Denis Swai
Member
- Sep 9, 2024
- 27
- 67
Nimetawaliwa na ma-rais wa awamu zote Rais Samia Suluhu ndiye rais bora zaidi kuliko wote, Mungu amlinde.
Kwenye TANU na CCM nilimpigia mbunge mmoja tu nae ni Severino Supa wa Dodoma mjini na nilipata sijampigia kura rais yoyote wa TANU na CCM ila safari hii uchaguzi unaokuja nitampigia kura rais Samia Suluhu Mungu ambariki Rais wa viwango vya dunia
Eee Mungu wa rehema mlinde Rais Samia Suluhu.
Kwenye TANU na CCM nilimpigia mbunge mmoja tu nae ni Severino Supa wa Dodoma mjini na nilipata sijampigia kura rais yoyote wa TANU na CCM ila safari hii uchaguzi unaokuja nitampigia kura rais Samia Suluhu Mungu ambariki Rais wa viwango vya dunia
Eee Mungu wa rehema mlinde Rais Samia Suluhu.