Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Jun 29, 2022 #41 Dada wa pwani lazima apende sifa ila hapishani sana na yule nyangumi.
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 78,790 Reaction score 128,275 Jul 4, 2022 #42 M2WAWA2 said: YAANI IMEPAA JUU Click to expand... Ikulu maana yake ni kutu kikuu, kama una shida na hilo anza na kubadilisha jina kwanza.
M2WAWA2 said: YAANI IMEPAA JUU Click to expand... Ikulu maana yake ni kutu kikuu, kama una shida na hilo anza na kubadilisha jina kwanza.
Abraham Lincolnn JF-Expert Member Joined Apr 12, 2018 Posts 2,754 Reaction score 4,975 Jul 4, 2022 #43 Rais wa hovyo sana
Abraham Lincolnn JF-Expert Member Joined Apr 12, 2018 Posts 2,754 Reaction score 4,975 Jul 4, 2022 #44 Bora hizo sifa zingekuwa za kweli lakini wala hakuna la maana lakini jinsi wanavyosifia utadhani Tanzania imekuwa New York [emoji3]
Bora hizo sifa zingekuwa za kweli lakini wala hakuna la maana lakini jinsi wanavyosifia utadhani Tanzania imekuwa New York [emoji3]
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Jul 4, 2022 #45 Abadan Samia hawezi kulifikia lile Jinamizi kwa kupenda Sifa labda kama 4yrs ago ulikuwa unaishi Underground.
Abadan Samia hawezi kulifikia lile Jinamizi kwa kupenda Sifa labda kama 4yrs ago ulikuwa unaishi Underground.
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Jul 4, 2022 #46 Nchi ngumu sana hii