Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mke mdogo wa marehemu spika 6,tunakujua unaparamiwa n wenzio badilika mungu hapendi tendo hiloRAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.
Na; Philipo Mwakibinga..
Binuka.Kwel ww ni nguchiro
Bullshit.Kwa akili yako hii ni dhahiri kuwa uliishia darasa la 2.Achana na Lissu. He's more than your father.
Insha ndefu ya nini?Tulia wewe..na unavyooandika hata akili ya kupewa U-DAS huna...... Vijana wa mwendazake mna wakati mgumu sana. Maana mlikuwa mnasukumwa na roho mbaya tuu na wala si kingine! Kwamba wote tukose! na nina uhakika watu design yako hamkufaidi sana enzi za jiwe..bali tuu mlikuwa mnafurahia mateso ya wengine.
Kwani mama samia kawafanyia kipi vijana?RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.
Na; Philipo Mwakibinga
Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;
Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?
Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?
Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?
LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.
Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.
Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.
Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.
TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Na umasikini utadumu miaka 1000 ijayoUnaiongelea CCM itakayotawala zaidi ya miaka 1000 ijayo?
Hopeless, low IQ, totally dumb assVile vile ni kiboko cha Tundu Antipas Mughwai aliyeko huko ubelgiji ambaye sasa anahaha baada ya wazungu kumsahau.
Go hang.Hopeless, low IQ, totally dumb ass
Go hang 🤣🤣🤣🤣, yaan nyie TAGANIST ni bure kbsGo hang.
Si unajifanya unajua hicho kizungu chako cha ugoko. Sasa vipi unatumia Kiswahili? Upuuzi mtupu.Go hang 🤣🤣🤣🤣, yaan nyie TAGANIST ni bure kbs
Philipo Mwakibinga huyu Mbowe ndiye alikutoa usichana wako?RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.
Na; Philipo Mwakibinga
Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;
Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?
Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?
Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?
LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.
Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.
Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.
Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.
TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Umasikini ni kwako mwenyewe uliyebweteka unasubiri CCM ikutajilishe.Na umasikini utadumu miaka 1000 ijayo
Pumbafu futa huu uzi mama hapendi sifa za kijingaRAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.
Na; Philipo Mwakibinga
Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;
Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?
Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?
Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?
LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.
Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.
Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.
Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.
TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Na ndiyo haya majinga yaliyokuwa yanafurahia matendo haramu ya kina sabaya..kwa kweli hawa vijana wa CCM uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.
..badala ya kuwaza namna gani matatizo yao yatapatiwa ufumbuzi wao wanawaza jinsi ya kumkomoa Freeman Mbowe.
Atakuwa kama Sabaya tu..huyu Mwakibinga hata akipewa nafasi ya uongozi inawezekana akaitumia kujaribu kumkomoa Freeman Mbowe badala ya kushughulikia matatizo ya vijana na wananchi kwa ujumla.
Atakuwa kama Sabaya tu
Ninyi ndowale uvccm wajinga msio jadili Sera Bali kubeba wagombea mgongoni!! Mtapinda migongo kisa kubeba wazee wenye mavitambi mgongoni huku wakiwahemea kisogoni. Jadilini Sera na hoja zakuijenga nchi bwege wwRAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.
Na; Philipo Mwakibinga
Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;
Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?
Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?
Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?
LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.
Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.
Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.
Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.
TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Kama anayafanya hayo yote kwa manufaa ya taifa, basi sioni shidaRAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.
Na; Philipo Mwakibinga
Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;
Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?
Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?
Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?
LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.
Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.
Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.
Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.
TANZANIA TANZANIA TANZANIA.