Rais Samia: Nimefikwa na janga la kupewa kiti cha Urais, Mumenishika mkono na kuniombea afya njema

Rais Samia: Nimefikwa na janga la kupewa kiti cha Urais, Mumenishika mkono na kuniombea afya njema

Akaunti zako zinawezaje kufungwa kwa sababu za kifamilia bila amri ya mahakama? Ni mahakama ipi ilitoa amri ya kufungwa akaunti za Mbowe kwa maombi ya familia?
Mbona hakukanusha lilipotamkwa Bungeni hili zengwe!
Maana mwana mama Yule alijitapa akionya ajaribu tu kukanusha mzee wa Gwanda aone.Naye alipoona nongwa mitini🤣🤣🤣
 
JPM alikuwa anaona mbali sana kumuacha kwenye baraza lake. Huyu ni mbinafsi
Labda Kama una tafsiri yako ya neno ubinafsi. Lkn kwa tafsiri ya ubinafsi inayojulikana basi JPM ndiyo alikuwa kungwi wa ubinafsi baladhuli yule. Hakuona haya kukwapua trilioni 1.5 na kuipeleka kujenga Chato. Hakuona haya kujenga daraja la mabilioni kuungqnisha Kijiji cha Busisi.
 
Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.

(Source: TBC1)

Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Chichi Dodo
 
Hahahahahhaaa

2960778_AMf6ME.jpg
 
Kishaanza kuona kiti kichungu. mwanzo alijua ni rahisi rahisi tu. Na bado
Akitaka atawale kwa amani, amuachie mbowe
Hakuna kiti kuchungu tusilete story za marehemu hapa kazi hii ngumu sana silali unakuja uchaguzi uko mbele unaomba kuchaguliwa, Unafiki kwa lami huu hakuna kitu kitamu kama madaraka tusileteane porojo hapa ndio maana nchi nzima kila mtu anagombania hiyo nafasi kama kazi ngumu ni kusema toka sasa 2025 sigombei tena kazi ngumu hapo nitampa heshima sio kazi ngumu huko kwengine niko sana 2025 nichagueni...
 
Sijui kwanini wanasiasa wa Bongo hususani mwendazake na huyu mrithi wake wamekuwa wanafiki, Mwendazake alidai alijaribu tu akajikuta amesukumiziwa huko lakini badala ya kuachia ngazi ndio kwanza akawa anasuka mikakati ya kung'ang'ania madaraka leo tena na huyu mrithi wake anadai kurithi urais kwa mujibu wa katiba kwake ni janga lakini ilipodaiwa kwamba hana mpango wa kugombea 2025 amekuwa mkali kama pilipili badala ya kuona hiyo ndio fursa ya kuliepuka hilo janga!
Ila mama yupo
 
Ujinga wa hawa viongozi wetu ni kujifanya wapo hapo kwa kutuonea huruma, yaani wanataka tuone wanatusaidia

Na upumbavu wetu ni kuamini huo ujinga wao

Kama ilivyokuwa kwa Magufuli, anajuta kugombea urais, angejua asigombea Sasa unajiuliza kwanini hakujiuzuru???

Na hata huyu Bibi kizee kwanin asijiuzuru awaachie ambao wataona si janga
Sijui viongozi wa zamani wapo wapi yaani hata watoto wadogo wa shule wanajua maana ya uongozi wakipewa nafasi utasikia wanasema nitawatumikia kwa nguvu zangu zote, akili na Mungu anisaidie nitimize wajibu wangu na matendo yanaonekana Sasa hii ya kulia kama bibi harusi wa kizamani sijui nani kawafundisha?
 
Ni mtu yupi huyo unayemwongelea? Usijekuwa unamtukuza jiwe !! Jiwe alikuwa sherwani aliyefuzu. Mshenzi Sana muuaji na mtekaji mkubwa
Sasa siunaona alivyoondoka mnavyoparaganyika,kila kitu akishikiki,subiri kidogo uone nchi inavolipuka, ndio ntajua mlimwondoa mwenyehaki.Hakuna amani kwa mbaya
 
Hawa wote Cha mtoto,kiboko ni Mbowe alibugia Faru John mpaka akavunja mguu,halafu akasema wasiojulikana wamefanya yao.

Akaunti zake zimefungwa kwa mgogoro wa kifamilia akadai TRA.
Hili ndo baba lao.
Si Wewe mwenyewe, mi-sukumagang wote, mna akili mbofu mbofu!
 
Back
Top Bottom