Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Cc: Lucas mashambwe
 
Safi wakome kuharakisha kuaminiana.
 
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
Hata siku moja swala au mipango ya uhaini haizungumzwi kwenye mkutano wa hadhara kama kungekuwa na wahaini wangesha kamatwa hayo ni mambo ya kisiasa
 
Crap from crippled mind.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…