Rais Samia ndio kiboko ya Mbowe na CHADEMA

Rais Samia ndio kiboko ya Mbowe na CHADEMA

Tulia wewe..na unavyooandika hata akili ya kupewa U-DAS huna...... Vijana wa mwendazake mna wakati mgumu sana. Maana mlikuwa mnasukumwa na roho mbaya tuu na wala si kingine! Kwamba wote tukose! na nina uhakika watu design yako hamkufaidi sana enzi za jiwe..bali tuu mlikuwa mnafurahia mateso ya wengine.
Insha ndefu ya nini?
 
RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.

Na; Philipo Mwakibinga

Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;

Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?

Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?

Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?

LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.

Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.

Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.

Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.

TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Kwani mama samia kawafanyia kipi vijana?
 
RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.

Na; Philipo Mwakibinga

Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;

Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?

Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?

Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?

LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.

Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.

Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.

Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.

TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Philipo Mwakibinga huyu Mbowe ndiye alikutoa usichana wako?
 
RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.

Na; Philipo Mwakibinga

Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;

Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?

Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?

Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?

LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.

Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.

Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.

Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.

TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Pumbafu futa huu uzi mama hapendi sifa za kijinga
 
..kwa kweli hawa vijana wa CCM uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.

..badala ya kuwaza namna gani matatizo yao yatapatiwa ufumbuzi wao wanawaza jinsi ya kumkomoa Freeman Mbowe.
Na ndiyo haya majinga yaliyokuwa yanafurahia matendo haramu ya kina sabaya
 
Atakuwa kama Sabaya tu

..Magufuli aliwazoesha kushinda chaguzi kwa kutumia mabavu, ukatili, na uzushi.

..Ni utamaduni mbaya sana kuurithisha kwa chama na vijana wa nchi hii.

..Ni hatari kwa umoja wa vijana wa chama chochote kutokuwa na vijana wenye uwezo na mazoea ya kushindana kwa hoja, na kusimama upande wa haki.
 
RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.

Na; Philipo Mwakibinga

Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;

Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?

Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?

Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?

LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.

Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.

Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.

Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.

TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Ninyi ndowale uvccm wajinga msio jadili Sera Bali kubeba wagombea mgongoni!! Mtapinda migongo kisa kubeba wazee wenye mavitambi mgongoni huku wakiwahemea kisogoni. Jadilini Sera na hoja zakuijenga nchi bwege ww
 
RAIS WA JMT MAMA SAMIA KUMSTAAFISHA UENYEKITI WA CHADEMA NDUGU FREEMAN MBOWE IFIKAPO MWAKA 2023.

Na; Philipo Mwakibinga

Muda kidogo nilijiuliza sana bila kupata majibu juu ya azma na uamuzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe (Mwamba) kutangaza kuwa ifikapo Mwaka 2023 atang'atuka uenyekiti wa Chama hicho kinachopoteza uwezo wake kila uchao. Mambo yaliyonifanya nishangae na kupata sintofahamu ni;

Uchaguzi wa Serikali za mitaa utakua Mwaka 2024. Swali nikawa najiuliza iweje Mh Mbowe aukimbie uchaguzi huu muhimu sana katika nchi yetu? Kwanini asiongoze chama katika jambo hilo ili awavushe wale wanaoimba kila siku kuwa, Mwamba tuvushe×2?

Uchaguzi Mkuu 2025. Hapa pia nilijiuliza sana iweje Mwamba ninayemfahamu aingize chama kwenye uchaguzi Mkuu wa kihistoria bila yeye kuwa Mwenyekiti? Nani CHADEMA yuko tayari kusikia hilo? Mbaya zaidi sijasikia Mwanachadema yeyote aliyelalamikia uamuzi wa Mwamba tofauti na miaka yote anayobeep kujifanya hagombei halafu anatengeneza watu wanajifanya wamemchukulia form. Nikajiuliza nikweli Wanachadema wamemchoka Mwamba kiasi hicho cha kumuacha aendezake?

Suala la Michango ya Kadi Moja kuwa Laki Mbili. Hili nalo, lilinifanya nibaki na uvulivuli katika fikra zangu, kwani nilibaki nashangaa imekuaje Mwamba aanzishe uvunaji mkubwa wa Pesa kiasi hicho halafu asiwepo katika nafasi ya kuamua nini kitumike wapi kwa namna gani kama ilivyo kawaida yake?

LEO NIMEGUNDUA KUMBE MWAMBA ALISHAMSOMA RAIS MAMA SAMIA
Hapa imebidi nikumbuke Dr Slaa aliposema sasa kwa aina ya uongozi wa Rais Mama Samia, ndiye anakuja kuunyima ajenda upinzani kabisa bora hata aliyepita aliwapa ajenda za kuzungumza kwa mfumo wake aliotumia. Nimekubali! Mfano ukifuatilia namna maono na mipango yake unagundua kabisa kuwa Upinzani utakosa cha kulalamika na kuungwa mkono. Kama ulifuatilia kongamano la leo utagundua kuwa VIJANA SASA WANAMUELEWA MAMA SAMIA NA WOTE WANAENDELEA KUMUUNGA MKONO.

Mbowe kaona bora kushindwa kwa chama chake kwa mara nyingine kusiwe katika mikono yake. Bora aepuke lawama na kulinda heshima yake kuliko kuendelea kuwa Mwenyekiti aliyeshindwa mara nyingi zaidi baada ya Lipumba. MBOWE NI MUUNGWANA. Maana waswahili wanasema haja ya mja kunena lakini Muungwana ni vitendo. Kaka kaonesha kitendo cha kukimbia mapema ili kujitoa lawamani.

Huwezi kushindwa kumuelewa na kufanyakazi na Rais huyu kwasababu anapenda kuona Wananchi wote wanapenda kufanikiwa na wanatengeneza miundombinu ya kufikia mafanikio. Vijna wamepata somo kubwa sana leo ambalo matokeo yake yatakua ni utekelezaji wa maazimio ya kwenye kongamano.

Viongozi wengi wa Afrika wamekua wakiogopa kuongea na vijana kwani ndiyo kundi lenye mahitaji mengi sana pamoja na kuwa ndiyokundi linalotegemewa sana. Wengi wameishia kuongea na Wazee na akinamama tu.

TANZANIA TANZANIA TANZANIA.
Kama anayafanya hayo yote kwa manufaa ya taifa, basi sioni shida
 
Back
Top Bottom