Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdini wewe uliyekimbilia kutamka udini katika muktadha usiyo na chembe ya Dini.mtoa mada umejawa na chuki za kidini hata leo siku yenu ya furaha bado uso wako umekunjika na udini tu?
Alikuwa ameshalalaNoel ilianza usiku jana na kwalo salamu zilipaswa zitolewe jana
Vitu vidogo vinakutoeni roho.Ulitaka ategeshe alarm ili ikifika saa sita kamili usiku ndy awawish sikukuu njema?Dec 25 tena saa 4 asubuhi!
Tatizo sintofahamu hizo zinakuwa bayana kwa sababu ya utamaduni zoelezwa na watangulizi wake.Mimi ni mkristo ila hata asinge toa isinge nihusu. Kwa sababu sio sheria
We ni kichaa unajua! Kwaiyo siku ilikuwa ishaisha kwani?Nimeamini hawa Viongozi husoma jf kwa hakika.
Rais Samia kwa mfano baada ya kupigiwa kelele humu kwa kutotoa salamu za kheri ya Noel katika kurasa zake za mitandao ya kijamii hatmaye kama dakika 30 zilizopita amewatakiwa Noel njema Watanzania jambo ambalo ni zuri na ni utamaduni uliozoeleka tokea enzi kufanywa na Viongozi wetu.
Hata ukimtukana mleta mada, Kwa hili Samia kachemka. Ingekuwa Iddi ingefika SAA 4 siku ya sikukuu hajaongea chochote?hunaakili wewe.ulitaka atoe salam siku mbili kabla?
kafie mbali mpuuz wewe!! Wenzio wapo bize kusaka fedha, we unalilia upuuziHatulilii salamu bali tunamkumbusha aendelee kuiga utamaduni ulioasisiwa na watangulizi wake ili kuepuka hizo sintofahamu.
Mfano Noel ilianza jana jioni ajabu yeye anakuja kutoa salamu saa 4 asubuhi leo tena baada ya watu kuhoji!
Mngefanyaje kenge nyinyi!Hata ukimtukana mleta mada, Kwa hili Samia kachemka. Ingekuwa Iddi ingefika SAA 4 siku ya sikukuu hajaongea chochote?
Acheni udini enyi watu,matokeo yake mabayaHata ukimtukana mleta mada, Kwa hili Samia kachemka. Ingekuwa Iddi ingefika SAA 4 siku ya sikukuu hajaongea chochote?
Kamfufueni Basi mungu wenu diktetaRais Samia hadi akurupushwe ndipo anapokumbuka jambo. Hata mkeka ( uteuzi)wa MaDas ameusahau .
2. Kutemhelea. Mikoa ya Kusini mwa Tanzania amesahau.
3. Kwenda kuswali au kushiriki misa mbali mbali amesahau.
4. Biioni moja alizotuma kila jimbo kwa ajili ya kutengeneza barabara za vijijini amesahau na hadi sasa hakuna barabara iliyojengwa amesahau.
5. Kuhamia Dodoma mji mkuu wa Serikali amesahau anaishi Dar.
6. Katiba mpya mchakato wake amesahau naye alikuwa mwwnyekiti wa bunge la kuchakata katiba mpya .