Rais Samia: Nimefikwa na janga la kupewa kiti cha Urais, Mumenishika mkono na kuniombea afya njema

Rais Samia: Nimefikwa na janga la kupewa kiti cha Urais, Mumenishika mkono na kuniombea afya njema

Siyo kweli. Makamba anakubalika Sana. Pengine wapinzani wake ndiyo mnaona wivu na kuamua kueneza propaganda mfu
Mimi sio mpinzani wake,tuko kijijini. Kwa huku kijijini tunaangalia utendaji wa mtu kwenye nafasi husika,hiyo ndio inaweza kuwa upinzani kwake.

Huyu makambo hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji. JPM alikuwa anaona mbali sana kumuacha kwenye baraza lake. Huyu ni mbinafsi,anaangalia maslahi yake kwanza. Hajali hata kama wengi mtaumia ili mradi yeye ana maslahi.

Ona juzi tu kapewa umeme. Ona kinachotokea. Huyu na miguru sio wa kuwapa nafasi hawa
 
Kwa sheria ipi TRA ifunge akaunt kwa migogoro ya kifamilia.
Nilifikiri una hukumu ya mahakama iliyoamuru zifungwe.
Mwacheni Gaidi apumzike
Hujanielewa yeye ndo alidai TRA walizifunga,huku akijua siyo TRA ni mgogoro wa kifamilia.
 
Hapa kinachomtesa ni team Kikwete kumchomekea deal kila uchao kuhusu mikakati ya kipigaji,ambayo ki uhalisia haikuwa nia ya huyu mama.

Kikwete amemtumia mama kuweka watu wake ili tu atimize mission zake zilizokwamishwa na Jembe JPM enzi hizo.

Mama anauona urais mzigo,maana hawamuachii.
 
Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.

(Source: TBC1)

Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?

AFF081E1-69D4-4FEB-8352-F933337B4D5A.jpeg
 
“Nilisukumizwa” na sasa “nimetupiwa janga”. Sijui ni lini tutapata viongozi ambao wako tayari?? Waliochagua kuwa viongozi!!

Na bado utasikia upande mwingine ukisema hawa ndio Mungu katuchagulia. Yaani Mungu kamsukimiza mtu na mwingine katupiwa janga!!

Mungu ni upendo!!
 
Hawa wote Cha mtoto,kiboko ni Mbowe alibugia Faru John mpaka akavunja mguu,halafu akasema wasiojulikana wamefanya yao.

Akaunti zake zimefungwa kwa mgogoro wa kifamilia akadai TRA.
Hili ndo baba lao.
Akaunti zako zinawezaje kufungwa kwa sababu za kifamilia bila amri ya mahakama? Ni mahakama ipi ilitoa amri ya kufungwa akaunti za Mbowe kwa maombi ya familia?
 
Amekuwa mkweli maana Ikulu kwa mtu muadilifu sio sehemu ya kukimbilia, matatizo yote ya jamii ni yako, wengine wana frustration zilizozidi za msiba na kila wanayemuona mbele yao ni mchawi yaani ni taabu tupu.

Lakini Mama hebu jipe moyo Mkuu na uiponye na kuipa furaha nchi.

#Mama 2025
 
Wajinga watahoji si ajiuzulu?.

System ikishataka uwepo sehemu unakuwepo hata kama umesukumiziwa. Inaenda hivyo mpaka itakavyoamuliwa vinginevyo.

Hii haina tofauti na ukianza kuuza madawa ya kulevya ukataka kuacha. Inawezekana ila ni ngumu sana. Komaa mama 2025 itajulikana kama unaendelea au la. Kwa sasa komaaa. Hii ni nchi yenye majeshi sio kikoba.
 
Amekuwa mkweli maana Ikulu kwa mtu muadilifu sio sehemu ya kukimbilia, matatizo yote ya jamii ni yako, wengine wana frustration zilizozidi za msiba na kila wanayemuona mbele yao ni mchawi yaani ni taabu tupu.

Lakini Mama hebu jipe moyo Mkuu na uiponye na kuipa furaha nchi.

#Mama 2025

D1C82A1A-BDE7-4531-B51D-C726C6CE3E34.jpeg
 
Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.

(Source: TBC1)

Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Walimuondoa mtu wa haki,wakifikiri watatawala kwa laha,na bado ingiwa juzi katoka kufanya tambiko.
 
Wajinga watahoji si ajiuzulu?.

System ikishataka uwepo sehemu unakuwepo hata kama umesukumiziwa. Inaenda hivyo mpaka itakavyoamuliwa vinginevyo.

Hii haina tofauti na ukianza kuuza madawa ya kulevya ukataka kuacha. Inawezekana ila ni ngumu sana. Komaa mama 2025 itajulikana kama unaendelea au la. Kwa sasa komaaa. Hii ni nchi yenye majeshi sio kikoba.

EDEC926F-81B5-40B4-89DA-C30B7F16B9BE.jpeg
 
Kama anachukulia hiyo nafasi Kama ni janga basi tumepigwa!.. wale wote wanaokuwa ktk nafasi za pili lazima waandaliwe na wawe tayari kushika majukumu ya kwanza!. Tuchukulie hili kama funzo.
Bila shaka ni Janga. Nyerere alisema ni shida tupu, Magufuli naye alilalamika na sasa mama. Inaonekana Urais ni kazi ngumu sana. Ukiona mtu anafurahia urais fahamu kuwa hana uchungu na nchi.
 
Rais wa JMT mhe Samia amewashukuru wanawake kwa kumpa support ktk kipindi hiki kigumu ambapo amefikwa na janga la kupewa kiti cha urais.

(Source: TBC1)

Nini maoni yako juu ya kauli hii ya mhe rais Samia?
Na hao tbc nao wakairusha kama ilivyo?? kweli ccm imechokwa
 
Bila shaka ni Janga. Nyerere alisema ni shida tupu, Magufuli naye alilalamika na sasa mama. Inaonekana Urais ni kazi ngumu sana. Ukiona mtu anafurahia urais fahamu kuwa hana uchungu na nchi.
Nchii haiongozwi na Rais kuna kagenge kengine kapo pembeni ndio kanaongoza.
 
Back
Top Bottom