Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
😂 😂 Ndugu yangu sukuma gang wenyewe ndio hao kina Kabudi?Hapo Samia anazidi kuwaumiza Sukuma Gang!
Hayo ni mambo yao CCM, yasiyutoe kwenye hoja kuu ya NO REFORM NO ELECTION
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 Ndugu yangu sukuma gang wenyewe ndio hao kina Kabudi?Hapo Samia anazidi kuwaumiza Sukuma Gang!
Hayo ni mambo yao CCM, yasiyutoe kwenye hoja kuu ya NO REFORM NO ELECTION
Yajayo yanafurahishaaa!!Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo uhusiano wa mama na mwana.
"Lakini mwisho kabisa nataka nimuite mwanangu Januari (Januari Makamba) hapa aje huku, arudi kwa mama. Sisi wamama mnatujua, ukimkera mama anakupiga kofi, anakufichia chakula si ndio hivyo. Sasa mwanangu nilimpiga kofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa mama. Haya mwanangu njoo," amesema Rais Samia huku akimkumbatia Makamba
Mwanamke lake jikoNdio maana marekani waliona bora wampe urais kichaa mwanaume urais kuliko kumpa mwanamke!
Waliona mbali!.
Kama nchi gani?yaani wanapeana kama zawadi tu ila sio utendaji bora, hii nchi wanaona kama wanaimiliki,kama ni kampuni yao vile, family company, leo anaweza kumpa mtu zawadi ya chochote hata kama alishashindwa kudeliver. nchi za wenzetu hukuti haya mambo.
Watanzania wanakwambia nani kama mama. Yani wanaona ni sawa serikali kuendeshwa kama familia. Mwanafamilia akiiba huwa tunamalizana kifamilia hatupelekani mahakamani.yaani wanapeana kama zawadi tu ila sio utendaji bora, hii nchi wanaona kama wanaimiliki,kama ni kampuni yao vile, family company, leo anaweza kumpa mtu zawadi ya chochote hata kama alishashindwa kudeliver. nchi za wenzetu hukuti haya mambo.
If you can't beat them just join them.Kushakucha ,Jogoo limeshawika Dodoma ,Apewe kura za ndiyo.
No reform ,No Election.
Yeap, kuna chakula tena kisheria! 😄 compensation zake!Uwaziri ni Chakula ?
Chadema wakae mkao wa kulaAmerudishwa kundini, ni mtoto wa mama. Nape bado mtoto wa kambo..jitahidi kujikomba kwa kiwango cha hali ya juu utarudishwa.
Omba ziara ya jimboni kwako, Malaika gabriel atakutokea, nuru itakungarisha!