Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Hata Lucas mwashambwa jamaa anajitahidi sana kuonekana.... Taarifa zake tunafikisha pia. Anajaribu sana kwa IDs zake zote. Naye wamwone. Akionekana atapata na muda wa kumpumzika. Wenzie baada ya kuukwaa wakawa busy humu hawaonekani tena.
Kwako mama yetu Samia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Natumai umzima wa afya njema na unaendelea na shughuli zako za kiofisi.
Mama, ndugu yetu Elia Wilinasi ni kijana safi mwenye weledi na mzalendo anayetamani kukitumikia chama cha mapinduzi katika ngazi za juu na taifa kwa ujumla.
Alichukua fomu ya kugombea ujumbe wa hamshauri kuu ya CCM taifa kama karata yake ya kwanza kulitumikia taifa le.
Safari hii anasubiria mkeka wa ukuu wa wilaya kwa hamu, bado anatamani kulitumikia taifa katika ngazi ya ukuu wa wilaya.
Ahsante sana.
Kazi iendelee
Kwasababu anapenda uongozi boss wangu.Kwanini unamuombea kazi na asiombe mwenyewe?.
Daah yaani umemuina yeye tu?Kwako mama yetu Samia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Boss unamaswali yenye mantiki sana. Ila kiukweli huyu mtu anapenda kulitumikia taifa lake sana.Daah yaani umemuina yeye tu?
Unamwombea ajira mmeo?
Kwanini umuombee wewe?
Ana kitu gani cha ziada kumzidi mchopanga?ππ
Unapendekeza nani aondolewe ili yeye apewe nafasi?
Nipigie debe na mimi mamy, nitalitumikia taifa langu kuliko mtu yeyoteBoss unamaswali yenye mantiki sana. Ila kiukweli huyu mtu anapenda kulitumikia taifa lake sana.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Mtag Rais basi... IDs zako zote zinakiwa ziwe active. Jitahidi dogo...sisi haya mambo yameshatulipa. Pambana.Acha kelele wewe mwache mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania , Mzalendo wa kwelii ,mwenye upendo wa dhati na nchi hii atutumikie watanzania, pia Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mungu pekee na siyo kujipigia promo
Acha kujifanya unanijuwa sanaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Mtag Rais basi... IDs zako zote zinakiwa ziwe active. Jitahidi dogo...sisi haya mambo yameshatulipa. Pambana.
Sawa boss karibu,Nipigie debe na mimi mamy, nitalitumikia taifa langu kuliko mtu yeyote
ππππππHivi kuna mtu anaijua ID ya Presida hapa.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Mtag Rais basi... IDs zako zote zinakiwa ziwe active. Jitahidi dogo...sisi haya mambo yameshatulipa. Pambana.
Hapana boss, unapoona mwenzako ana wito wa uongozi si vibaya kumfungulia milango boss.Chawa kazini
Usiwe na shaka boss taifa lipo mikono salama kabisa.Hii tabia ya kujipendekeza inapelekea nchi iwe inajiendea kwa kukosa mwelekeo kama sasa
Ni kweli boss, Ila mdomo ndio silaha ya mafanikio. Ili ufanikiwe jitahidi sana kufungua mdomo. Ukishindwa kabisa andika unachotaka kusema.Ni bongo tu mtu anaamin kupata cheo kupitia kelele zamitandaon
Toka jana umeanza kumuelezea huyo mtu wako.
Afanye Jambo ambalo litaonekana waz la manufaa kupiga kelele mitandaoni siyo sehemu sahh ya mtu kupata nafas Kama hyo
Taasisi ya urais miaka hii imekuwa ya hovyo sna kila mtu anaweza piga kelele mtandaon kumpigia debe mtu wake badala ya kuonesha ulichonacho vetting ije baadae lakn bongo tunaamin nafas kwanza uwezo utaujulia hukohuko
Muulize Pascal Mayalla mwaka wa ishirin huu haonekani mbele ya wanaofanya vetting pamoja na uwezo aliouonesha maeneo MBALIMBALI
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Umeoga?umekula? Kalale.ππππππHivi kuna mtu anaijua ID ya Presida hapa.
Daaah... Lucas. Yamekuwa hayo tena? Tunajenga nyumba moja tusigombee fito. Vipi umerudi tayari? Leo sikwenda HQAcha kujifanya unanijuwa sana
πππDaaah haya maneno yanauma, Ila ndio basi tena.π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Umeoga?umekula? Kalale.
Kumbe ninyi mwafahamiana kabisa. Hapa tunasema hizi IDs zinasomanaDaaah... Lucas. Yamekuwa hayo tena? Tunajenga nyumba moja tusigombee fito. Vipi umerudi tayari? Leo sikwenda HQ