Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
kwisha habari.Bi mkubwa haupepeti mwingi tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwisha habari.Bi mkubwa haupepeti mwingi tena?
Kwa sheria ipi TRA ifunge akaunt kwa migogoro ya kifamilia.Hawa wote Cha mtoto,kiboko ni Mbowe alibugia Faru John mpaka akavunja mguu,halafu akasema wasiojulikana wamefanya yao.
Akaunti zake zimefungwa kwa mgogoro wa kifamilia akadai TRA.
Hili ndo baba lao.
Nchi ya ahadi tutafikaa?
amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.
Laana ya mbowe hiyo wala asitafute mchawiLaana ya Mbowe plus uhaba wa maji na umeme vinamtesa.
Cha ajabu 2025 anataka tena kugombea.
Sijawahi kuwa mtumwa wa kiongozi wala chama chochote nakosoa na kupongeza ninavyojisikia ukifuatilia michango yangu utaliona hilo.Hawa wote Cha mtoto,kiboko ni Mbowe alibugia Faru John mpaka akavunja mguu,halafu akasema wasiojulikana wamefanya yao.
Akaunti zake zimefungwa kwa mgogoro wa kifamilia akadai TRA.
Hili ndo baba lao.
Hata km humpendi, kuongea uongo wa namna hii si jambo la kiungwanaHawa wote Cha mtoto,kiboko ni Mbowe alibugia Faru John mpaka akavunja mguu,halafu akasema wasiojulikana wamefanya yao.
Akaunti zake zimefungwa kwa mgogoro wa kifamilia akadai TRA.
Hili ndo baba lao.
Ako kakikundi Kenu ndio watz wote??sio ya mbowe ,Bali ya mwingine.unaanzaje kumpa uwazr wa wizara nyeti ya umeme mtu asiyeaminika na watz wote!!??,
Umemgonga jichoniBi mkubwa haupepeti mwingi tena?
Majitu kama hayo ni mapumbavu yenyewe kazi ni kujipendekeza kwa watawala hata kama hana chochote anachokipata.Hata km humpendi, kuongea uongo wa namna hii si jambo la kiungwana
Chuki haina jema popote pale
Fuatilia hotuba yake kwa uwt kule Zanzibar viwanja vya MaisalaHiyo kauli mmeipamba au kweli katamka yeye?
Wanalipwa hao kumtukana mboweHata km humpendi, kuongea uongo wa namna hii si jambo la kiungwana
Chuki haina jema popote pale
Hakika!Wanalipwa hao kumtukana mbowe
Mbona 2025 anautaka tena?Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.
(Source: TBC1)
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Ulitaka aseme amepata NEEMA ya kuwa Rais, hapo anamaanisha hiyo ni kazi ngumu inayohitaji kujitoa na uvumilivu, yeye sio wa kwanza kuonesha urais ni kazi ngumu hata Nyerere aliwahi kusema hivyo.Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.
(Source: TBC1)
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?