Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Mmh?! [emoji15]
Yamekuwa hayo tena?!
Yamekuwa hayo tena?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo mnajua kusaga kunguni balaaRais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.
(Source: TBC1)
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.
(Source: TBC1)
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
😃😃😃Hahahahah yani huwa akili inanijia ni sawa na yule mwanafunzi ameitwa ubaoni kaandikiwa 2+2=?
Wa nyuma kamuoneshea vidole vinne kuwa jibu ni 4 halafu kwenye jibu pale kaanza kuchora mkono wenye vidole vinne😅!
Totally useless prezi
Duu! Janga tena! Hapa tumepigwa na kitu kizito!Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.
View attachment 2017525
(Source: TBC1)
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Hata mwendazake alikuwa anasema amesukumizwa,hakujiandaa na anasema mumiombee Kazi ya Urais ni ngumu Sana,uliwahi msikia akisema ataondoka madarakani?Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.
View attachment 2017525
(Source: TBC1)
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Mkuu kwa sasa bado sijakuelewa vizuri msimamo wako. Enzi za Magufuli nilikusoma uzuri. Ngoja niendelee kukufuatilia.Mtanikumbuka!
Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.
View attachment 2017525
(Source: TBC1)
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Kwani Kuna rais aliyepata kueleweka na kila raia?!!!!Sijawahi mwelewa huyu mama
Yule kasukumizwa huyu kafikwa na janga[emoji3064][emoji15][emoji848][emoji2827]Eeh Mungu tusadieRais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.
View attachment 2017525
(Source: TBC1)
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Ndo akaenda kutuletea na January makamba Janga juu ya jangaKama anachukulia hiyo nafasi Kama ni janga basi tumepigwa!.. wale wote wanaokuwa ktk nafasi za pili lazima waandaliwe na wawe tayari kushika majukumu ya kwanza!. Tuchukulie hili kama funzo.
Anakubalika wapi wew kifaduroSiyo kweli. Makamba anakubalika Sana. Pengine wapinzani wake ndiyo mnaona wivu na kuamua kueneza propaganda mfu
Unamkubali wewe mpumbavu mwenzakoSiyo kweli. Makamba anakubalika Sana. Pengine wapinzani wake ndiyo mnaona wivu na kuamua kueneza propaganda
Hapa kaonyesha kibri cha uzimasio ya mbowe ,Bali ya mwingine.unaanzaje kumpa uwazr wa wizara nyeti ya umeme mtu asiyeaminika na watz wote!!??,
Kama mpk Samia amekubali mpk kamteua kumpa uwaziri mm na wewe ni akina nani tusimkubali Makamba??Unamkubali wewe mpumbavu mwenzako