#COVID19 Rais Samia: Nimeona Afisa Afya Tunduru akipita nyumba kwa nyumba kuchanja, suala hili lisifanyike kwa mabavu

#COVID19 Rais Samia: Nimeona Afisa Afya Tunduru akipita nyumba kwa nyumba kuchanja, suala hili lisifanyike kwa mabavu

Hii ni ticket ya Mama Samia kukosa kura 2025. Stay tuned wadau. Wataenda huko vijijini watawachanja na watu watakufa na hizo hasira hakuna maneno laini yatakayowafanya watu wamsamehe Mama Samia. Tena watamuita MUUAJI! Nadhani kuna kitu wanamficha washauri wake. Watu wengi wamepoteza ndugu zao kwa sababu ya chanjo hii ya majaribio.
Na wewe unaleta uwongo. Watu wengi wamepoteza maisha kutokama na chanjo!! Ebu weka majina angalao 10 tu na details zao, za waliopoteza maisha kutokana na chanjo.
 
Hii ni ticket ya Mama Samia kukosa kura 2025. Stay tuned wadau. Wataenda huko vijijini watawachanja na watu watakufa na hizo hasira hakuna maneno laini yatakayowafanya watu wamsamehe Mama Samia. Tena watamuita MUUAJI! Nadhani kuna kitu wanamficha washauri wake. Watu wengi wamepoteza ndugu zao kwa sababu ya chanjo hii ya majaribio.
Toenei ujinga wenu,kura zenu sukuma gang hatuziitaji
 
Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya.

Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi.

Mama wanaomshauri wanamponza Sana.

---
Rais Samia Suluhu, amemzungumzia mhudumu wa afya anayepita nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo ya Uviko-19, akionya kampeni hiyo isitumiwe vibaya katika kuwalazimisha watu kuchanja.

Jana katika mitandao ya jamii, kulisambaa habari na picha ikimuonyesha Ofisa wa Afya wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma akipita nyumba kwa nyumba kuwachanja chanjo ya Uviko 19 watu zaidi ya 160 kwa siku moja.

Akizungumzia leo Septemba 27, 2021 katika mkutano mkuu maalum wa uchaguzi viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ngazi ya Taifa unaofanyika mkoani Dodoma hilo, Rais Samia amesema asingependa kuona suala hilo likifanyika kwa mabavu kwa kuwalazimisha watu kuchanja.

Amesema kati ya mambo ambayo angependa ALAT kulishughulikiwa kwa kasi kubwa ni suala la mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 ikiwemo utoaji elimu.

“Juzi na jana nilivyoingia nchini nimekuta hii agenda ya watu kupita nyumba kwa nyumba na mikoba ya sindano kuchoma watu.

“Tulisema hili jambo ni la hiari, ukipita nyumba kwa nyumba anayetaka mchome, asiyetaka usichome, lakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu.

“Kwani kama ana elimu yakutosha hawezi kukataa, lakini hana elimu unapita tu na mkoba wako unamwambia nikuchome nisikuchome, atakuambia usinichome,” amesema Rais.

Amewataka wahudumu wa afya kutoa elimu ya afya kwa wingi ili wananchi waone umuhimu wa kuchanja.

“Asipoona hilo hawezi kuona uchungu wa hili suala, nendeni kafanyeni kampeni kubwa watu wakubali kuchanja msiende kufanya kwa mabavu. Tupunguze vifo vinavyotokana na ugonjwa,” amesema.

Aidha amesema ndani ya nchi yetu kuna matatizo makubwa matatu na hili la uviko limejitokeza ni la nne.

Ametaja magonjwa mengine kuwa ni TB, HIV na malaria na kueleza kuwa yameshughulikiwa kwa kiasi kikubwa na kuagiza janga la Uviko-19 lishughulikiwe na watu wapate kinga.

Chanzo: Mwananchi
Hii biashara tu ya wenyekutengeneza madawa. Mafua na vifua vilikwepo tu kwanza malaria vifua vikuu na pressure ndio matatizo makubwa. Hii uviko wametisha watu hawashtuki saa kufikia lengo la mauzo wanalazimisha kuchanja kiujanja. 😪
 
Na wewe unaleta uwongo. Watu wengi wamepoteza maisha kutokama na chanjo!! Ebu weka majina angalao 10 tu na details zao, za waliopoteza maisha kutokana na chanjo.
Wengi chanjo imewaua.
Ukweli unaujuwa, ila mimi namuunga mkono Mama mia kwa mia, tulikuwa kwenye mikono ya washamba na makatili.

Wanamchukia mama ni kupungukiwa tu busara, tupime miaka 6 ya ukatili na miezi 6 ya huyu mama bora ipi?

Huyu mama anahitaji kupewa sapoti, kwanza ngoja tulisambaratishe kundi la mumiani wa Sukuma gang ndio turudi kwenye harakati.

Siko tayari kumuhujumu mama kuwapa nguvu mashetani wa Sukuma gang, ni heri haya majizi ya msoga huwa yanakula huku yanatuachia makombo kuliko hawa Sukuma gang ni makatili na wauwaji wakubwa.
Unakosea sana kumdhihaki Dkt Magufuli. Na ndipo tunapotofautiana. Hata Yesu aliishi na kufanya kazi miaka mitatu na wakamuua. Ila mpaka leo wewe ni shahidi injili ya Yesu Kristo inahubiriwa kila pembe ya dunia. Yesu Kristo pia mpaka leo hudhihakiwa ila ukweli upo pale pale, yaani Jina La Yesu Kristo linatoa mapepo, yanaungua na kukimbia. Ni sawa na Dkt Magufuli, hampaswi na si busara kwa mwana CCM kusema eti mshamba/katili. Dkt Magufuli aliandaliwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Unaposema ni mshamba/katili unawatukana hao waliotuletea. Mnavyowatukana hivyo mjue hata Mama wanaweza wasimpitishe kabisa. Achaneni na propaganda za kumdhihaki Dkt Magufuli, haziwasaidii, zinawapunguzia kura.
 
Wengi chanjo imewaua.

Unakosea sana kumdhihaki Dkt Magufuli. Na ndipo tunapotofautiana. Hata Yesu aliishi na kufanya kazi miaka mitatu na wakamuua. Ila mpaka leo wewe ni shahidi injili ya Yesu Kristo inahubiriwa kila pembe ya dunia. Yesu Kristo pia mpaka leo hudhihakiwa ila ukweli upo pale pale, yaani Jina La Yesu Kristo linatoa mapepo, yanaungua na kukimbia. Ni sawa na Dkt Magufuli, hampaswi na si busara kwa mwana CCM kusema eti mshamba/katili. Dkt Magufuli aliandaliwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Unaposema ni mshamba/katili unawatukana hao waliotuletea. Mnavyowatukana hivyo mjue hata Mama wanaweza wasimpitishe kabisa. Achaneni na propaganda za kumdhihaki Dkt Magufuli, haziwasaidii, zinawapunguzia kura.
Bora uwaambie......JPM alikuwa mtu na nusu.
 
Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya.

Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi.

Mama wanaomshauri wanamponza Sana.

---
Rais Samia Suluhu, amemzungumzia mhudumu wa afya anayepita nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo ya Uviko-19, akionya kampeni hiyo isitumiwe vibaya katika kuwalazimisha watu kuchanja.

Jana katika mitandao ya jamii, kulisambaa habari na picha ikimuonyesha Ofisa wa Afya wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma akipita nyumba kwa nyumba kuwachanja chanjo ya Uviko 19 watu zaidi ya 160 kwa siku moja.

Akizungumzia leo Septemba 27, 2021 katika mkutano mkuu maalum wa uchaguzi viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ngazi ya Taifa unaofanyika mkoani Dodoma hilo, Rais Samia amesema asingependa kuona suala hilo likifanyika kwa mabavu kwa kuwalazimisha watu kuchanja.

Amesema kati ya mambo ambayo angependa ALAT kulishughulikiwa kwa kasi kubwa ni suala la mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 ikiwemo utoaji elimu.

“Juzi na jana nilivyoingia nchini nimekuta hii agenda ya watu kupita nyumba kwa nyumba na mikoba ya sindano kuchoma watu.

“Tulisema hili jambo ni la hiari, ukipita nyumba kwa nyumba anayetaka mchome, asiyetaka usichome, lakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu.

“Kwani kama ana elimu yakutosha hawezi kukataa, lakini hana elimu unapita tu na mkoba wako unamwambia nikuchome nisikuchome, atakuambia usinichome,” amesema Rais.

Amewataka wahudumu wa afya kutoa elimu ya afya kwa wingi ili wananchi waone umuhimu wa kuchanja.

“Asipoona hilo hawezi kuona uchungu wa hili suala, nendeni kafanyeni kampeni kubwa watu wakubali kuchanja msiende kufanya kwa mabavu. Tupunguze vifo vinavyotokana na ugonjwa,” amesema.

Aidha amesema ndani ya nchi yetu kuna matatizo makubwa matatu na hili la uviko limejitokeza ni la nne.

Ametaja magonjwa mengine kuwa ni TB, HIV na malaria na kueleza kuwa yameshughulikiwa kwa kiasi kikubwa na kuagiza janga la Uviko-19 lishughulikiwe na watu wapate kinga.

Chanzo: Mwananchi
WaTanzania tuamkeni.
Viongozi wetu acheni ujinga wa kufanya kazi kimabavu. Samahani kusema kwa kweli
Hivi ni nani ana uhakika na hiyo dawa unayotembea nayo mkobani?
Hii chanjo inatakiwa kutolewa mahali husika kituo husika na mchanjwaji anatakiwa kuwa na muda wa Dakota 15 baada ya chanjo ndio aondoke hapo.
Kwani endapo atajisikia Vibaya huduma husika ifanyike..
Hebu Serikali Wizara husika kaeni mlitafakari hili. Au ndio mpango wa kutafuna mafungu mliyopewa kudai kuwa watu walikipwa safari.
Hatukubali hili.
Mbona msishabikie na kukimbiza KATIBA KATIBA KATIBA MPYA kwa kizazi kijacho.??

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya.

Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi.

Mama wanaomshauri wanamponza Sana.

---
Rais Samia Suluhu, amemzungumzia mhudumu wa afya anayepita nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo ya Uviko-19, akionya kampeni hiyo isitumiwe vibaya katika kuwalazimisha watu kuchanja.

Jana katika mitandao ya jamii, kulisambaa habari na picha ikimuonyesha Ofisa wa Afya wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma akipita nyumba kwa nyumba kuwachanja chanjo ya Uviko 19 watu zaidi ya 160 kwa siku moja.

Akizungumzia leo Septemba 27, 2021 katika mkutano mkuu maalum wa uchaguzi viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ngazi ya Taifa unaofanyika mkoani Dodoma hilo, Rais Samia amesema asingependa kuona suala hilo likifanyika kwa mabavu kwa kuwalazimisha watu kuchanja.

Amesema kati ya mambo ambayo angependa ALAT kulishughulikiwa kwa kasi kubwa ni suala la mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 ikiwemo utoaji elimu.

“Juzi na jana nilivyoingia nchini nimekuta hii agenda ya watu kupita nyumba kwa nyumba na mikoba ya sindano kuchoma watu.

“Tulisema hili jambo ni la hiari, ukipita nyumba kwa nyumba anayetaka mchome, asiyetaka usichome, lakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu.

“Kwani kama ana elimu yakutosha hawezi kukataa, lakini hana elimu unapita tu na mkoba wako unamwambia nikuchome nisikuchome, atakuambia usinichome,” amesema Rais.

Amewataka wahudumu wa afya kutoa elimu ya afya kwa wingi ili wananchi waone umuhimu wa kuchanja.

“Asipoona hilo hawezi kuona uchungu wa hili suala, nendeni kafanyeni kampeni kubwa watu wakubali kuchanja msiende kufanya kwa mabavu. Tupunguze vifo vinavyotokana na ugonjwa,” amesema.

Aidha amesema ndani ya nchi yetu kuna matatizo makubwa matatu na hili la uviko limejitokeza ni la nne.

Ametaja magonjwa mengine kuwa ni TB, HIV na malaria na kueleza kuwa yameshughulikiwa kwa kiasi kikubwa na kuagiza janga la Uviko-19 lishughulikiwe na watu wapate kinga.

Chanzo: Mwananchi
Mbona hakusema chochote kwa mku wa mkoa wa Mbeya juzi alipotangaza kuanza kupeleka chanjo ya UVIKO-19 nyumba kwa nyumba na kitanda kwa kitanda kwa madai eti wananchi wengi waliomba kupelekewa nyumbani kitu ambacho wananchi walengwa wanakikanusha?

Uongozi huu wa nchi utapata taabu sana kwa sababu ndani ya chama tawala kuna nguvu mbili zenye sura ya kimamlaka vikifany avitendo vinavyoashiria kuwepo upinzani hatarishi kwa usalama wa nchi kutokana mitazamo kukinzana bayana na wanaweza kuvurga amani ya nchi.

Utawala ambao ulishawahi kuwepo madarakani kuingia kwenye uongozi kwa sura mpya yenye malengo yaliyokuwepo ukiharamisha malengo yaliyowekwa na uongozi uliopigiwa kura kwa ushawishi kupitia ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 halafu yanaletwa malengo ya 2010-2015 kutaipasua CCM kabla ya 2025 itayopelekea wananchi kuondoa imani zao kuziwekeza kutoka taasisi hiyo na haitawezekana tena kuwarubuni kubadilika.

Upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM na ndio utakaotoa dira sahihi kwa pwapinzani waliobanwa wamuunge mkono yupi ili kuiondoa kabisa CCM na isikukmbukwe popote katika historia ya Tanzania kwa kuwa wanadharau kuwasikiliza na kuwahudumia wananchi kwa gharama nafuu ili wajikwamue na maisha magumu yanayopanda kila kukicha: mafuta juu, nauli juu, bidhaa juu, huduma dhaifu, kero zaongezeka, tozo zisizoakisi mrejesho wa huduma bora ina za staha kwa jamii, ushirikiano wa polisi na raia kudorora, wananchi kupoteza imani kwa watendaji wa serikali na umma, nishati juu, wafanyabiashara wadogo kuvurugwa kisaikolojia katika shughuli zao za kila siku za kujiingizia kipato kwa visingizio za kupanga miji yenye ramani zilizopitwa na wakati.

siasa zinatumika vibaya kuumiza raia; viongozi muwajali wananchi kwanza kabla ya malengo yenu ya kisiasa kwa kuwa hao ndio wapiga kura wenu, haki, utu, heshima na sheria zizingatiwe na kila mmoja kupitia wajibu wa kila upande.

Kuna makundi hasimu ambayo kwa namna moja au nyingine ndio wamo kwenye uongozi wa rais SSH ambayo ni ya wale wanaounga mkono falsafa za JKMrisho na lingine linaloendelea kuunga mkono falsafa za JPMagufuli hapa ndio kuna shida sio ya kitoto
Falsafa JKMrisho 'versus' Falsafa JPMagufuli refa wake anatakiwa awe mwenye mlengo wa kati kama mzazi kuvunja msigano wa makundi haya.

Ili mbegu iote ni sharti ianze kuoza ndipo ichipue; makundi hayo tajwa yote yamepanda mbegu zenye nguvu sana zilizobebwa na sera za (ubepari na ujamaa) ndani ya chombo kimoja ni lazima migogoro na ikiwezekana kuhujumiana, kuumizana, kudhoofishana na kumalizana vitatokea na kusababisha mgawanyiko ambao haujawahi kutokea tangu Tanzania izaliwe tarehe 26/4/1964 lakini tangu chama tawala kizaliwe tarehe 5/2/1977

Mamlaka iliyochukua utawala kwenye msimu wa namba shufwa (even number) na kutarajiwa kuondoka bila kurejea kwenye uongozi kwa mtindo wowote katika msimu wa namba witiri (odd number) bado unanguvu hadi 2025.

Mtindo wa uongozi uliorithi baada ya kifo cha mwenye msimu husika kujumuisha namba shufwa na namba witiri nguvu itabaki kwa mwenye msimu wa namba witiri mfano 1*2=3, 1*4=5,1*6=7, 1*8=9, 1*10=11 ambapo zao la mwisho linaonesha ni kigeugeu kwa nje linaonekana ni witiri lakini kiundani linatoa matokeo ya namba shufwa (even number) ambalo litajitokeza kwa nguvu ya kipekee mwaka 2035.

Namba shufwa ikilazimisha kuna madhara katika makundi hasimu ndani ngalawa ambapo Yona akitoswa majini chombo kitamegwa na kiboko.

*Someni alama za nyakati mtapona

*Visasi, chuki, inda, wivu, husuda na nongwa visiingizwe kwenye utendaji wa kazi na huduma kwa wananchi...........watumishi wa umma wamerejea kuwa na viburi na kuvunjia heshima wananchi wanowahudumia na ukiritimba wa taratibu umerudi kwa kasi ukichochea rushwa bila woga.....................nani ajitokeze kutoka wapi ili aingilie kati mtanziko huu?
 
Hii ni ticket ya Mama Samia kukosa kura 2025. Stay tuned wadau. Wataenda huko vijijini watawachanja na watu watakufa na hizo hasira hakuna maneno laini yatakayowafanya watu wamsamehe Mama Samia. Tena watamuita MUUAJI! Nadhani kuna kitu wanamficha washauri wake. Watu wengi wamepoteza ndugu zao kwa sababu ya chanjo hii ya majaribio.
Mjini wamechanja wengi mbona hakuna kifo hata moja related na chanjo hiyo?! Mmezoea kuwanipulate watu wa vijijini na kuwatumia mnavyopenda kwa ajili ya kura zenu. Tunasema hivi watu wachanjwe afu tuone nani atamnyima kura SSH 2025.
 
Hii ni ticket ya Mama Samia kukosa kura 2025. Stay tuned wadau. Wataenda huko vijijini watawachanja na watu watakufa na hizo hasira hakuna maneno laini yatakayowafanya watu wamsamehe Mama Samia. Tena watamuita MUUAJI! Nadhani kuna kitu wanamficha washauri wake. Watu wengi wamepoteza ndugu zao kwa sababu ya chanjo hii ya majaribio.
acha uongo, ukiendelea hivi uyajikuta unawaambia watu wewe mwanamke wakati ni mwanaume
 
Mjini wamechanja wengi mbona hakuna kifo hata moja related na chanjo hiyo?! Mmezoea kuwanipulate watu wa vijijini na kuwatumia mnavyopenda kwa ajili ya kura zenu. Tunasema hivi watu wachanjwe afu tuone nani atamnyima kura SSH 2025.
Weka akiba ya maneno...ikumbuke hii tarehe na saa..
Kila la kheri.
 
Kweli Tanzania imeendelea kwa kiasi kikubwa. Bwana afya anatembea na mkoba nyumba kwa nyumba akichanja watu 160 kwa siku. Huo mkoba wa huyu bwana afya una ukubwa wa kiasi gani? Uweze kuwa na cool box, vitendea kazi saidizi kama vya kupima vipimo vingine unavyofanyiwa kabla ya kuchanjwa.

Tuepuke staili hii ya mabwana afya za mifugo. Ambao ndio tumezoea kuwaona wakizunguka na mifuko ya rambo kwenda kuchanja kuku chanjo ya mdondo na mbwa chanjo ya kichaa cha mbwa. Tuthamini utu na uhai wa mwanadamu kuliko kitu kingine chochote.
 
Kwa hili namuunga mkono mama Samia si kila mtu ana ajira serikalini au ana mpango wa kwenda nje au kupokea kijijini wazungu au wachina wenye corona
 
Ukweli unaujuwa, ila mimi namuunga mkono Mama mia kwa mia, tulikuwa kwenye mikono ya washamba na makatili.

Wanamchukia mama ni kupungukiwa tu busara, tupime miaka 6 ya ukatili na miezi 6 ya huyu mama bora ipi?

Huyu mama anahitaji kupewa sapoti, kwanza ngoja tulisambaratishe kundi la mumiani wa Sukuma gang ndio turudi kwenye harakati.

Siko tayari kumuhujumu mama kuwapa nguvu mashetani wa Sukuma gang, ni heri haya majizi ya msoga huwa yanakula huku yanatuachia makombo kuliko hawa Sukuma gang ni makatili na wauwaji wakubwa.
Sukuma gang ni nani na nani?
 
Kwa hili namuunga mkono mama Samia si kila mtu ana ajira serikalini au ana mpango wa kwenda nje au kupokea kijijini wazungu au wachina wenye corona
Wataalamu wanauliza;
  • Hizo dawa zinapaswa kuhifadhiwa kwenye jotoridi gani?
  • Inashauriwa nini kuhusu muda wa dawa kukaa nje ya hilo jitoridi lililoshauriwa?
  • Kuna umbali gani kutoka anapozichukua dawa mpaka eneo la tukio?
  • Watu 160 kwa siku, kwa utaratibu wa hizo chanjo, inawezekana kufanyika kwa ufanisi maeneo ya vijijini? Au ni mjini?
  • Ni sahihi mtu kuchomwa chanjo hiyo na muhudumu wa afya kuondoka papo hapo? Kama haondoki, anakaa muda gani kumuangalia mchanjwaji?

Mi naona baada ya kupata pesa na kukubaliana na masharti, kelele za vitisho kuhusu Corona zimeisha kabisa, kama umesikia takwimu halisi za serikali kuhusu;
  • Wangapi mpaka sasa wamechanjwa?
  • Tulikuwa na wagonjwa wangapi wa corona kuanzia April 2021?
  • Wagonjwa wangapi wa wametangulia mbele za haki ambao walikuwa wagonjwa wa corona tu bila magonjwa mengine?
  • Tuna wagonjwa wangapi wa corona mpaka sasa?

Ninachojua, JPM alilaumiwa kwa kutotoa takwimu za wagonjwa akidai inaleta panic, Hangaya akasema ugonjwa uko mwingj ila mpaka leo hana takwimu isipokuwa vitisho na kuleta chanjo.
 
Oh kumbe. Dah mbona mleta maada kaleta nusunusu. Sema tatizo la viongozi wengi ni unafiki. Kila mtu anataka aoneshe chanjo zote zimetumika ili asifike kwa rais bila kujua kifo cha chanjo kitasababisha Mama akose kura.
Ccm haijawahi kuwa madarakani kwa kura.
 
Ukweli usemwe na maamlaka za juu bwana yule alipotosha watu ili iwe rahisi waandamizi kutoa elimu covid na Chanjo.
Hili ndo tatizo kuu, wanaogopa kusema ukweli kuwa mwendazake aliwalaghai wananchi.
 
Na wewe unaleta uwongo. Watu wengi wamepoteza maisha kutokama na chanjo!! Ebu weka majina angalao 10 tu na details zao, za waliopoteza maisha kutokana na chanjo.
Huyo lazima awe mataga
 
Hii biashara tu ya wenyekutengeneza madawa. Mafua na vifua vilikwepo tu kwanza malaria vifua vikuu na pressure ndio matatizo makubwa. Hii uviko wametisha watu hawashtuki saa kufikia lengo la mauzo wanalazimisha kuchanja kiujanja. [emoji25]
Sukuma gang kazini
 
Ukweli unaujuwa, ila mimi namuunga mkono Mama mia kwa mia, tulikuwa kwenye mikono ya washamba na makatili.

Wanamchukia mama ni kupungukiwa tu busara, tupime miaka 6 ya ukatili na miezi 6 ya huyu mama bora ipi?

Huyu mama anahitaji kupewa sapoti, kwanza ngoja tulisambaratishe kundi la mumiani wa Sukuma gang ndio turudi kwenye harakati.

Siko tayari kumuhujumu mama kuwapa nguvu mashetani wa Sukuma gang, ni heri haya majizi ya msoga huwa yanakula huku yanatuachia makombo kuliko hawa Sukuma gang ni makatili na wauwaji wakubwa.
Hahahaha

Ova
 
Wengi chanjo imewaua.

Unakosea sana kumdhihaki Dkt Magufuli. Na ndipo tunapotofautiana. Hata Yesu aliishi na kufanya kazi miaka mitatu na wakamuua. Ila mpaka leo wewe ni shahidi injili ya Yesu Kristo inahubiriwa kila pembe ya dunia. Yesu Kristo pia mpaka leo hudhihakiwa ila ukweli upo pale pale, yaani Jina La Yesu Kristo linatoa mapepo, yanaungua na kukimbia. Ni sawa na Dkt Magufuli, hampaswi na si busara kwa mwana CCM kusema eti mshamba/katili. Dkt Magufuli aliandaliwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Unaposema ni mshamba/katili unawatukana hao waliotuletea. Mnavyowatukana hivyo mjue hata Mama wanaweza wasimpitishe kabisa. Achaneni na propaganda za kumdhihaki Dkt Magufuli, haziwasaidii, zinawapunguzia kura.
Acha umataga.
Unalinganisha vidivyo lingana.
Mwendazake na Yesu!?!
Kweli Magu alikuweza.
 
Back
Top Bottom