3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Hivi na nyie mmekubali kabisa JPM amekufa?Asante sana mama,nikili wazi moyo wangu tangu kifo cha rais JPM ulipigwa ganzi nisijue cha kufanya,lakini hadi sasa mama Samia naona anafuata nyanyo za JPM ,hongera mama,Mungu akupe kheri na fanaka...
Stulikubaliana anaongezwa muda mpaka 2050