia na mradi wa reli, bora tuumie ila basi maumivu yaende raha, hawataki Sasa.
Ni kweli Schnecke![emoji3][emoji3][emoji3]Chineke!
Hata mie nahisi ile picha ni treni ya mizigo ndio imekaa ki old school ila ya abiria hasa waliotest akina mwingi inaonekana ina Recaro seats kabisa π π πKwa uelewa wangu kutokana na kutembea nchi kadhaa pamoja na kuona kupitia media mbali mbali ni kwamba treni ya mizigo haina muonekano Sawa na treni za abiria. Hii upo hivyo China, Japan, ujerumani, Sweden na hata Korea kwenyewe. kuna picha mdau mmoja ame share hapa akijaribu kulinganisha utaona zile alizoweka ni treni za abiria. Hivyo basi hii picha inayosambaa ni kichwa cha treni ya mizigo. Ya abiria ya kwetu nayo itakua tufauti kidgo.
Wachaina bado hawako vizuri katika treni mkuu. Treni nyingi unazo ziona China ninzile ambazo wameshirikiana nanmakampuni mengine kama Siemens ya ujerumani, Bombardier ya Canada, KAWASAK ya Japan na kadhalika. Sidhani pia kama Hyundai wako vizuri kwenye huu utaalam. Ndiyo kwanza nimesikia sasa hivi.