Rais Samia ndio kiboko ya Mbowe na CHADEMA

Rais Samia ndio kiboko ya Mbowe na CHADEMA

Endelea kuota
Vijana gani wabadilike??? Hawa wasiojiongeza,wasio na ubunifu na wanaosubiri teuzi na kubakia kufanya kuwa 'wachuuzi' wa viongozi wanaosaka madaraka kipindi inapoelekea uchaguzi, badala angalau kuja na mipango na mikakati thabiti, ya kusaidia nchi kujitoa kwenye lindi la umaskini! Vijana wa Tz bado mnatuangusha sana......
 
Vijana gani wabadilike??? Hawa wasiojiongeza,wasio na ubunifu na wanaosubiri teuzi na kubakia kufanya kuwa 'wachuuzi' wa viongozi wanaosaka madaraka kipindi inapoelekea uchaguzi, badala angalau kuja na mipango na mikakati thabiti, ya kusaidia nchi kujitoa kwenye lindi la umaskini! Vijana wa Tz bado mnatuangusha sana......
Akili zao zimefanana na zako, napiga picha hapa tangu ujana wako Hadi uzee wako umefanya nini zaidi ya kupiga porojo.

Wewe ni kizazi cha vijana wa enzi hizo so hauna Cha maana chochote ulichonacho zaidi ya kelele kelele za mitandaoni.
 
Nina mashaka na upeo wa akili wa vijana wa UV-CCM. Eti wamejibatiza kuwa vijana wa Tanzania,na Cha ajabu wakavaa nguo za kijani!. Low thinking.
 
RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.

Na; Philipo Mwakibinga.

Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;

Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?

Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?

Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?

LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA.
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.

Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.

Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.

Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.

TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
DOGO PHILIPO UNAHANGAIKA SANA KUJIPENDEKEZA, BILA KUMTAJA MBOWE NA CHADEMA MAVI HUWA YANAWAKABA SANA! UMEANDIKA UPUUZI WA HALI YA JUU,
NINYI NDO WATU AMBAO MNADHALILISHA SANA ELIMU YA BONGO.
YAANI ANDIKO LAKO LINA lack of objectivity and particularity.
 
RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.

Na; Philipo Mwakibinga.

Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;

Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?

Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?

Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?

LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA.
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.

Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.

Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.

Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.

TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Mi nirifikiri ile Tabia ya watu kujipendekeza Ili wapate uteuzi ilienda na mwendazake,kumbe bado ipo,
Raisi Samia au Raisi yoyote wa TZ kutoka ccm hatakiwi kuwa kiboko kwa Chadema,Hilo sio jukumu alilochaguliwa kwenda kupambana nalo,and for that matter hatakiwi kuwa kiboko kwa mtu yeyote,anatakiwa awe kiboko kwa issues,ufisadi,uzembe,ukosefu wa ajira,matumizi mabaya ya madaraka na mali ya umma,Chadema iacheni tu,kama ccm mnakosa usingizi kwa sababu ya Chadema,Hilo ndilo lengo,Chadema ilifungiwa na kuteswa kwa miaka mitano na lile shetani la Chato,lakini Mungu mkubwa,bado ipo,tatueni kero za wananchi Hilo ndio jukumu lenu
 
Mzee mwakibinga hapa hana mtoto furushi tu la mavi bora angetumia kondomu.
 
Unagombea mkeka
RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.

Na; Philipo Mwakibinga.

Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;

Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?

Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?

Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?

LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA.
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.

Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.

Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.

Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.

TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
 
Mwili mkubwa kumbe bure tu.unatumia muda na akili zako zote kuandika ujinga.Vijana wengi mnaoandika ujinga kwenye mitandao kuponda kina mbowe na chadema mnapoteza muda wenu.huo muda bora muwe mnajielimisha ili angalau mpate ata akili kidogo.
 
bado tu uko zama za Jiwe, kamalizie digrii yako ya Kiswahili kwanza
kwa sasa hamna kujipendekeza, wewe Mwakibinga, Mchange, Singo, Baraka Messo, Mwita Nyarukururu na waganga njaa wenzako wa pale Lumumba imekula kwenu, mshapoteza future
 
Akili zao zimefanana na zako, napiga picha hapa tangu ujana wako Hadi uzee wako umefanya nini zaidi ya kupiga porojo.

Wewe ni kizazi cha vijana wa enzi hizo so hauna Cha maana chochote ulichonacho zaidi ya kelele kelele za mitandaoni.
Dunia imehamia kwenye mitandao... Impacts ni kubwa sana!
Weka akiba ya maneno!
 
RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.

Na; Philipo Mwakibinga.

Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;

Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?

Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?

Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?

LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA.
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.

Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.

Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.

Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.

TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Achana na Kiongozi wetu shupavu SSH. Huyu mama hana siasa za kizandiki na roho mbaya. Hana siasa za maji taka. Anajua kabisa hata yeye leo akitoka madarakani mtamnanga kama mnavyomnanga Jiwe! wanaomuimbia mitano tena, ni hao hao walikuwa wanaimba mapambio ya mitano tena kwa Jiwe. She knows you guys kuliko mnavyojielewa.

She doesn't rejoice in the misery and suffering of other people.

Upinzani ni ideas! hata leo ungewafyeka wapinzani wooote Tanzania (Jiwe alijaribu--sijajua kama alifanikiwa). Lazima utachipuka tuu.....Mama hilo analijua ndo maana ana focus tulijenge taifa letu....

Inabidi wapambe wa jiwe au mwendazake mbadilike mjue kwamba tunaishi zama mpya! Mkae mtulie.
 
Huyu amesikia uteuzi wa ma-DC unakuja anaweka kabisa na majina, ama kweli njaa inatesa sana.

Halafu wewe nakushangaa sana, hujui Chadema wameshasema wazi kwamba bila ya tume huru hawatashiriki uchaguzi wowote utakao andaliwa na hii tume ya ccm.
 
Vile vile ni kiboko cha Tundu Antipas Mughwai aliyeko huko ubelgiji ambaye sasa anahaha baada ya wazungu kumsahau.
Tulia wewe..na unavyooandika hata akili ya kupewa U-DAS huna...... Vijana wa mwendazake mna wakati mgumu sana. Maana mlikuwa mnasukumwa na roho mbaya tuu na wala si kingine! Kwamba wote tukose! na nina uhakika watu design yako hamkufaidi sana enzi za jiwe..bali tuu mlikuwa mnafurahia mateso ya wengine.
 
Back
Top Bottom