CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hii picha akiiona kunguni Lucas Mwashambwa anaumia saana.Yes!
Naweza kusema haya mambo bila nguvu fulani nyuma Yako utafel Kwa Kila kitu. Iwe Kwa ofisi, Biashara, music, Sanaa, mpira n.k
Kipara kaupiga mwingi Mama Kawa mpole Aisee!!!π€π€π€
Ok. Nitaenda Tanga nionane nae anipe maelekezo. Kapita wapi?
Kampuni haina mwenyewe.... Iko na CEOYaani wanapeana vyeo kama zawadi tu ila sio utendaji bora, hii nchi wanaona kama wanaimiliki, kama ni kampuni yao vile, family company, leo anaweza kumpa mtu zawadi ya chochote hata kama alishashindwa kudeliver. Nchi za wenzetu hukuti haya mambo.
Acha mbwembwe dogoπππHii picha akiiona kunguni Lucas Mwashambwa anaumia saana.
Unaumia sana, debe lote hili unalopiga lakini hana muda na wewe.Acha mbwembwe dogoπππ
Mimi siyo mpiga debe.Unaumia sana, debe lote hili unalopiga lakini hana muda na wewe.
Siasa ni hatari , kumbe aipigwa Kofi . Kofi Hilo it means ilitokea kero Fulani hivi . Ni kero ipi hiyo ? , Mimi na wewe hatuijui
Aliyodokeza britanicca humu yalikuwa yanatisha.Siasa ni hatari , kumbe aipigwa Kofi . Kofi Hilo it means ilitokea kero Fulani hivi . Ni kero ipi hiyo ? , Mimi na wewe hatuijui
Fisadi anatunziwa na chakula badala ya kufikishwa mahakamani? Nafikiri ni zaidi ya ufisadi ukizingatia na Ummy aliguswa.alipiga ufisadi tanesco na jamaa yake maharage
Hata mama yako mzazi si kitu?πNani kama mama Samia Dunia muzima
LISU NI KIDUDU MDOGO SANA KWANGU WITH NO IMPACT ON ANY OF MY LIFE BUSINESSES WHATSOEVER!!Kama wewe ulivyo mtoto wa kambo kwa Tundu Lissu