Rais Samia: Nimefikwa na janga la kupewa kiti cha Urais, Mumenishika mkono na kuniombea afya njema

Hakuna kiongozi anaekubaliwa au kukataliwa na watu wote, hata waziri wa ulinzi hazungumzwi kwa sababu eneo lake haligusi maisha ya watu wengi, lakini bahati mbaya nchi ikiingia vitani na nchi nyingine nae pia atalaumiwa
 
Baba wa Taifa kamaliza kila kitu uzi ufungwe sasa.
Your browser is not able to display this video.
 
wewe nae hujui lugha za waugwana? muugwana anajua dhima ya ukuu.nae hajikwez bali anajua kuwa ni mzigo kuwaamulia mustakabal wa nchi watu aina ya kaliba kama yako.ilihali umekaa nyumban unakunyw juis wakat wenziwo hawalali wanaumiz kichwa.usifasiri lugha za waswahil kama uziskiavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa Ajabu sana hawa. Ndio maana huwa tunasema wanasiasa ni Watu wanafiki nafiki TU.
 
Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.

View attachment 2017525

(Source: TBC1)

Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Ni Tanzania pekee mtu anaweza kulikimbilia janga na kulipigania alipate yeye!
 
Mpumbavu,kajifunze tena hicho kiswahili halafu uje ueleze vizuri, kuandika tu hujui.
 
Sawa lakini awamu ijayo hatutakushika mkono tutakushika........
 
Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.

View attachment 2017525

(Source: TBC1)

Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Leo nakuto... totoo, nakutoa kwenu uje kwangu
Nina hamu yakuto... totoo, kutoa mahali uwe wangu (nyau)

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…