Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Ingawa katika Hali ya kawaida hii ya kwetu tunayotarajia kununua imekaa vibaya kwa kweli. View attachment 1848552View attachment 1848553View attachment 1848554

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nitoe ufaf
Badala ya kujua specifications za hizo treni anaangalia muonekano. Halafu hela ya kununua treni anayotaka hana. Kazi kweli kweli
Hizo train mnazosema ni mbaya si kweli kwamba hazitumiki katika nchi zilizoendelea. Hizi hapa ujerumani zinaitwa regional bahn yani treni zinazokwenda mikoani ingawa ni za umeme lakini speed yake ni karibu sawa na hizo za Tz wastani wa 160 - 200 km/h
Hukumbuki jinsi mlivyo mnanga na zile ndege zake za panga boi!
Train mnazozilalamikia zinatumika hata hapa ujerumani zinakwenda mikoani ni za umeme ila tofauti yake ni mwendo. Huwa zinakwenda wastani wa 160-200km/h

Screenshot_20210711_001335.jpg
 
Ni eco-friendly na ni nzuri
Muonekano wake sio mzuri lakini ziko vizuri
Kampuni ni maarufu na ni kubwa hata [emoji631] wana kitengo huko
Siemens walisemekana wanataka kununua hii kampuni ila ikakanushwa

Train zao wameuza sehemu nyingi duniani ikiwamo Australia, turkey na kwingine
Kama vipi zikija tujifunzie hizo ili tutoe copy na bora zaidi

Hizi ni baadhi za trains zao ila tuwaambie watume hizo za juu au mnasemaje maana maamuzi ni sisi tuliomo humu View attachment 1848745
Hiyo ya juu ni High speed train, ya katikati ni treni ya kupiga masafa ya ndani ya mji na kando kando kama tuseme posta mpaka kibaha au Mkuranga. Haina speed kubwa sana. Max. Speed ni 80-100 km/h. Hiyo ya chini inaweza unganisha miji miwili na kuwa na speed mpaka 150 km/h.
 
Hoja yako ingekuwa na nguvu ya kujadiliwa kama ungeweka "specifications" za "train" zilizoagizwa. Bila hivyo endelea na uzushi wa vijiweni, ati zimeibuka lawama mitandaoni juu ya aina ya treni inayodaiwa kuwa ndio serikali ya Tanzania imeiagiza na bado unaweka kifua kumtaka Rais ajibu! Du, haki na uhuru wa mawazo ukitumika vibaya!
Tukijiridhisha kwamba ni bomu tutahamasisha wananchi wasipande
 
Hahaaaa!!maajabu mtu atakuwaje anapenda vitu vizuri lakini ana muona tajiri adui?!!na kuona raha kila mtu kuishi maisha ya unyonge?!!alikuwa na roho ya uharibufu tu!!kwa taarifa yako, mkataba huo wa hivyo vichwa vya treni na mabehewa yako, ulishasainiwa siku nyingi na ndio maana wanakwambia mwakani usafiri unaanza, kwa akili zako unafikuria sasa ndio wanaanza kuvitengeneza?na mbona hata vya majaribio vilishaletwa?!!
Hayati Magufuli amekwisha tuonyesha kuwa yeye alipenda vitu vizuri kwa ajili yetu. Angalia jengo letu la Tanzanite ni la mfano. Umeliona jengo jingine kama lile duniani kama Station? Bila yeye watanzania wangekuwa wanaiona Dreamliner leo kwenye Airport zao? Chuki zako binafsi achana nazo, hazitakasaidia kitu.
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Are you sure it's Samia who brought those machines?

Can you confirm hiyo picha ndicho kitakachokuja?

Are you sure hiyo look ni old fashion?

Tuna watu mnapenda Sana chokochoko
 
Mkuu utamudu kununua treni toleo la kisasa inayoenda kwa supersonic speed iliyotengenezwa na majapan au mkorea? Je, kwa namna miundombinu yetu ya SGR ilivyojengwa inamudu kweli ku operate toleo la kisasa la hizi treni ambazo zinakwenda kasi ya ajabu. Nafikiri pamoja na ubora na kasi lazima wazingatie gharama au bei ya hizo treni, ili angalau kukidhi mahitaji. Huko mbeleni baada ya kukusanya pesa ya kutosha ndo unaweza kuingiza mdogo mdogo matoleo ya kisasa zaidi.......mwanzo mgumu.
Hakuna Treni yenye Supersonic. Hata hiyo Magleb haifikii supersonic. Ndege ya abilia iliyo kuwa na uwezo wa kufikia supersoni ni Concord tu. Ndege nyingine ni za kivita tu.
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

uliona initial design ya kijazi flyover? Haikua km ilivyo sasa. Usiniulize how...fatilia tangu mwanzo hata hapa jf utaona niongeacho.
Mulilalamika kipindi like?? Au mlikua mkiogopa kutekwa??? na wasiojulikana. Sasa hivi mmeshupaza midomo kama mabaniani weusi. Maaamaaaaazn¥√√√ hem tulieni KAZI iendelee. Ufanisi ndio tutakao judge wameshindwa au la na wala sio structure ya Train.
 
Hiyo ni picha tu
Hii ya Hyundai Rotem yaTunisia wameagiza 2019 ina speed ya 120km/h
Screenshot_20210711-042651_Chrome.jpg
Screenshot_20210711-042707_Chrome.jpg
 
Hayati Magufuli amekwisha tuonyesha kuwa yeye alipenda vitu vizuri kwa ajili yetu. Angalia jengo letu la Tanzanite ni la mfano. Umeliona jengo jingine kama lile duniani kama Station? Bila yeye watanzania wangekuwa wanaiona Dreamliner leo kwenye Airport zao? Chuki zako binafsi achana nazo, hazitakasaidia kitu.
Mmmmm!!!yaani kwa mawazo yako lile jengo la vioo la pale station ndio la kwanza la aina hiyo duniani?!!au unaishi SANGAMWARUGESHA?kwa hiyo kuona hiyo dreamliner kwao imewasaidia nini?ninachoweza kukwambia MUNGU FUNDI
 
Back
Top Bottom