Pre GE2025 Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama

Pre GE2025 Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mama karogwa mpaka mwenyewe kaenda kukichekelesha Bumbuli, chezea mauza uza ww.
Arudie tena kama hafi, *****
 
Kura ni muhimu sana na ushawishi toka kwa wa piga kura ni muhimu
 
alipiga ufisadi tanesco na jamaa yake maharage
Fisadi anatunziwa na chakula badala ya kufikishwa mahakamani? Nafikiri ni zaidi ya ufisadi ukizingatia na Ummy aliguswa.

Zuhura Yunus yuko wapi siku hizi?!
 
1740595133947.png

Mwanzoni kabisa, January Makamba alimkosea Magufuli halafu akamsamehe. Hakuishia hapo. Japo hatujui kosa alilofanya na lini alilifanya hadi akapigwa 'kikofi' na mama. Je mnatafsiri vipi kusamehewa kwa Januari Makamba?​

Ni mbinu ya kisiasa ya kuwamilki wapinzani tishio kuelekea kwenye uchaguzi?​

Je ni sanaa za kawaida za MaCCM?​

Je ni kutapatapa na kukosa msimamo au kuzidiwa?​

Je kweli Makamba amesamehewa wau kuingizwa choo ya kike?​

 
Kama wewe ulivyo mtoto wa kambo kwa Tundu Lissu
LISU NI KIDUDU MDOGO SANA KWANGU WITH NO IMPACT ON ANY OF MY LIFE BUSINESSES WHATSOEVER!!
NIMESEMA MARA NYINGI KUWA CHADEMA HAKUNA ULAJI, NO ANY FINANCIAL GAIN.....NI MOYO WA KUFIA KILE UNACHOKIAMINI KUPITIA CHADEMA....UKOMBOZI, DEMOKRASIA YA NCHI YETU.
Nilikuwa nakuona kama mtu wa higher level thinking kumbe ni wale wale wa aina ya Lucas Mwashamba!
 
Back
Top Bottom