Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Kwani atakuwa mgombea? Kuna nabii alisema kuwa huyu amekataliwa. Ngoja tusubirie utimilifu wa unabii, tujue kama ulikuwa unabii kweli au hisia?
Achana na manabii matapeli, fomu ni moja tu Kwa ajili ya dk Samia wengine wasubiri 2030
 
Huwa nampuuza yule dada Kigagula wa Marekani kumbe anayoandika ni bonafide genuine.

Mama Tiktok kwenye mapishi naona kunamfaa sana amuachie hata mdogo wake Hussein hicho kiti lakini yeye ameshafeli.
Samiamustgo ni wrong move, kama ni maandamano ya amani yalipaswa kuja na slogan isiyo na chembe chembe za uhaini. gharama ya kumuondoa amiri jeshi mkuu madarakani kwa maandamano ni kubwa mno na ukiamua kupita hiyo njia hakikisha unauona mwisho na una sapoti ya kutosha kuufikia huo mwisho otherwise ni umeamua kuwapa wafuasi tiketi ya mauti.
 
Amiri Jeshi Mkuu ameapa kuilinda na kuitetea URT, 1977.

Anazo clip zote za uhaini zilizo nyuma ya pazia.

Amiri Jeshi Mkuu ameongea huku mm nikiwa natetemeka .

Amiri Jeshi mkuu hajawahi kuongea vile tangu nimjue

Ameonea mnafanya mzaha na utani against her 4R

Sasa jichanganyeni tarehe 23 mnayotaka kuingia Barabarani

Hongera sana Amiri Jeshi Mkuu, sisi Vijana wako tunaokuunga mkono tuko tayr kwa maelekezo yako.

Wao wake zao wako Canada halaf wanataka kutuletea za kuleta, mipango michafu kabisa ilikuwa inasukwa, leo walijfanya wana kikao cha kamati kuu kumbe wap, uhaini mtupu
Huyo unayemwita Amri jshi mkuu na kumpigia saluti,

Sisi wananchi tumemwajiri, tunamlipa mshahara, na tumemtuma KAZI ya kufanya, na akienda kinyume tunamkosoa tutakavyo, na asiposikia, tunamuwajubisha kupitia Sanduku la kura.

Kila Mmoja afuate Katiba na Sheria za nchi.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098792
View attachment 3098793
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
View attachment 3098802
View attachment 3098805
View attachment 3098806
View attachment 3098807
Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS), Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098810

View attachment 3098811
View attachment 3098812

View attachment 3098834
Rais #SamiaSuluhuHassan akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Moshi (TPS), amesema Serikali ina taarifa ya kikao cha chama cha Siasa anachodai kinalenga kufanya Siasa chonganishi na kuwa Serikali haitakubali hilo kwa kulinda Katiba na kuimarisha ulinzi wa maisha ya Watanzania.

Amesema “Kumepangwa kushusha moto hadi Samia aseme basi naondoka, hiyo Serikali au Serikali ya Samaki? Maana Samaki kadiri anavyokuwa mkubwa na akili inafanyaje? Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo.”

Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
 
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
Giza limetanda tena Tanzania, kuna jini linahitaji kunywa damu za watu, lile kafara la Forojo Gaze la ushirikina wa mwenge limeisha nguvu, misukule imeamka.
 
Inasikitisha sana kusikia tamko la rais mwenye vyombo vya ulinzi na usalama kushindwa kuwakamata waliopanga vurugu, shutuma hizi zinaturudisha siku zilipita wakati aliposema kuwa -,

Toka Maktaba :

RAIS SAMIA"MBOWE NI GAIDI NDIO MAANA AKAKIMBILIA KENYA"ALIJUA POLISI WAMESAHAU/ACHA AWAJIBISHWE


2022 17 February
KESI YA MBOWE: RAIS SAMIA ATOA TAMKO AKIHOJIWA NA DW - "SIWEZI KUZUIA WATU KUONGEA


View: https://m.youtube.com/watch?v=V5KnMHmLq6o
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan amejibu swali kuhusu kesi ya Mbowe aliloulizwa na mwandishi wa habari wa DW nchini Ujerumani ambapo ameeleza kuwa suala la kesi ya Mbowe iachiwe mahakama....
 
Back
Top Bottom