Rais Samia, ni sawa kutaka tuanze upya lakini lazima tuwe na pa kuanzia

[emoji23][emoji23]
 

Unapenda sana kudhani choo chako Ni tofauti. Kinanukia cake. Moja. Hao Akina Azory unajua kwa dhati kabisa pasipo Shaka wamepoteaje na nani kawapoteza na kwa sababu gani. Wamelifanyia Nini Taifa na mtu wa kawaida ili uzi wako Uwe na maana.

Mbili: je wewe Ni mmoja ya Wale waliokua wanashangilia vifo vya watanzania kule KiBITI tena kwa maneno ya kisiasa. Umetubu? Kwa nani. Je Mfano mtu kama wewe, ndo naye Azory alikuwa mitaaa hiyo Tutajuaje uhusika wenu katika mahuaji Yale ya kutisha. Au Wale wasomalia. Au nyani. Au kuku?

Tatu. Asilimia ngapi ya watu kama wewe wanaona JPM alikuwa unavyohisi. Wewe. Mana naowafahamu wengi na hawa wakati wa kifo chake wanaonyesha walimwelewa na kumpenda. Hata mimi nilimpenda Rais wetu. Na nampenda Pia Mama Samia. Sijui wewe unamwakilisha Nani. Watu kama nyie hamjui chochote ila mnaropoka kwa kuwa mna bundle.

Nne. Mama hana Pa kutubu wala haja hiyo. Kazi na iendelee. Wewe kaaa nusa tu kama cake kula. Nachojua. Yakifunuka tunayoyatenda. Sote tuna cha kujibu. Lakini kwa Sasa. Endelea kujifurahisha.

You are stupid. Grow up. Move forward. Jenga. Onyesha njia. Ziba ufa.
 

Pole km wewe utamkumbuka kwa mabaya sie tunamkumbuka kwa mazuri....na hayo mabaya unayosema sisi tunaona alikuwa analinda nyumba yake ambayo ni Tanzania..km baba sensitive anavyolinda familia..km walitokea watoto watukutu wakufikia ama mahalf cast waliochanganya damu, hawamsikii wanabishana nae tufanyeje sisi...they learned the hard way...

Ni busara kwa kweli hawa watoto watukutu ama wawakilishi wao wangejipanga kwenda Chato kwenye nyumba yake ya milele na maua kumuomba msamaha kwa kumkwaza mzee wetu alietupambania usiku na mchana..

Rest easy JPM we miss you!
 
Mada hii ni kubwa na ya kufikirisha kuliko huu utoto ulioandika hapa. Ni vyema shule zifunguliwe mapema urudi shule kuliko kuingiza utoto kwenye mada za wakubwa.
Kama mada hii ni kubwa basi dunia ina vioja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…