Hivi kweli jamaa ni IT!Mpishi wa matokeo amemsogeza karibu ningekuwa Mimi ningekataa ubaya ubwelaa
Nilitaka kusahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kweli jamaa ni IT!Mpishi wa matokeo amemsogeza karibu ningekuwa Mimi ningekataa ubaya ubwelaa
We want changes!Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo uhusiano wa mama na mwana.
"Lakini mwisho kabisa nataka nimuite mwanangu Januari (Januari Makamba) hapa aje huku, arudi kwa mama. Sisi wamama mnatujua, ukimkera mama anakupiga kofi, anakufichia chakula si ndio hivyo. Sasa mwanangu nilimpiga kofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa mama. Haya mwanangu njoo," amesema Rais Samia huku akimkumbatia Makamba
Bila shaka January akirudi hautampinga tena mamaHapo Samia anazidi kuwaumiza Sukuma Gang!
Hayo ni mambo yao CCM, yasiyutoe kwenye hoja kuu ya NO REFORM NO ELECTION
Kweli Taifa limepata mama, kwa maana hata kama mtoto ni jambaka sugu, mama hawezi muacha.Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo uhusiano wa mama na mwana.
"Lakini mwisho kabisa nataka nimuite mwanangu Januari (Januari Makamba) hapa aje huku, arudi kwa mama. Sisi wamama mnatujua, ukimkera mama anakupiga kofi, anakufichia chakula si ndio hivyo. Sasa mwanangu nilimpiga kofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa mama. Haya mwanangu njoo," amesema Rais Samia huku akimkumbatia Makamba
Kwa kipi?.January yuko vizuri
Ndio hivyo na hatuna cha kufanya zaidi ya kulalamika tu.Yaani wanapeana vyeo kama zawadi tu ila sio utendaji bora, hii nchi wanaona kama wanaimiliki, kama ni kampuni yao vile, family company, leo anaweza kumpa mtu zawadi ya chochote hata kama alishashindwa kudeliver. Nchi za wenzetu hukuti haya mambo.
malope alileta ukuwadi wa kiborn town, akala kofi.Siasa ni hatari , kumbe aipigwa Kofi . Kofi Hilo it means ilitokea kero Fulani hivi . Ni kero ipi hiyo ? , Mimi na wewe hatuijui
Pleasure of the President - Balozi KagashekiSiasa ni hatari , kumbe aipigwa Kofi . Kofi Hilo it means ilitokea kero Fulani hivi . Ni kero ipi hiyo ? , Mimi na wewe hatuijui
Hii kitu ina kwaza kama sio kufedhehesha mzee. Imagine kuna vijana wenye uwezo,weledi na ari ya uzalendo wanao tamani sana kupata nafasi walipambanie taifa wanawekwa kando kinachoendelea ni reshuffling ya takataka zile zile.Yaani wanapeana vyeo kama zawadi tu ila sio utendaji bora, hii nchi wanaona kama wanaimiliki, kama ni kampuni yao vile, family company, leo anaweza kumpa mtu zawadi ya chochote hata kama alishashindwa kudeliver. Nchi za wenzetu hukuti haya mambo.
Rais mzima anatetea na ku normalize gender based violence.Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo uhusiano wa mama na mwana.
"Lakini mwisho kabisa nataka nimuite mwanangu Januari (Januari Makamba) hapa aje huku, arudi kwa mama. Sisi wamama mnatujua, ukimkera mama anakupiga kofi, anakufichia chakula si ndio hivyo. Sasa mwanangu nilimpiga kofi, nikamfichia chakula, lakini leo namrudisha kwa mama. Haya mwanangu njoo," amesema Rais Samia huku akimkumbatia Makamba