situjadiriane
Member
- Jan 5, 2023
- 41
- 49
Watanzania tuwe wakweli.
Rais Samia ndiye mwanamke ambaye ni shujaa ukilinganisha na wanawake wote walio wahi kuwa Marais hapa Africa. Rais Samia anajiamini, ana maamuzi yenye tija kwa Taifa.
Apongezwe kwa busara zake.
Rais Samia ndiye mwanamke ambaye ni shujaa ukilinganisha na wanawake wote walio wahi kuwa Marais hapa Africa. Rais Samia anajiamini, ana maamuzi yenye tija kwa Taifa.
Apongezwe kwa busara zake.