Rais Samia: Nilikuwa Tour Guider kwenye movie ya Royal Tour

Rais Samia: Nilikuwa Tour Guider kwenye movie ya Royal Tour

sio sawa kumdhalilisha kipenzi cha Wanyonge na wazalendo kwa majina ya kebehi
Huyu Raisi ni mkweli na muwazi kuwa Punguwani aliondoka na Uviko,hakuna cha Betrii kupiga shoti wala nini.
 
😂😂😂🤣🤣🤣😅😅😆😁
Huyu Raisi ni mkweli na muwazi kuwa Punguwani aliondoka na Uviko,hakuna cha Betrii kupiga shoti wala nini.
😄😃😃😀😀😂😂🤣😅😆😁😁
 
Kuna watu walimshabikia mwendazake kwa mbwebwe nyingiii, hawakuyaona madhaifa au upotoshaji wowote zama zile, sasa na nyie za kuupiga mwingi huku bibi zenu na ndugu zenu wanakunywa uji wa chimvi vijijini kwenu uko
 
Yani baada ya filamu watalii ni kweli wameongezeka sana baada ya clip hii?

Mh Rais utafiti wa kuongezeka watalii baada ya clip hii umefanywa lini na taasisi gani?
 
sio sawa kumdhalilisha kipenzi cha Wanyonge na wazalendo kwa majina ya kebehi

Aisee huyu jamaa katumia jina baya sana,Sjui hawa akina kigogo wanataka hii nchi wawe ndo wanatupangia mpka pa kuzikwa?
 
Back
Top Bottom