Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Hii Hyundai rotem ya Australia waliagiza naona ndio inaspeed ya 160 km/h
Screenshot_20210711-043110_Chrome.jpg
Screenshot_20210711-043110_Chrome.jpg
 
Hizo zilishanunuliwa na awamu ya 5,mama kafanyiwa delivery tu..sema kweli halina mvuto,likekaa kaa tu kama kontena la Maersk[emoji23][emoji23]
Hata delivery Bado

Zinakuja in 2024, what you saw is just a photo of products za walioshinda tender

Watanzania mkone lakini?

Hamsomi??

Ni uvivu au uwezo wa akili?
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

I still can't believe I am reading this rant isiyo na kichwa Wala miguu
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Hzo za kisasa bullet train sisi kwa sasa hatuna uwezo wa kununua ni very expensive. Pia running cost yake nikubwa wangeleta hzo tungepiga tena kelele kwemye nauli
 
Hata delivery Bado

Zinakuja in 2024, what you saw is just a photo of products za walioshinda tender

Watanzania mkone lakini?

Hamsomi??

Ni uvivu au uwezo wa akili?
Tumesoma na tumeona. Lakini bandiko limetolewa na manufacturer. Sasa kama alimaanisha treni nyingine basi tulitegemea angeweka picha inayo fanana na kile tulicho kubaliana nacho. Na kama sio basi mtoa taarifa ya kushinda kwa hiyo zabuni atakuwa ametudhalilisha sisi sana watanzania kwa kuonyesha kuwa hiyo ndiyo treni ambayo sisi tumestahili kuitolea Tender.
 
Hapana. Basi tusubiri mpaka hapo tutakapo kuwa na uwezo ndiyo tununue treni zinazo kwenda na wakati. Kila mara kuyaangalia madudu kama haya tumechoka. Haya madubwasha tunayo mengi sana ukijumlisha na yale ya TAZARA.
Mimi napendekeza, haya ma"ein LoK" yatumike kwenye magari ya mizigo tu; ziletwe aina ya zile nyoka, hata nne tu zitumike kwa mabehewa ya wasafiri.

Naelewa hii inaweza kuongeza gharama, lakini hadhi ya nchi nayo ni ya gharama kubwa. Hatuwezi kuwa tunaendelea kufanya mambo kifukarafukara; tutaendelea kudumaa hivyo hivyo.

Hili pendekezo ningependa tulifikishe TRC walifanyie kazi.

Lakini kabla ya hiyo, ningependa watueleze sababu ya kununua haya "maboksi" yatumike kwenye reli yetu mpya.
 
Hizi zinahitaji njia special kwa sababu ni mwendo kasi kweli kweli dar to arusha litasimama tanga na Moshi dakika kumi kumi tu speed 220-380 km/h

View attachment 1849110
Hahahah yani hili ndio ingekuwa gauge iliotengenezewa rails naona ndio ingekuwa convenient zaidi sema sio mbaya hata hizo za 160km/h zitaonesha utofauti mkubwa maana yale majongoo ya diesel ya reli ya kati yanaenda 40km/h sawa na mwendo wa gari ikiwa locked kwenye 3rd gear!

Hizi ICE ni nzuri kwa route ya Dar Mbeya huchoki yani 😅😅😅 maana in 3 hours ushafika!
 
Hahaaaa!!maajabu mtu atakuwaje anapenda vitu vizuri lakini ana muona tajiri adui?!!na kuona raha kila mtu kuishi maisha ya unyonge?!!alikuwa na roho ya uharibufu tu!!kwa taarifa yako, mkataba huo wa hivyo vichwa vya treni na mabehewa yako, ulishasainiwa siku nyingi na ndio maana wanakwambia mwakani usafiri unaanza, kwa akili zako unafikuria sasa ndio wanaanza kuvitengeneza?na mbona hata vya majaribio vilishaletwa?!!
Sio kinyonge bana matajiri wengine mbona hawajasumbuliwa kama akina Bhakressa? Ukiwa clean husumbuliwi ila ukiwa una makando kando ndio serikali ya Magu inakuzingua hasa ukiwa kiburi ya hela😅😅😅
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Ni simple tu. Usipande
 
Sio kinyonge bana matajiri wengine mbona hawajasumbuliwa kama akina Bhakressa? Ukiwa clean husumbuliwi ila ukiwa una makando kando ndio serikali ya Magu inakuzingua hasa ukiwa kiburi ya hela😅😅😅
Bakhressa huwezi kumtenganisha na Lumumba. Yule ni zaidi ya Lumumba
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
Hapana. Sikubaliani na hoja yako. Najua jinsi Hayati alivyokuwa na taste nzuri ya vitu. Kama treni tuliyo nunua ni hii, haitakuwa imenunuliwa kwenye awamu ya tano.
Angalia vitu ambavyo Hayati Magufuli amevifanya kama Dreamliner, Design ya Meli mpya Victoria, Madaraja na kadhalika. Magufuli alikuwa na Taste nzuri na alipenda vitu vizuri. Asingependa sisi tuwe na vitu vibaya hiyo nina uhakika.
Halafu uzuri alikuwa ana ujanja navyo alikuwa mwanasayansi yule jamaa asingeagiza utopolo namna hio😅😅😅 labda kama ndio the best for our railways ndio akaafiki ila kama kungekuwa na class ya juu zaidi kwa reli zetu angeagiza hio
 
Lkn Mzee alizinunua bombardier akina Zito walimkosoa kuwa ni ndege ambazo zishapitwa na wakati sana na kweli naskia zilikuwa zinakorofisha kila siku...

Ok let us say mama ndo kanunua basi awe makini isiwe ikawa amewatuma wahuni tu watu wa dili wamechikichia hela ndo kutuletea hili kontena na reli ya kisasa!!![emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Kama mama alituma vijana wakalipie hela huenda wamefanya yao huko Korea ili kubakiwa na chenchi ya kuja kuporomoshea maghorofa mbweni 😅😅😅
 
Back
Top Bottom