Rais Samia: Nilikuwa Tour Guider kwenye movie ya Royal Tour

Rais Samia: Nilikuwa Tour Guider kwenye movie ya Royal Tour

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
RAIS SAMIA AKISHIRIKI UZINDUZI WA FILAMU YA THE ROYAL TOUR - JNICC, DAR ES SALAAM

FSOzJatX0AA7cIf.jpg



Tulianzia Marekani kwa kuwa utalii uliathirika na COVID na watalii kutoka Marekani walipungua.

Sekta ya Utalii inaajiri 4% ya watanzania na iliathirika sana wakati wa COVID19.

Rais Samia. Filamu ilikamilika mwezi wa tatu na walianza kurusha vipande vya filamu ambavyo vimeongeza kwa kiasi kikubwa idadi ya watalii.

Watalii wa ndani na wanje wameongezeka, watalii wa ndani wameongezeka kwa 7%.

Wamarekani wamehamasika kutembelea Tanzania. Giants kadhaa wa film wameonesha utayari wa kuja kufanyakazi nasi.

Tanzania ijitatarishe kupokea wageni wengi. Hii sio tu kwa watu wa hoteli. Rais amewataka Tume ya Uwekezaji ili wawekezaji wa kwenye hoteli watakaokuja wawekeze kwa urahisi

Amewataka watanzania kuchukua picha iliyooneshwa kwenye filamu. Kwa watu wote wa usafirishaji na kuonesha ukarimu
 
Yaani unamchukia binadamu mwenzio halafu unajifanya kusali. Hovyo kabisa. Tatizo Siasa mpaka umchukie mama wa mwenzio. Je mama Yako akichukiwa hadharani utajisikiaje.
Amesha omba msamaha kabla kwhya kaa kwa tutulia
 
Basi watu wasivyojua kufatilia mambo muhimu hawajui nini maana ya tour hii. Ukiona serikali inanadi kitu kwa gharama yeyote jua kuna kitu kinafunikwa ili watanzania wakae busy na mtour huu wasifatilie hicho kitu.

Nadhani wenye akili timamu hii kitu haiwapi shida. Kweli tunajuwa kuburuzwa.

Hapa hakuna kuhoji mambo muhimu ni kunadi huu mtour mwanzo mwisho.
 
Kipande changu pendwa kutoka kwenye hiyo filamu😁😁😁
View attachment 2216873
Sekunde ya 43 sentensi ya mwisho kabisa ya clip hii hili zungu linasema "ironically, Samia came to power as a results of "an important disease" threatening her country.

Zungu linamaanisha nn kuita Corona kuwa gonjwa muhimu?
 
Muendelezo wa Shughuli ya Rais wetu tumuunge mkono.
 
naitazama hapa kupitia channel ya Cinema zetu

tunamshukuru sana Mh.Rais
 
Back
Top Bottom