Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Mama mitano Tena i love samia suluhu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hizi kauli Tanzania itaibiwa na kupigwa vikofi kwenye rasilimali Hadi iombe pooooRais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo uhusiano wa mama na mwana.
"Lakini mwisho kabisa nataka nimuite mwanangu Januari (Januari Makamba) hapa aje huku, arudi kwa mama. Sisi wamama mnatujua, ukimkera mama anakupiga kofi, anakufichia chakula si ndio hivyo. Sasa mwanangu nilimpiga kofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa mama. Haya mwanangu njoo," amesema Rais Samia huku akimkumbatia Makamba
Alitaka kumpidua achukue form ya Urais. Sasa hakuna tena form hivyo Makamba hana madhara yoyote ndio maana karudishwa.Nimesikia leo huko Tanga kwenye Ziara ya Mama akirudishwa kwa Mama.
Wenye kujua watujuze huyu Mtoto alifanya nini kikamkera Mama hadi kufikia kupigwa kikofi na kufichiwa Chakula?
Fitina za makundi ya wasaka Urais.Nimesikia leo huko Tanga kwenye Ziara ya Mama akirudishwa kwa Mama.
Wenye kujua watujuze huyu Mtoto alifanya nini kikamkera Mama hadi kufikia kupigwa kikofi na kufichiwa Chakula?
Itakuwa Sugu alimsemelea ile Malaria 2 no more 😂😂Fitina za makundi ya wasaka Urais.
Nasubiria gazeti la Kigogo media
January na Nape ni machawa wenye entitlement syndrome. Wanastahili kuachwa wale vumbi jumla kama Ibilisi alivyoachwa na Mungu jumla!Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kumsamehe Mbunge wa Bumbuli January Makamba akisema Mama ukimkera anakupiga kikofi na kukukufichia chakula na hivyo amekiri kuwa alimpiga kikofi January lakini leo February 24,2025 ametangaza kumsamehe na kumrudisha January kwa Mama.
Rais Samia ametangaza msamaha huo kwa January Makamba leo wakati akiongea na Wananchi wa Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga ambapo amemuita pia January na kumkumbatia kwa furaha mbele ya Wananchi.
“Mwisho kabisa nataka nimuite Mwanangu January hapa aje huku, arudi kwa Mama, sisi Wamama mnatujua, ukimkera Mama anakupiga kikofi anakufichia chakula si ndio?, sasa Mwanangu nilimpiga kikofi nikamfichia chakula lakini leo namrudisha kwa Mama.. haya Mwanangu”
My Take
Hicho chakula ndio yale mavyakula ya kula kwa urefu wa kamba?
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo uhusiano wa mama na mwana.
"Lakini mwisho kabisa nataka nimuite mwanangu Januari (Januari Makamba) hapa aje huku, arudi kwa mama. Sisi wamama mnatujua, ukimkera mama anakupiga kofi, anakufichia chakula si ndio hivyo. Sasa mwanangu nilimpiga kofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa mama. Haya mwanangu njoo," amesema Rais Samia huku akimkumbatia Makamba
Makamba karudishiwa kambaMy Take
Hicho chakula ndio yale mavyakula ya kula kwa urefu wa kamba?
Na kwa msisitizo, wamefanya hivyo mara 2,Ndio maana marekani waliona bora wampe urais kichaa mwanaume urais kuliko kumpa mwanamke!
Waliona mbali!.