Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Amiri Jeshi Mkuu ameapa kuilinda na kuitetea URT, 1977.

Anazo clip zote za uhaini zilizo nyuma ya pazia.

Amiri Jeshi Mkuu ameongea huku mm nikiwa natetemeka .

Amiri Jeshi mkuu hajawahi kuongea vile tangu nimjue

Ameonea mnafanya mzaha na utani against her 4R

Sasa jichanganyeni tarehe 23 mnayotaka kuingia Barabarani

Hongera sana Amiri Jeshi Mkuu, sisi Vijana wako tunaokuunga mkono tuko tayr kwa maelekezo yako.

Wao wake zao wako Canada halaf wanataka kutuletea za kuleta, mipango michafu kabisa ilikuwa inasukwa, leo walijfanya wana kikao cha kamati kuu kumbe wap, uhaini mtupu
Sasa kama ni wahaini si niwakamatwe wakashtakiwe mahakmani kwa kosa la uhaini..sheria si ziko wazi kabisa kwa wahini??
Au waoo wapo juu ya sheri?? Ujinga mtupuu tu apa
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098792
View attachment 3098793
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
View attachment 3098802
View attachment 3098805
View attachment 3098806
View attachment 3098807
Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS), Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098810

View attachment 3098811
View attachment 3098812

View attachment 3098834
Rais #SamiaSuluhuHassan akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Moshi (TPS), amesema Serikali ina taarifa ya kikao cha chama cha Siasa anachodai kinalenga kufanya Siasa chonganishi na kuwa Serikali haitakubali hilo kwa kulinda Katiba na kuimarisha ulinzi wa maisha ya Watanzania.

Amesema “Kumepangwa kushusha moto hadi Samia aseme basi naondoka, hiyo Serikali au Serikali ya Samaki? Maana Samaki kadiri anavyokuwa mkubwa na akili inafanyaje? Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo.”

Asiwachekee awashughulikie vibaraka wote tuone waliowatuma kama watawasaidia
 
Amiri Jeshi Mkuu ameapa kuilinda na kuitetea URT, 1977.

Anazo clip zote za uhaini zilizo nyuma ya pazia.

Amiri Jeshi Mkuu ameongea huku mm nikiwa natetemeka .

Amiri Jeshi mkuu hajawahi kuongea vile tangu nimjue

Ameonea mnafanya mzaha na utani against her 4R

Sasa jichanganyeni tarehe 23 mnayotaka kuingia Barabarani

Hongera sana Amiri Jeshi Mkuu, sisi Vijana wako tunaokuunga mkono tuko tayr kwa maelekezo yako.

Wao wake zao wako Canada halaf wanataka kutuletea za kuleta, mipango michafu kabisa ilikuwa inasukwa, leo walijfanya wana kikao cha kamati kuu kumbe wap, uhaini mtupu

Shida anafanya siasa kwenye mambo ya msingi. Wanakwepa ukweli wanakimbilia kulaumu CHADEMA
 
Utoto kumbe mwingi bado kwa wanasiasa wa Tanganyika. Yaani hapo yanatengenezwa mazingira ya kuwaaminisha wajinga (siku hizi wanaitwa wazalendo)kuwa wale jamaa wana nia hovu hivyo hawafai.

Wanasingizia tunu waliyoibatiza jina la amani ilihali hiyo amani haipo tangia mwaka 2000.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Rais wetu kipenzi mimi sijamuelewa kabisa


Ndo kakemea au ndo katoa ruhusa ya kuendelea kutekwa na kuuwawa maana kasema kifo ni kifo tu

LONDON BOY
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Rais wetu kipenzi mimi sijamuelewa kabisa


Ndo kakemea au ndo katoa ruhusa ya kuendelea kutekwa na kuuwawa maana kasema kifo ni kifo tu

LONDON BOY
Umemsikiliza Rais kweli? Amesema mambo hayo tangu day one na Leo pia.

Ila amesema haikubaliki kupangiana Cha kufanya kama kwamba Serikali haijui Cha Kufanya
 
Asiwachekee awashughulikie vibaraka wote tuone waliowatuma kama watawasaidia
Chadema Kwa muda sasa wamejaribu kuiga Kenya kwenye slogan wakati wa maandamano Kwa mfano maisha magumu na sasa must go,polisi wa tz nao waige polisi wa Kenya baada ya maandamano jioni iwe hesabu ya 39 wafa Tena barabarani next maandamano 23 wafa
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Rais wetu kipenzi mimi sijamuelewa kabisa


Ndo kakemea au ndo katoa ruhusa ya kuendelea kutekwa na kuuwawa maana kasema kifo ni kifo tu

LONDON BOY
Kijana ukisha kua huko kijijini kwetu enzi hizo za kuoga mtoni ni lazima uishi kwenye nyumba yako uliyojenga mwenyewe , chakula utakula nyumbani ila mambo mengine jitegemee sekondari yaani unapambana na hali yako, kumbukeni enzi za kuoga mtoni ukifika huko mtoni azima upige hodi, that was a taboo, (maelekezo ya jamii) a.k.a mwiko
 
mo-dewji-pic-332742058.jpg
 
Inasikitisha sana kwamba Mheshimiwa Rais Samia anarudia makosa yale yale ya awali ambayo yalishusha mno hadhi ya Nchi yetu.

Kibaya zaidi Waliomdanganya Wakati ule ndio wale wale Wanaomdanganya leo, Sijui kwanini hajang'amua Uongo wao.

Ikulu ni mzigo - JK NYERERE
 
Back
Top Bottom