Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Inaonekana anapenda kuabudiwa sana,yaani 2015 ccm iliteua watu wa ovyo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi upo. Familia ya Makamba walikuwa na mganga wao maarufu akiitwa Mohamed Mbega kwa sasa ameshatangulia mbele ya haki na ndiye pia alikuwa mkuu wa jopo la waganga wa JK, huyo mzee alikwa kiboko sana nafikiri kuna kijana wake aliyemuachia mikoba ndiye huyu anamrudishia January chakula chake.Rais Samia Suluhu Hassan, ametangaza kumrejesha Januari Makamba, Mbunge wa Bumbuli, baada ya miezi sita ya kutohudumu kama waziri.
Rais Samia alitoa tangazo hilo Jumatatu wakati wa ziara yake mkoani Tanga, akifananisha hatua hiyo na adhabu ya kifamilia, akisema: "Mwanangu nilimpiga kikofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa Mama." Hakutoa maelezo zaidi kuhusu sababu za awali za kumuondoa kwenye baraza la mawaziri.
Makamba, ambaye alihudumu kama Waziri wa Mambo ya Nje kabla ya kuondolewa kazini mwaka 2024, alikumbatiana na Rais Samia mara baada ya tangazo hilo, hali iliyopokelewa kwa shangwe na makofi kutoka kwa wananchi waliokusanyika.
Urejeo wake katika serikali umeibua mjadala kuhusu uwezekano wa mabadiliko katika Baraza la Mawaziri, ingawa hakuna tangazo rasmi lililotolewa kuhusu nafasi mpya.
Chanzo: habarileo_tz
Na nilizozipata muda si mrefu ni kuwa Dogo JM kaomba apewe Wizara isiyo na Lawama nyingi ili yasije kumkuta tena!!!!
wewe ulifaulu kiswahili kigumuHaina maana alimzaba Kofi
Ana maana alimuacha kando
Maana hapo kuna kumfichia chakula pia, yaani kamkosesha riziki
yaani wanapeana kama zawadi, fadhila. hivi mmiliki wa hii nchi ni nani? october watanzania show them pls. ili chochote watakachofanya wajue wapo accountable kwa wananchi, wao ni vibarua tu wanawajibika, sio wamiliki wa nchi hii.Hii kitu ina kwaza kama sio kufedhehesha mzee. Imagine kuna vijana wenye uwezo,weledi na ari ya uzalendo wanao tamani sana kupata nafasi walipambanie taifa wanawekwa kando kinachoendelea ni reshuffling ya takataka zile zile.
Da kiswahili kigumu!Kumaanisha nn??
Rais Samia Suluhu Hassan, ametangaza kumrejesha Januari Makamba, Mbunge wa Bumbuli, baada ya miezi sita ya kutohudumu kama waziri.
Rais Samia alitoa tangazo hilo Jumatatu wakati wa ziara yake mkoani Tanga, akifananisha hatua hiyo na adhabu ya kifamilia, akisema: "Mwanangu nilimpiga kikofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa Mama." Hakutoa maelezo zaidi kuhusu sababu za awali za kumuondoa kwenye baraza la mawaziri.
Makamba, ambaye alihudumu kama Waziri wa Mambo ya Nje kabla ya kuondolewa kazini mwaka 2024, alikumbatiana na Rais Samia mara baada ya tangazo hilo, hali iliyopokelewa kwa shangwe na makofi kutoka kwa wananchi waliokusanyika.
Urejeo wake katika serikali umeibua mjadala kuhusu uwezekano wa mabadiliko katika Baraza la Mawaziri, ingawa hakuna tangazo rasmi lililotolewa kuhusu nafasi mpya.
Chanzo: habarileo_tz
Na nilizozipata muda si mrefu ni kuwa Dogo JM kaomba apewe Wizara isiyo na Lawama nyingi ili yasije kumkuta tena!!!!
Mwanamke ni mwanamke tu hata akiwa Rais! Huoni nchi inachezewa na wapumbavu hata wakina Makonda😂😂Kumaanisha nn??
Yan mtu kufanya ufirauni unayoikost nchi nzima ila mamake mdogo anamsamehe sababu ni familia nanyi mnapiga makofi, uungwana huo au ungese? Mtu kashindwa kudeliva, why asamehewe kama mtoto wako wa kumzaa wakati ile ni kazi na iko na interest za watu million 68 ?. Kwanini watu stupid mnakuwaga hamna chill until we know you guys are stupid all the way ? Why in Tanzania it's easy to know the ignorant than the brave ones ?Mama anaupiga mwingi, mama mitano tena. Huu ni uungwana na uzazi
Huyu Maza anatia aibu sanaInaonekana anapenda kuabudiwa sana,yaani 2015 ccm iliteua watu wa ovyo sana.
Samia anaona kila mtanzania ni mwanae. Ndiyo maana kila kitu sasa unaambiwa hiki na mama mara kile na mama. Wewe ni Samia Suluhu na siyo mama samia suluhu.Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo uhusiano wa mama na mwana.
"Lakini mwisho kabisa nataka nimuite mwanangu Januari (Januari Makamba) hapa aje huku, arudi kwa mama. Sisi wamama mnatujua, ukimkera mama anakupiga kofi, anakufichia chakula si ndio hivyo. Sasa mwanangu nilimpiga kofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa mama. Haya mwanangu njoo," amesema Rais Samia huku akimkumbatia Makamba
Unakua hoi kabisa mpaka pumzi inakataBi Samia ndipo anaponimaliza hapo.
Kama wewe ulivyo mtoto wa kambo kwa Tundu LissuAmerudishwa kundini, ni mtoto wa mama. Nape bado mtoto wa kambo..jitahidi kujikomba kwa kiwango cha hali ya juu utarudishwa.
Omba ziara ya jimboni kwako, Malaika gabriel atakutokea, nuru itakungarisha!
likuwa ikijulikana kwa tuliosomea Cuba 🇨🇺 kwamba Januari na Nape ni just a matter of time watarudishwa kilingeni !Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo uhusiano wa mama na mwana.
"Lakini mwisho kabisa nataka nimuite mwanangu Januari (Januari Makamba) hapa aje huku, arudi kwa mama. Sisi wamama mnatujua, ukimkera mama anakupiga kofi, anakufichia chakula si ndio hivyo. Sasa mwanangu nilimpiga kofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa mama. Haya mwanangu njoo," amesema Rais Samia huku akimkumbatia Makamba