Kwa maana hiyo force account nayo inachelewesha?Mkuu mbona alifafanua vizuri kabisa,kwamba hizi pesa tulizopewa inabidi tuzitumie kwa muda wa miezi Tisa kukamilisha hiyo mipango yetu...
Sasa tukisema tufuate taratibu za manunuzi ya serikali au kugawa tenda basi miezi Tisa itafika na tutakua hatujafanya jambo lolote maana taratibu za ugawaji tenda au manunuzi za serikalin zinatumia muda mrefu.
Kwaio akapendekeza itumike njia ya single source ili kukimbizana na muda ...shughuli nyingine za kwenye miradi mingine wataendelea kama kawaida na force account.
Mkuu JK ndo alifanya taasisi ya urais iwe kwenye nidhamu yake? Mbona wana jamii forums mmekuwa kichekesho sikuhizi? Yani mpaka kusema wale wenzake walishahukumiwa nayo mnamuona Magufuli..!! Mbona watu wa ajabu nyie?Hivi kama rais alisema Mbowe ni gaidi na tayari waliokamatwa nyuma yake wameshahukimiwa unatarajia kwake kuvunja sheria ni kitu kitamsumbua? Magufuli aliiharibu taasisi ya urais sana na itachukua muda sana kuirejesha katika nidhamu yake.
Kina mama tunaweza sio😅Uwe unachangia mada kama hizi mara nyingi. Uwezo huo unao.
Single sourcing can bring uniformity and reduce the cost of buying some critical materials of the project, if not compromised. Kwa mfano, kama mahitaji ya saruji yanajulikana na wanaotengeneza saruji wakatoa bei za kuuza, the cheapest can be given the opportunity to supply.Hapo Sasa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Kaleta Mchanyato, Mseto Kuna Mamlaka Zitashindwa Kufanya Kazi Zake
Hii Sasa Hivi Imewaibua Watu Kwenda BRELA Haraka Kusajiri Kampuni Tayari Kwenda Kupiga
Acha Tuone Japo Mupe....Muruke.....
Utawaweza wabongo kwa ujuaji?Mkuu mbona alifafanua vizuri kabisa,kwamba hizi pesa tulizopewa inabidi tuzitumie kwa muda wa miezi Tisa kukamilisha hiyo mipango yetu...
Sasa tukisema tufuate taratibu za manunuzi ya serikali au kugawa tenda basi miezi Tisa itafika na tutakua hatujafanya jambo lolote maana taratibu za ugawaji tenda au manunuzi za serikalin zinatumia muda mrefu.
Kwaio akapendekeza itumike njia ya single source ili kukimbizana na muda ...shughuli nyingine za kwenye miradi mingine wataendelea kama kawaida na force account.
Issue vigezo..Japo nakubaliana na wewe kwa hili, ila urgency ya Mh. Rais pia inamashiko. Chamsingi ni hata hao single sourced wawekwe wazi ni akina nani ili kupunguza upendeleo wa watu wenye makampuni yao.
All in all corruptions hata kwenye hizo tendering zipo tu. Vyombo vyetu vya usalama vikifanya kazi yake vizuri na kulazimisha uwazi wala hakuna tatizo
Kina mama tunaweza sio😅
Hili nalo nenoWalioleta hizo procurement units katika serikali na taasisi za umma ni hao hao IMF na World Bank. Bila kufuata taratibu za manunuzi IMF na World Bank hawatoi fedha. Sasa sijui wamebadilika lini?
Time frame kuwa IMF wametukopesha fedha zitumike ndani ya miezi 9 ni uongo wa mchana kweupe! Lazima kuna nongwa hapa kwa nini single source?
Anzeni na katiba ya chadema na cuf kwanzaKila Rais anayekuja anajiamulia anachotaka, ndio maana taifa linazidi kudumaa kimaendeleo kwasababu hakuna succession plan, halafu wakiambiwa kuhusu Katiba Mpya wanajibu hawaihitaji kwasasa ili wazidi kutuvuruga tu, na wale wajinga wengine wanasema Katiba Mpya haina maana itakuwa ya Chadema.
Walioleta hizo procurement units katika serikali na taasisi za umma ni hao hao IMF na World Bank. Bila kufuata taratibu za manunuzi IMF na World Bank hawatoi fedha. Sasa sijui wamebadilika lini?
Time frame kuwa IMF wametukopesha fedha zitumike ndani ya miezi 9 ni uongo wa mchana kweupe! Lazima kuna nongwa hapa kwa nini single source?
Walioleta hizo procurement units katika serikali na taasisi za umma ni hao hao IMF na World Bank. Bila kufuata taratibu za manunuzi IMF na World Bank hawatoi fedha. Sasa sijui wamebadilika lini?
Time frame kuwa IMF wametukopesha fedha zitumike ndani ya miezi 9 ni uongo wa mchana kweupe! Lazima kuna nongwa hapa kwa nini single source?
Kwa mtindo huu rushwa itatamalaki na vikampuni vya mifukoni vingi vitaanzishwa, mwendazake alilaumiwa kwa Mayanga Construction huyu nae anajitengenezea mazingira.
Hakuna kitu kibaya kama msaidizi wako namba moja ndio anakuwa mpinzani wako namba moja. Iliwahi kumtokea Julius Caesar na Chaka Zulu. Ila hao wapinzani wao hawakudumu!Leo wakati Rais akizindua mpango wa maendeleo (tafsiri "matumizi") ya pesa ya Covid kutoka IMF, amesema anaagiza watumie "single source" kwenye manunuzi na kandarasi. Kasema zabuni za kawaida zinatuchelewesha, hataki kuzisikia.
Swali langu lina sehemu mbili tatu:
hivi taratibu za matumizi ya zabuni shindanishi haziko kisheria ?
the biggest political upheaval ever in this country, ukiondoa Nyerere kufukuzwa Ikulu na jeshi kwa masaa 48, ni pale Prime Minister Lowassa na Principle Secretary Msabaha na wengine walipotimuliwa na shinikizo la tume ya Mwakyembe kwa kushindwa kuzingatia taratibu za manunuzi na zabuni, procurement and tendering.
likaja wimbi kubwa la kutilia mkazo mambo ya procurement, watu mpaka mameneja kwenye mashirika na mawizara wakapelekwa vyuoni na kwenye ma semina kusomea kozi za procurement, sheria ikawa amended ikapewa meno, ikaundwa regulatory body inayoshughulikia procurement tu.... tunakumbuka ?????
haya, akaja Marehemu, akawa anauliza maafisa majukwaaani, mnatumia "force account" ? Force account ikawa habari ya mjini.
sasa leo Rais Samia katangaza anaagiza watumie "single source."
Single source ni nini?
Force account ni nini?
Na zabuni shindanishi zimefutwa lini?
na kwa nini zilikuwa haliteti tija ?
na ni wapi wameona single source au force account ni bora zaidi? Kwa ripoti gani?
tumeacha kupigwa kwenye makandarasi toka single source and force account zije ?
Na Rais anawezaje kufuta sheria ya bunge thabiti jukwaani ?????
Haujui maana ya single source. Ukitumia mtindo wa Single Source hautaita quotations kutoka kiwanda cha Wazo Hill, Tanga, Mbeya, Mtwara n.k. Ukifanya hivyo ina maana unawashindanisha na itaitwa "competitive bidding" sio single source bid. Single source ni kusema kuwa baada ya kufanya tathmini ya hayo makampuni ( uwezo wake wa uzalishaji, magari waliyokuwa nayo, dealers wao n.k.) mnaamua kuwa Wazo Hill anafaa kwa hiyo ni yeye peke yake mtamuomba alete quotation ya kusupply saruji. Baada ya hapo ni negotiations kati yenu ni kuhusu bei, upatikanaji wake, kiasi mtakachonunua n.k. tu. Hamna kulinganisha bei za producers wengine ( bei ya madukani sio sawa na bei ya kwenye tenda). Katika hali hiyo, hauoni uwezekano wa mtu kuweza kuingiza maslahi yake katika mazingira ambapo mzabuni ni mmoja tu? Na vile vile mzabuni atasukumizwa na nini kupunguza bei yake wakati anajua hana mshindani?Single sourcing can bring uniformity and reduce the cost of buying some critical materials of the project, if not compromised. Kwa mfano, kama mahitaji ya saruji yanajulikana na wanaotengeneza saruji wakatoa bei za kuuza, the cheapest can be given the opportunity to supply.
Shida yetu ni kupenda na kufanya rushwa. Hiko kinaweza kuwa kigezo cha kununua kitu kile kile mara nne ya bei. Kwenye hizi halmashauri zetu, kuna kina baba aambiliki wengi sana. wababe na wasiojari hata ubora wa kazi yenyewe. Imagine ndio wanakuwa mameneja wa hizo hela za ujenzi...na wale wanaojiita wasimamizi wa serikali, wazee wa chama.
Kuna wakati bila kutumia mbinu mbadala, mambo hayatakaa kuja kwenda. Nazikumbuka sana zile bilions za JK. Inahitaji moyo kuzifanyia audit leo
Single sourcing nilivyoelewa ni hii ya critical items of the project to be source from one supplier. Mikoa iko kadhaa. Wilaya ziko kadhaa. Ndio maana kuna mtihani kwenye single sourcingHaujui maana ya single source. Ukitumia mtindo wa Single Source hautaita quotations kutoka kiwanda cha Wazo Hill, Tanga, Mbeya, Mtwara n.k. Ukifanya hivyo ina maana unawashindanisha na itaitwa "competitive bidding" sio single source bid. Single source ni kusema kuwa baada ya kufanya tathmini ya hayo makampuni ( uwezo wake wa uzalishaji, magari waliyokuwa nayo, dealers wao n.k.) mnaamua kuwa Wazo Hill anafaa kwa hiyo ni yeye peke yake mtamuomba alete quotation ya kusupply saruji. Baada ya hapo ni negotiations kati yenu ni kuhusu bei, upatikanaji wake, kiasi mtakachonunua n.k. tu. Hamna kulinganisha bei za producers wengine ( bei ya madukani sio sawa na bei ya kwenye tenda). Katika hali hiyo, hauoni uwezekano wa mtu kuweza kuingiza maslahi yake katika mazingira ambapo mzabuni ni mmoja tu? Na vile vile mzabuni atasukumizwa na nini kupunguza bei yake wakati anajua hana mshindani?
Amandla...
Sio hivyo. Ukiamua wewe mwenyewe ku supply items basi aina ya mkataba unabadilika ambacho sio kitu kibaya ila hautakuwa Single Source. Huo unaweza kuwa "labour based contract" kwamba mkandarasi analeta utaalamu wake na nguvu zake za ujenzi lakini vifaa kama simenti, nondo n.k. ananunua mwenye mradi na anavifikisha kwenye eneo la mradi. Hivyo vifaa unaweza kununua kwa kutumia Single source.Single sourcing nilivyoelewa ni hii ya critical items of the project to be source from one supplier. Mikoa iko kadhaa. Wilaya ziko kadhaa. Ndio maana kuna mtihani kwenye single sourcing
Unadhani hawaelewi? Ni pingapinga tu hao.Mkuu single source hutumika kwa case ya miradi ya dharura( uharaka) au miradi yenye unyeti( confidential) hivyo mh. Rais ameona time tuliyonayo ni ndogo kwa mpango husika kwa hiyo miradi mingine itaendelea kufuata utaratibu wa kawaida either forced account au competitive tendering.
Nakubaliana na wewe unachosema lakini nikisikia Rais SSH akisema wale PPRA watoe mwongozo namna ya kufanya hiyo single source.Issue vigezo..
Mtamlinganisha na nani na mchakato sio competitive?.
Maybe hapo kwny vigezo vya kumpat single source ndo patiliwe mkazo...for inclusivity..
Ni kweli Single source ofcourse iko fasta.,
Iwe monitored kwa karibu zaidi kuleta matokeo yanayotarajiwa...