Rais Samia: Nawatakia Heri ya Christmas na Mwaka Mpya Watanzania wote, nawaomba 2022 tuzidi kuwa Wamoja

Rais Samia: Nawatakia Heri ya Christmas na Mwaka Mpya Watanzania wote, nawaomba 2022 tuzidi kuwa Wamoja

Bado amechemka. Angalau hata angesema jana muda wowote hata asubuhi jana,mchana,jioni au usiku wa kabla ya saa 6 jana
 
Nimeamini hawa Viongozi husoma jf kwa hakika.

Rais Samia kwa mfano baada ya kupigiwa kelele humu kwa kutotoa salamu za kheri ya Noel katika kurasa zake za mitandao ya kijamii hatmaye kama dakika 30 zilizopita amewatakiwa Noel njema Watanzania jambo ambalo ni zuri na ni utamaduni uliozoeleka tokea enzi kufanywa na Viongozi wetu.
We ni kichaa unajua! Kwaiyo siku ilikuwa ishaisha kwani?
 
Hatulilii salamu bali tunamkumbusha aendelee kuiga utamaduni ulioasisiwa na watangulizi wake ili kuepuka hizo sintofahamu.

Mfano Noel ilianza jana jioni ajabu yeye anakuja kutoa salamu saa 4 asubuhi leo tena baada ya watu kuhoji!
kafie mbali mpuuz wewe!! Wenzio wapo bize kusaka fedha, we unalilia upuuzi
 

Rais Samia hadi akurupushwe ndipo anapokumbuka jambo. Hata mkeka ( uteuzi)wa MaDas ameusahau .​

2. Kutemhelea. Mikoa ya Kusini mwa Tanzania amesahau.
3. Kwenda kuswali au kushiriki misa mbali mbali amesahau.
4. Biioni moja alizotuma kila jimbo kwa ajili ya kutengeneza barabara za vijijini amesahau na hadi sasa hakuna barabara iliyojengwa amesahau.
5. Kuhamia Dodoma mji mkuu wa Serikali amesahau anaishi Dar.
6. Katiba mpya mchakato wake amesahau naye alikuwa mwwnyekiti wa bunge la kuchakata katiba mpya .
 

Rais Samia hadi akurupushwe ndipo anapokumbuka jambo. Hata mkeka ( uteuzi)wa MaDas ameusahau .​

2. Kutemhelea. Mikoa ya Kusini mwa Tanzania amesahau.
3. Kwenda kuswali au kushiriki misa mbali mbali amesahau.
4. Biioni moja alizotuma kila jimbo kwa ajili ya kutengeneza barabara za vijijini amesahau na hadi sasa hakuna barabara iliyojengwa amesahau.
5. Kuhamia Dodoma mji mkuu wa Serikali amesahau anaishi Dar.
6. Katiba mpya mchakato wake amesahau naye alikuwa mwwnyekiti wa bunge la kuchakata katiba mpya .
Kamfufueni Basi mungu wenu dikteta
 
Usisahau kumkumbusha Mnyika kuwa na ww leo umeandika uzi wa kumchonganisha raisi na wakristo hapa nchini, ili angalau akutumie na ww bando la buku kama anavyowatumiaga wanaharakati wenzako.

images (26).jpeg
 

Hafidh Ameir kipindi hiki cha Xmas mbona haonekani na hasemi chochote kwa watanzania?​

 
Back
Top Bottom